Tanzania yakanusha ripoti kuhusu FDLR

Tanzania yakanusha ripoti kuhusu FDLR

Katika pitapita zangu nimeshawahi kufanya kazi na UN. Ukiona UN inatoa tamko, kwa asilimia 99% huwa si propaganda bali ni "FACTS". Tena zinakuwa facts zenye kujitosheleza sana nikiwa na maana USHAIDI usiopingika. Msije mkaja kuona watu msiowategemea kabisa na wanaoheshimika sana ktk jamii ndio wahusika wakuu.

Niwape dokezo tu....Ukiona UN imeitaji Nchi moja kwa moja basi mjue jambo hilo limefika hatua ambayo si nzuri sana kwa nchi yetu. Ushauri wangu, tuwaombe hao UN wazidi kutueleza kwa mapana yake kuhusu jambo hili, hawa wahusika wanaweza kuogopa.

Tanzania imekanusha vikali tuhuma kwamba imekuwa ikiwaruhusu viongozi wa kundi la waasi la FDLR kufanya mikutano nchini humo.

Hapo jana kulikuwa na taarifa ambazo zilitangazwa na vyombo mbali mbali vya habari duniani kuhusu ripoti mpya ya kundi la wataalamu wa umoja mataifa kuhusu Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwamba iilituhumu Tanzania kwa kuwaruhusu viongozi wa kundi la waasi FDLR kuandaa mikutano nchini humo.

Katika ripoti hiyo pia wanajeshi wa Burundi wanatuhumiwa kuwa walitekeleza unyanyasaji wa kingono.

Chanzo:
BBC
 
Kama wanaweza wakasema wana ushahidi, kwa nini wasiuweke ili tuuone badala ya kusikia maneno yao pekee.

By the way, hizi habari zinakuwa recycled kila baada ya muda ili kuipa pressure Tanzania ili ipambane na FDRL kama ishara ya kuonyesha haikisaidii kikundi hicho. Rwanda hawawezi kupambana na FDRL bila ridhaa ya Tanzania.



Tofauti ya Tanzania na Rwanda ni kuwa, Kagame amewekesha kwenye makampuni makubwa ya PR ili yamsaidie katika mission zake za ndani na nje ya nchi wakati Tanzania hata magazeti ya ndani yanapambana na serikali ya Tanzania. Kwa mtaji huo ndiyo maana Rwanda wanaweza hata kupenyeza habari zao kwenye media mbali mbali za kimataifa katika mlengo wa kutetea maslahi yao.

Sitamani kuona nchi hii ikijiingiza katika gharama za propaganda zisizokuwa na sababu. Tanzania iwasaidie waasi wa Rwanda ili ipate nini hasa? Kwa sababu tu juzi JK na Kagame wametofautiana kimtazamo? Rubbish! Hata kukanusha tu taarifa kama hizi mimi naona ni kujisumbua na mambo ya hovyo. Jambo moja naweza kukubali kwamba pengine linafanyika. Maadaui wa Serikali ya Rwanda siyo maadui wa Tanzania; hivyo wanaweza kuja nchini wakati wowote. Sasa kama watu hao wataamua kuja Tanzania kutembea na katika matembezi hayo wakafanya vikao vyao vya siri/kirafiki na bila serikali kujua kitendo hicho kweli kinaweza kutafsiriwa kuwa ni kutoa msaada? Pamoja na matatizo tuliyonayo, siamini kuwa Tanzania imepoteza mwelekeo kiasi hicho.
 
141008083143_kikwete_512x288_bbc_nocredit.jpg



Tanzania imekanusha vikali tuhuma kwamba imekuwa ikiwaruhusu viongozi wa kundi la waasi la FDLR kufanya mikutano nchini humo.


Hapo jana kulikuwa na taarifa ambazo zilitangazwa na vyombo mbali mbali vya habari duniani kuhusu ripoti mpya ya kundi la wataalamu wa umoja mataifa kuhusu Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwamba iilituhumu Tanzania kwa kuwaruhusu viongozi wa kundi la waasi FDLR kuandaa mikutano nchini humo.


Katika ripoti hiyo pia wanajeshi wa Burundi wanatuhumiwa kuwa walitekeleza unyanyasaji wa kingono.

Tanzania yakanusha ripoti kuhusu FDLR - BBC Swahili
 
Hao Un nao wachovu kabisaaa. I don't think we really need to trust this organisation.
At $1,500, roughly zilitumwa toka Tzanaina na zikapokelewa huko Ug na mtu anasadikiwa kuwa ni mfuasi wa FDRL....so owckward to say this ammont can rearly suport and act of terror.....how much woth this money in questions and how many things this small money some one can do with it?
Have forget the story of Falician Kabuga hiding and may be haboured in Kenya and to date is know where about?
Mutuache wa Tz.
Kila kili tokea Rwanda no any body wish tht to happen agin by any how.
 
Kwa hiyo BBC na Reuters wanaweza kutumika na PR team ya Kagame ?

Halafu sijaona serikali ikitaka ushahidi au ikitaka kuombwa radhi na UN au BBC
Mkuu,

Serikali itake ushahidi wa nini?. Wao wanaotoa tuhuma ndiyo wanatakiwa walete ushahidi kuhusu serikali ya Tanzania kuwasaidia FDLR.

By the way, what's BBC and Reuters?.

Hizi ni kampuni zinazosimamiwa na binadamu kama mimi na wewe ambapo moja ya haiba ya ubinadamu ni mapungufu katika maumbile na matendo.

BBC na Reuters wameishadanganya jamii countless times huku wakiomba msamaha kwa contents zao za kilaghai na uongo pale ambapo watu/makampuni/state zinapofanya uchunguzi wa habari zao.

Hizi ni baadhi ya classic apologies zao,
[video=youtube_share;OWio7NVOnaI]http://youtu.be/OWio7NVOnaI[/video]
Hii ndiyo video inayo accuse Primark
[video=youtube_share;hUSsG_tDDY0]http://youtu.be/hUSsG_tDDY0[/video]
Hii ndiyo video waliyofanya uchunguzi kuhusu shutuma za BBC.
BBC Panorama Primark verdict welcomed
In 2008, Primark was featured on the BBC TV Panorama programme: "Primark on the Rack", which claimed to show three young boys being used to manufacture clothes sold in Primark. After three years, a lengthy investigation by Primark and a comprehensive review by the BBC Trust, the BBC Trust has confirmed that this footage was fabricated and should never have been broadcast. This website explains how this happened and what Primark had to do to expose this false claim and clear our name.
 
Kwa hiyo BBC na Reuters wanaweza kutumika na PR team ya Kagame ?

Halafu sijaona serikali ikitaka ushahidi au ikitaka kuombwa radhi na UN au BBC
Hii ripoti ni ya tangu January na hao wataalam walishajibiwa. Hakuna ushahidi wowote zaidi ya passport ya Habimana na Western Union kutoka Dar kwenda Kampala kwa anayedaiwa ni make wa Habimana.
Sasa jiulize Kama Habimana yupo kwemye list ya kukataliwa kusafiri na jiulize Kama mtanzania yeyote anakatazwa kutuma hela Uganda kwa mtu ambae Hana kikwazo chochote kimataifa.
Isome ripoti yenyewe ipo wazi mtandaoni usisubiri kutafsiriwa na BBC Swahili. Ni wachovu kwami hata ukiisoma habari ya mauaji ya waislam Chapel hill, NC. wameandika NC Kama ni mji uliopo marekani wakati NC ni state..... They are rubbish na MTU aliyesoma kodogo hawezi kuwatumia Kama source, ni kwa ajili ya watu wanaptaka habari za juujuu.
 
JK alimshauri PK aongee na wanyarwanda wenzake akajitia ujuaji. Sasa anaanza kuweweseka akiomba msaada wa Tz. Rwanda mmeshindwa FLDR mtaweza kuhimili mtiti wa Jwtz kama si kututaka lawama. Rwanda acheni kulìalia pambana na hao wanyarwanda wenzako Tz haitoi msaada wake kamwe.
 
Rwanda acheni uvivu, pambaneni na adui zenu acheni mipasha. Rwanda ni yakwenu siyo ya Tz. Mkitwangwa na waasi mtasema wanasaidiwa na tanzania.
 
Back
Top Bottom