JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
Ni wapi nilipolalamika?
Kama hujalalamika, lalamika sasa!
Ni wapi nilipolalamika?
Mkuu sasa wapi Wizara pekee inayosimama kivyake kama Wizara ya Afrika Mashariki ? Ninachokiona hapo Uhuru Kenyata kabana matumizi kwa hali ya juu, kwa kuunganisha Wizara tatu na kupata Wizara ya Afrika ya Masuala ya Afrika Mashari, Biashara na Utalii.
Mku usiogope watakuja upande huu wa ujasiliamaliJe wafanyakazi wa baadhi ya wizara zilizofutwa au kuunganishwa kama makatibu wakuu na wakurugenzi wataenda wapi