Tanzania yajitoa polepole Afrika Mashariki!

Tanzania yajitoa polepole Afrika Mashariki!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Bila shaka ukiangalia Baraza jipya la Mawaziri utagundua kwamba Rais Magufuli hajaipa umuhimu Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwani ameondoa Wizara iliyokuwa maalum kwa Jumuiya hiyo na matokeo yake ameiundia dawati lake ndani ya Wizara ya Mambo ya Nj.

Hii ni ishara kwamba Jumuiya hiyo haina umuhimu kwa Tanzania na kama wanajumuiya wengine walitegemea labda Uongozi wa Magufuli ungekuwa tofauti na Kikwete na wengineo kuhusu hii Jumuiya basi pole yao kwani Rais Magufuli anaonekena hana mpango nayo.

Tayari ameshaahidi kulishuigulikia suala la Kiwanda cha Maziwa cha Kenya na kingine na walimu kutoka Uganda na Kenya wanafundisha hapa Tanzania ambao wanachukuwa kazi za Watanzania nao watashughulikiwa kwani ameshaagiza Uhamiaji wawe makini kwenye kutoa vibali kwa wageni hasa kwa kazi ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania!
 
Waziri wa Mambo ya nje anatosha.
Wengine watataka waziri wa SADEC na COMESA sasa
 
Bwana pombe yuko sahihi kabisa, namuunga mkono kwa kuunganisha hizi wizara mbili.
 
Waziri na naibu wake wanatosha, Sema itabidi wapige kazi kwelikweli
 
Bila shaka ukiangalia Baraza jipya la Mawaziri utagundua kwamba Rais Magufuli hajaipa umuhimu Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwani ameondoa Wizara iliyokuwa maalum kwa Jumuiya hiyo na matokeo yake ameiundia dawati lake ndani ya Wizara ya Mambo ya Nj.

Hii ni ishara kwamba Jumuiya hiyo haina umuhimu kwa Tanzania na kama wanajumuiya wengine walitegemea labda Uongozi wa Magufuli ungekuwa tofauti na Kikwete na wengineo kuhusu hii Jumuiya basi pole yao kwani Rais Magufuli anaonekena hana mpango nayo.

Tayari ameshaahidi kulishuigulikia suala la Kiwanda cha Maziwa cha Kenya na kingine na walimu kutoka Uganda na Kenya wanafundisha hapa Tanzania ambao wanachukuwa kazi za Watanzania nao watashughulikiwa kwani ameshaagiza Uhamiaji wawe makini kwenye kutoa vibali kwa wageni hasa kwa kazi ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania!
Magufuli kafanya sawa.
90% ya muda waliokuwa ofisini Waziri Sitta na Mwakyembe ilikuwa kupiga siasa mikoani Tanzania nzima.
Kwa kweli walikuwa redudant , Wizara inakuwa na watu wasiojaa ofisi moja, hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
 
Bila shaka ukiangalia Baraza jipya la Mawaziri utagundua kwamba Rais Magufuli hajaipa umuhimu Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwani ameondoa Wizara iliyokuwa maalum kwa Jumuiya hiyo na matokeo yake ameiundia dawati lake ndani ya Wizara ya Mambo ya Nj.

Hii ni ishara kwamba Jumuiya hiyo haina umuhimu kwa Tanzania na kama wanajumuiya wengine walitegemea labda Uongozi wa Magufuli ungekuwa tofauti na Kikwete na wengineo kuhusu hii Jumuiya basi pole yao kwani Rais Magufuli anaonekena hana mpango nayo.

Tayari ameshaahidi kulishuigulikia suala la Kiwanda cha Maziwa cha Kenya na kingine na walimu kutoka Uganda na Kenya wanafundisha hapa Tanzania ambao wanachukuwa kazi za Watanzania nao watashughulikiwa kwani ameshaagiza Uhamiaji wawe makini kwenye kutoa vibali kwa wageni hasa kwa kazi ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania!

Mitizamo ya hivi nayo ni jipu jingine
 
Kenya waziri wa utalii ndie ana dhamana ya masuala ya afrika mashariki. mbona hatusikii hoja dhaifu kama iliyotolewa humu jamvini. Rais Magufuli yuko sahihi kupunguza migongano isiyo tija na gharama.
 
Je wafanyakazi wa baadhi ya wizara zilizofutwa au kuunganishwa kama makatibu wakuu na wakurugenzi wataenda wapi
 
Hili la kuwa na wizara maalum ya EAC haikuwa moja ya makubaliano ya EAC?! Kama haikuwa, basi ni sawa tu
 
Binafsi hapo najionea sawa, jumuia yenyewe ni kama tunajilazimisha, ss nini kuipa wizara kama sio kujiongezea mzigo tu.
 
Uhuru alileta watu wake wa IT wametusumbua sana kipindi cha kampeni toka wakamatwe mitandaoni kumetulia. Alitaka fisadi mwenzie apewe nchi waibe kwa nguvu zote. Watuache tujenge nchi.
 
Cha msingi mr. Pombe ametuomba tumuombee kwa mungu hivyo yote anayofanya nimoja kati ya majibu ya maombi yetu kwa mungu kama kweli tunamuombea mungu atalizidishia taifa letu neema. Mungu ibariki tanzania na mrinde rais wetu dhidi ya wasio ipenda nchi na mafisadi
 
Bila shaka ukiangalia Baraza jipya la Mawaziri utagundua kwamba Rais Magufuli hajaipa umuhimu Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwani ameondoa Wizara iliyokuwa maalum kwa Jumuiya hiyo na matokeo yake ameiundia dawati lake ndani ya Wizara ya Mambo ya Nj.

Hii ni ishara kwamba Jumuiya hiyo haina umuhimu kwa Tanzania na kama wanajumuiya wengine walitegemea labda Uongozi wa Magufuli ungekuwa tofauti na Kikwete na wengineo kuhusu hii Jumuiya basi pole yao kwani Rais Magufuli anaonekena hana mpango nayo.

Tayari ameshaahidi kulishuigulikia suala la Kiwanda cha Maziwa cha Kenya na kingine na walimu kutoka Uganda na Kenya wanafundisha hapa Tanzania ambao wanachukuwa kazi za Watanzania nao watashughulikiwa kwani ameshaagiza Uhamiaji wawe makini kwenye kutoa vibali kwa wageni hasa kwa kazi ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania!

Sasa wewe ulitakaje? Charity begins at home. Wao si wana coalition of the willing? Tanzania sio shamba la bibi tena.
 
Bora ungelalamika Waziri na Naibu Waziri wa wizara inayoshughulikia muungano wote kutokea Tanzania bara.
 
Bila shaka ukiangalia Baraza jipya la Mawaziri utagundua kwamba Rais Magufuli hajaipa umuhimu Jumuiya ya Afrika Mashariki, kwani ameondoa Wizara iliyokuwa maalum kwa Jumuiya hiyo na matokeo yake ameiundia dawati lake ndani ya Wizara ya Mambo ya Nj.

Hii ni ishara kwamba Jumuiya hiyo haina umuhimu kwa Tanzania na kama wanajumuiya wengine walitegemea labda Uongozi wa Magufuli ungekuwa tofauti na Kikwete na wengineo kuhusu hii Jumuiya basi pole yao kwani Rais Magufuli anaonekena hana mpango nayo.

Tayari ameshaahidi kulishuigulikia suala la Kiwanda cha Maziwa cha Kenya na kingine na walimu kutoka Uganda na Kenya wanafundisha hapa Tanzania ambao wanachukuwa kazi za Watanzania nao watashughulikiwa kwani ameshaagiza Uhamiaji wawe makini kwenye kutoa vibali kwa wageni hasa kwa kazi ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania!

Sio kweli. Mbona pia Kenya wizara inayosimamia masuala ya EAC haipo kivyake, zimeungwa idara kadhaa
 
Sio kweli. Mbona pia Kenya wizara inayosimamia masuala ya EAC haipo kivyake, zimeungwa idara kadhaa

Lakini Kenya kuna Wizara ya Afrika Mashariki inayoitwa Ministry of East africa Affairs... ingawaje ina majukumu mengi lkn Wizara inayobeba jina la Afrika Mashariki ipo vivyo hivyo Uganda na Rwanda lkn kwetu tumeifuta kabisa na hakuna Wizara yenye jina la Afrika Mashariki!
 
Back
Top Bottom