jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,635
Pamoja kua Tanzania ni nchi yenye maliasili na malighafi nyingi akini bado imekua ni nchi masikini huku ikijikongoja na ukosefu wa nishati ya kutosha, miundo mbinu bora, ajira, huduma chini za jamii kama afya na maji!!...
Game changer!!
Kuingia kwa rais magufuli ,rais aliyefanya mabadiliko makubwa kwenye miundo mbinu,ukusanyaji wa mapato, kudhibiti ufisadi na kuanzisha tanzania ya viwanda, kumeanza taratibu kuipa nuru nchi hiii yenye utajir wa maliasi!!.. Mwaka 2018 pekee tanzania imetajwa kua ni miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi africa!! Ikishika nafasi ya 9
Top 10 ya nchi zenye kukua kwa kasi ya uchumi AFRICA
10.Tanzania
09.Ghana
08.Ethiopia
07.Angola
06.Kenya
05.Algeria
04.Moroco
03.Egypt
02.South Africa
01.Nigeria
Game changer!!
Kuingia kwa rais magufuli ,rais aliyefanya mabadiliko makubwa kwenye miundo mbinu,ukusanyaji wa mapato, kudhibiti ufisadi na kuanzisha tanzania ya viwanda, kumeanza taratibu kuipa nuru nchi hiii yenye utajir wa maliasi!!.. Mwaka 2018 pekee tanzania imetajwa kua ni miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi africa!! Ikishika nafasi ya 9
Top 10 ya nchi zenye kukua kwa kasi ya uchumi AFRICA
10.Tanzania
09.Ghana
08.Ethiopia
07.Angola
06.Kenya
05.Algeria
04.Moroco
03.Egypt
02.South Africa
01.Nigeria