Tanzania ya Ajabu Kweli, Is it fair kutumia Humanitarian Support, Kujengea Miundombinu ya Umma?!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,466
113,543
Wanabodi,

Nilikuwa nimelala , mara usingizi ukakatika, nikaanza kuwaza haya na yale na mara nikawakumbuka wahanga wa tetemeko la Bukoba!, poleni! .

Kiukweli nchi yetu ya Tanzania, ni nchi ya ajabu sana!. Tumepata janga kubwa la tetemeko la ardhi, tuaonyeshwa jinsi watu wanavyotaabika na wanavyoteseka, kwa kukosa makazi, watu wanalala nje baada ya kubomokewa na nyumba zao.

Watu mbalimbali ikiwemo jumuiya ya kimataifa wakaguswa na mateso ya binadamu wale, wakajikusanya na kujitoa kuchangia, huku nchi zenye kujua kitu kinachoitwa "disaster emergency rapid response" wakarespond immediately kwa kutoa fedha na misaada ya kibinaadamu kwa haraka sana ili kusaidia kuwapunguzia watu mateso binadamu wale!, kitu cha ajabu kibisa, misaada ile ikahifadhiwa ili kuja kutumika kukarabati Miundombinu ya umma baadaye!, tuwe wakweli, toka ndani ya nafsi zetu, is this fair?!.

Hao waliotuchangia kwa haraka, walichanga kutokana na kuguswa na uharibifu wa Miundombinu ya umma au kutokana na kuguswa na mateso ya binadamu wale, wakajitoa ili kusaidia humanitarian support ili binadamu wale wapunguziwe mateso, na sio kuchangia Miundombinu ya umma, ni haki kweli kuitumia misaada ya kibinaadamu, kukarabatia Miundombinu ya umma? !.

Kwa walioguswa na mateso na tabu za binaadamu wale na wakaahidi kusaidia kiasi hiki na kile, baada ya kugundua kumbe michango yao sio tena ya kubinaadamu kuwasaidia binadamu wale bali ni michango ya development kukarabati Miundombinu ya umma, kweli wataendelea kutoa kwa moyo ule ule, au watawajibika kutoa tuu hivyo hivyo kwa shingo upande kwa vile waliahidi kwa sababu ahadi ni deni?!.

Tukisema Tanzania ni moja za nchi za ajabu kabisa humu duniani, ni kukosa uzalendo kwa nchi yetu pale kitu kinapothaminishwa kuliko utu, ambapo kwenye janga kama lile la tetemeko lilihilohitaji a massive humanitarian support kupunguza mateso ya binadamu, lakini badala ya nchi yetu kuweka priority kwenye watu kwa Katha mini utu wa mtu na kuelekeza misaada hiyo iwe ni ya kibinaadamu kusaidia kupunguza mateso kwa watu, sisi priority yetu ni Miundombinu ya umma!, yaani hiyo Miundombinu umma ndio yenye umuhimu zaidi kuliko utu, kuliko ubinaadamu kiasi cha kufanya imepewa umuhimu wa kwanza, halafu misaada ya kibinaadamu watu kuambiwa "kila mtu kuubeba msalaba wake mwenyewe!" is this fair? !

Lengo la swali hili ni kuelimishana tuu kuhusu hiki kinachofanywa na serikali yetu kwanza kama ni fair, na pili if it is right, kwa sababu serikali yetu inaongozwa na binaadamu na sio na malaika, ili if it is not fair na it is not right, kuwepo watu ambao tuliona na tukasema ili utakapofikia muda wa karma to hit back, watu wasibaki wakijiuliza why, references zipo na tutakumbushana humu humu kama tutakuwepo.

Ni swali tuu! .

Paskali.
 
Cha ajabu hata wale waliofika kutoa misaada ya moja kwa moja kwa wahanga walizuiwa!Wakasema kamati maalumu ndio itabeba jukumu zima,kumbe ni janja yao ya kutaka kutumia michango kwa wahanga tofauti na makusudio!
Hata hao ambao walioahidi wameona hamna haja tena!
Ukweli ni kuwa serikali imewatapeli watu,utapeli wa kuaminika!
Mpaka leo mabilioni yako kwenye account ya maafa!Huu si utu.
 
Katika kampuni ninayofanya kazi, tuliahidi zaidi ya 260m tulikuwa tukatoe next week. Lakini baada ya speech ya Mkuli juzi. Tena kutaka walioahidi watoe haraka, katika kikao cha leo tumeghairi. Hatutoi tena hela kujengea barabara. Huo ni upuuzi maana miundombinu ina bajeti yake, kutumia humanitarian support ni utapeli.
 
Katika kampuni ninayofanya kazi, tuliahidi zaidi ya 260m tulikuwa tukatoe next week. Lakini baada ya speech ya Mkuli juzi. Tena kutaka walioahidi watoe haraka, katika kikao cha leo tumeghairi. Hatutoi tena hela kujengea barabara. Huo ni upuuzi maana miundombinu ina bajeti yake, kutumia humanitarian support ni utapeli.
Msiwape matapeli pesa zenu!Bora mkawape vituo vya watoto yatima!
 
Wanabodi,

Nilikuwa nimelala , mara usingizi ukakatika, nikaanza kuwaza haya na yale na mara nikawakumbuka wahanga wa tetemeko la Bukoba!, poleni! .

Kiukweli nchi yetu ya Tanzania, ni nchi ya ajabu sana!. Tumepata janga kubwa la tetemeko la ardhi, tuaonyeshwa jinsi watu wanavyotaabika na wanavyoteseka, kwa kukosa makazi, watu wanalala nje baada ya kubomokewa na nyumba zao.

Watu mbalimbali ikiwemo jumuiya ya kimataifa wakaguswa na mateso ya binadamu wale, wakajikusanya na kujitoa kuchangia, huku nchi zenye kujua kitu kinachoitwa "disaster emergency rapid response" wakarespond immediately kwa kutoa fedha na misaada ya kibinaadamu kwa haraka sana ili kusaidia kuwapunguzia watu mateso binadamu wale!, kitu cha ajabu kibisa, misaada ile ikahifadhiwa ili kuja kutumika kukarabati Miundombinu ya umma baadaye!, tuwe wakweli, toka ndani ya nafsi zetu, is this fair?!.

Hao waliotuchangia kwa haraka, walichanga kutokana na kuguswa na uharibifu wa Miundombinu ya umma au kutokana na kuguswa na mateso ya binadamu wale, wakajitoa ili kusaidia humanitarian support ili binadamu wale wapunguziwe mateso, na sio kuchangia Miundombinu ya umma, ni haki kweli kuitumia misaada ya kibinaadamu, kukarabatia Miundombinu ya umma? !.

Kwa walioguswa na mateso na tabu za binaadamu wale na wakaahidi kusaidia kiasi hiki na kile, baada ya kugundua kumbe michango yao sio tena ya kubinaadamu kuwasaidia binadamu wale bali ni michango ya development kukarabati Miundombinu ya umma, kweli wataendelea kutoa kwa moyo ule ule, au watawajibika kutoa tuu hivyo hivyo kwa shingo upande kwa vile waliahidi kwa sababu ahadi ni deni?!.

Tukisema Tanzania ni moja za nchi za ajabu kabisa humu duniani, ni kukosa uzalendo kwa nchi yetu pale kitu kinapothaminishwa kuliko utu, ambapo kwenye janga kama lile la tetemeko lilihilohitaji a massive humanitarian support kupunguza mateso ya binadamu, lakini badala ya nchi yetu kuweka priority kwenye watu kwa Katha mini utu wa mtu na kuelekeza misaada hiyo iwe ni ya kibinaadamu kusaidia kupunguza mateso kwa watu, sisi priority yetu ni Miundombinu ya umma!, yaani hiyo Miundombinu umma ndio yenye umuhimu zaidi kuliko utu, kuliko ubinaadamu kiasi cha kufanya imepewa umuhimu wa kwanza, halafu misaada ya kibinaadamu watu kuambiwa "kila mtu kuubeba msalaba wake mwenyewe!" is this fair? !

Ni swali tuu! .

Paskali.

Paskali lala, kwani hiyo miundo mbinu inayojengwa kama barabara itapita serikali au hizo shule itasoma serikali, ama kweli ili nchi hii iende inahitaji mtu kama Idd Amin!!!!
 
Katika kampuni ninayofanya kazi, tuliahidi zaidi ya 260m tulikuwa tukatoe next week. Lakini baada ya speech ya Mkuli juzi. Tena kutaka walioahidi watoe haraka, katika kikao cha leo tumeghairi. Hatutoi tena hela kujengea barabara. Huo ni upuuzi maana miundombinu ina bajeti yake, kutumia humanitarian support ni utapeli.
Acha porojo zako za propaganda za kitoto.

Kama wewe ni mkweli basi itaje hiyo kampuni.

Unafiki na uwongo haujawahi kufanikiwa pamoja na kwamba unafurahisha roho yako.
 
Paskali lala, kwani hiyo miundo mbinu inayojengwa kama barabara itapita serikali au hizo shule itasoma serikali, ama kweli ili nchi hii iende inahitaji mtu kama Idd Amin!!!!

Hiyo barabara ilikuwa dharura?Unatambua maana ya dharura?
Ni barabara ngapi nchii hii hazipitiki na wanaishi watu?Ni shule ngapi ziko kwenye hali mbaya?Mbona hawajaja kutuchangisha?
Walichofanya ni wizi wa kuaminiwa!Wanatuonesha watu wakiwa hawana makazi halafu wanasema tuchangie maafa!Kuna maafa bila ya watu?
 
Acha porojo zako za propaganda za kitoto.

Kama wewe ni mkweli basi itaje hiyo kampuni.

Unafiki na uwongo haujawahi kufanikiwa pamoja na kwamba unafurahisha roho yako.
Siwezi kuitaja maana hatutaki ligi. Nenda kwenye orodha ya makampuni ya kizalendo walioahidi zaidi ya 260m utaijua, tuko 4 tu. We are one of them. Nasisitiza HATUTOI pesa tukatapeliwe kimachomacho. Matapeli wakubwa.
 
Kupanga ni kuchagua.

Serikali imepanga na kuchagua namna ya kutumia.

Hata mkiandika thread 1000000 kuhusiana na matumizi ya pesa zilizochangwa haiwezi kubadilisha lolote kwa sababu uamuzi umeishatolewa na unafanyika.

Badala ya kuendelea kulalamika kila siku, kama unadhani wananchi wanahangaika, tafuta njia zingine uwasaidie.

Why dwell on one issue whilst doing nothing?

Dwelling on the past can also be a way of not coming to grips with present-day realities.
 
Paskali lala, kwani hiyo miundo mbinu inayojengwa kama barabara itapita serikali au hizo shule itasoma serikali, ama kweli ili nchi hii iende inahitaji mtu kama Idd Amin!!!!
sina uhakika na uelewa wako au ni kwa makusudi unajaribu kuharibu lengo zuri alilonalo Paskali katika kuanzisha thread hii. Sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kufurahishwa au kuridhishwa na namna serikali ilivyohandle hili swala la Kagera.
 
Huu wote tunaita ni UNAFIKI wa baadhi ya WANA JF humu NA WEWE paskali NI MMOJA WAPO wewe juzi ulileta ANDIKO humu ndani unamsifia MAGUFULI kwa kuwa mkweli kwa aliyoyasema KULE kagera AFU LEO unajifanya UMEKOSA usingizi KUJA KUANDIKA umbea HUMU....Afu kingne MNATAKIWA MSEME ukweli ni hili.....MJE HAPA MSEME HIZO PESA ZILIZO PATIKANA JUU YA HILI JANGA ZIMETUMIKA SIVYO NDIVYO hapa namaana ya kwamba Mwenye ushaidi ya KUWA SERIKALI KUU imemega HIZO pesa na kuzitumia nje ya MKOA HUSIKA ASEME...mkishindwa kuthibitisha hili hii itakuwa ina maana ya kwamba JAPOKUWA HIZI pesa hazijatumika kuwajengea watu makazi yao yaliyokumbwa na HILI JANGA LAKINI HIZO PESA ZIMETUMIKA WITHIN MKOA HUSIKA KURUDISHA MIUNDO MBINU NA HUDUMA MUHIMU.......unajua jambo linalofanywa na serikali hii kuhusu HILI TETEMEKO ni sahihi kabsa ilah hizi kelele humu JF juu ya hili jambo zinasababishwa na CHUKI ZA UPANDE WA PILI JUU YA CCM...uvivu wa kupenda vya BURE AU MTEREMKO katika maisha YA baadhi ya wana JF HUMU.....Kukosa kazi za kufanya na kupata muda wa kuleta UMBEA usio kuwa na kichwa wala miguu......MNATAKA LEO WAJENGEWE WA TETEMEKO kesho wa mafuriko pia NAO WATATAKA KUJENGEWA......hili mnatakiwa mlikumbuke PIA.....
 
Paskali lala, kwani hiyo miundo mbinu inayojengwa kama barabara itapita serikali au hizo shule itasoma serikali, ama kweli ili nchi hii iende inahitaji mtu kama Idd Amin!!!!
Mimi huwa sielewi watu wa kagera walimkosea nn mkulu, halafu ukimwangalia kwa makini akiongea ana roho mbaaaya sana!
Pesa za kukarabati miundo mbinu ni pesa zetu za kodi, kwamba yeye asimamie tu, kodi tunalipa, ni sababu ipi inayomfanya aelekeze michango iliotolewa kwa ajili ya waathirika iende kwenye miundombinu!? Hivi anajua ktk nyumba zilizobomoka zipo za wazee wasiojiweza wajane na raia ambao ni maskini kbsa? Je pesa zetu zilizotengwa kwa ajili ya maafa hazistaili kutumika kwa wanakagera?
Nchi inajengwa na watu walioshiba na wenye makazi bora, yeye ndo raiss wa watz wote, hii choyo na roho mbaya kwa raia wake kwa maslai ya nani? Wakitaabika wakati uwezo wa kuwasaidia upo ananufaikaje?.... Siku hizi sura yake inazidi kuakisi yaliomoyoni mwake" mwaka 1 wa jk alikuwa katoa shavu, mcheki huyu alivo! Ajabu kbsa!!
 
Huu wote tunaita ni UNAFIKI wa baadhi ya WANA JF humu NA WEWE paskali NI MMOJA WAPO wewe juzi ulileta ANDIKO humu ndani unamsifia MAGUFULI kwa kuwa mkweli kwa aliyoyasema KULE kagera AFU LEO unajifanya UMEKOSA usingizi KUJA KUANDIKA umbea HUMU....Afu kingne MNATAKIWA MSEME ukweli ni hili.....MJE HAPA MSEME HIZO PESA ZILIZO PATIKANA JUU YA HILI JANGA ZIMETUMIKA SIVYO NDIVYO hapa namaana ya kwamba Mwenye ushaidi ya KUWA SERIKALI KUU imemega HIZO pesa na kuzitumia nje ya MKOA HUSIKA ASEME...mkishindwa kuthibitisha hili hii itakuwa ina maana ya kwamba JAPOKUWA HIZI pesa hazijatumika kuwajengea watu makazi yao yaliyokumbwa na HILI JANGA LAKINI HIZO PESA ZIMETUMIKA WITHIN MKOA HUSIKA KURUDISHA MIUNDO MBINU NA HUDUMA MUHIMU.......unajua jambo linalofanywa na serikali hii kuhusu HILI TETEMEKO ni sahihi kabsa ilah hizi kelele humu JF juu ya hili jambo zinasababishwa na CHUKI ZA UPANDE WA PILI JUU YA CCM...uvivu wa kupenda vya BURE AU MTEREMKO katika maisha YA baadhi ya wana JF HUMU.....Kukosa kazi za kufanya na kupata muda wa kuleta UMBEA usio kuwa na kichwa wala miguu......MNATAKA LEO WAJENGEWE WA TETEMEKO kesho wa mafuriko pia NAO WATATAKA KUJENGEWA......hili mnatakiwa mlikumbuke PIA.....
Hata shetani anakushangaa!!
 
Mimi nimejitolea kabisa kuchukua likizo ya mwezi kwenda chato kufanya utafiti upelelezi na uchunguzi kujua huyu jamaa alipozaliwa alikula ama kulishwa vyakula gani? Mazingira aliyoishi yalikuwaje? Je alipata trauma yeyote? Je alipigwa ama kubamizwa kichwani? Hivi vyote vinadetermine IQ

Hovyo kabisa
 
Tanzania ya ajabu kweli mkurugenzi anafuata taratibu zote za kuomba ongezeko la bei kwenye tasisi ya kutoa huduma muhimu nchini anaachishwa kazi! Msajili wa hazina Mafuru anasema kweli kuhusu kutokuwepo kwa mishahara ya 40 milioni Serikalini na pia kuhusu kutokuwa na kosa la kufungua fixed deposit naye anaachishwa kazi! Lakini Rais anayekiuka taratibu za manunuzi serikalini na kutumia trilioni moja ambazo hazikuidhinishwa na Bunge na pia kusema uongo zaidi ya mara moja anaendelea kupeta!
 
Wanabodi,

Nilikuwa nimelala , mara usingizi ukakatika, nikaanza kuwaza haya na yale na mara nikawakumbuka wahanga wa tetemeko la Bukoba!, poleni! .

Kiukweli nchi yetu ya Tanzania, ni nchi ya ajabu sana!. Tumepata janga kubwa la tetemeko la ardhi, tuaonyeshwa jinsi watu wanavyotaabika na wanavyoteseka, kwa kukosa makazi, watu wanalala nje baada ya kubomokewa na nyumba zao.

Watu mbalimbali ikiwemo jumuiya ya kimataifa wakaguswa na mateso ya binadamu wale, wakajikusanya na kujitoa kuchangia, huku nchi zenye kujua kitu kinachoitwa "disaster emergency rapid response" wakarespond immediately kwa kutoa fedha na misaada ya kibinaadamu kwa haraka sana ili kusaidia kuwapunguzia watu mateso binadamu wale!, kitu cha ajabu kibisa, misaada ile ikahifadhiwa ili kuja kutumika kukarabati Miundombinu ya umma baadaye!, tuwe wakweli, toka ndani ya nafsi zetu, is this fair?!.

Hao waliotuchangia kwa haraka, walichanga kutokana na kuguswa na uharibifu wa Miundombinu ya umma au kutokana na kuguswa na mateso ya binadamu wale, wakajitoa ili kusaidia humanitarian support ili binadamu wale wapunguziwe mateso, na sio kuchangia Miundombinu ya umma, ni haki kweli kuitumia misaada ya kibinaadamu, kukarabatia Miundombinu ya umma? !.

Kwa walioguswa na mateso na tabu za binaadamu wale na wakaahidi kusaidia kiasi hiki na kile, baada ya kugundua kumbe michango yao sio tena ya kubinaadamu kuwasaidia binadamu wale bali ni michango ya development kukarabati Miundombinu ya umma, kweli wataendelea kutoa kwa moyo ule ule, au watawajibika kutoa tuu hivyo hivyo kwa shingo upande kwa vile waliahidi kwa sababu ahadi ni deni?!.

Tukisema Tanzania ni moja za nchi za ajabu kabisa humu duniani, ni kukosa uzalendo kwa nchi yetu pale kitu kinapothaminishwa kuliko utu, ambapo kwenye janga kama lile la tetemeko lilihilohitaji a massive humanitarian support kupunguza mateso ya binadamu, lakini badala ya nchi yetu kuweka priority kwenye watu kwa Katha mini utu wa mtu na kuelekeza misaada hiyo iwe ni ya kibinaadamu kusaidia kupunguza mateso kwa watu, sisi priority yetu ni Miundombinu ya umma!, yaani hiyo Miundombinu umma ndio yenye umuhimu zaidi kuliko utu, kuliko ubinaadamu kiasi cha kufanya imepewa umuhimu wa kwanza, halafu misaada ya kibinaadamu watu kuambiwa "kila mtu kuubeba msalaba wake mwenyewe!" is this fair? !

Ni swali tuu! .

Paskali.

Brother Pascal, sidhani kama ni wewe pekee unaekosa usingizi na kuhuzunishwa na the way hii "mediocre government" inavyofanya mzaha na kutokutumia busara katika kuhandle maswala yenye kuligusa taifa, for lack of better words imenibudi kutumia maneno hayo makali.Mpaka sasa wenye uwezo wa kuhoji bado hatuelewi kitengo cha maafa kilicho chini ya ofisi ya waziri mkuu kinajishughulisha na nini na fedha zinazotengwa huwa zinafanyia kazi gani.Umegusia kuhusu kitu kiitwacho "disaster emergency rapid response", nilidhani hilo ni moja ya majukumu yao but sina uhakika kama wali respond kwa wakati na kutoa msaada uliotakiwa.Kitu nilichokiona ni kwamba walijipanga kufanya harambee ikulu kabla ya team kwenda kujionea situation ilivyokuwa on the ground na watoe msaada kulingana na hali waliyoikuta.Tetemeko ni "Natural hazard" kwahiyo kama ilivyo serikali haikupanga litokee, ndio vivyo hivyo wahanga wa tetemeko hawakutaraji kama kuna siku watajikuta bila makao.Ila tofauti iliyopo baina ya watu hawa masikini na serikali ni kwamba serikali inakusanya kodi kutoka kwa wanainchi na maswala ya miundo mbinu na ujenzi wa shule ni moja ya majukumu yake. Nimeshangazwa sana na mkuu wa inchi kuleta mizaha kama ya aliyekuwa waziri wa habari wa Iraq "Comical Ali" kwa watu wa Kagera.Watu hawana paa juu ya vichwa vyao unawaambia mambo yasiyo na staha wala kuleta faraja??? Fedha zilichangishwa kwa kivuli cha kusaidia wahanga wa tetemeko Kagera, iweje ziende katika matumizi mengine? haya ni maswali ambayo sitarajii kupata majibu ila naona taifa tunaelekea mahali ambapo tutachoka ubabe na dhuluma hii tunayofanyiwa na watawala na tuamue ku call for mass action.Watawala wasisahau ya Arab Spring kwani yanaweza kutokea hata hapa kwetu kama wasipo tuongoza kwa hekima.Inchi hainyooshwi pasipo misingi ya katiba kufuatwa na kuheshimiwa.
 
Tanzania ya ajabu kweli mkurugenzi anafuata taratibu zote za kuomba ongezeko la bei kwenye tasisi ya kutoa huduma muhimu nchini anaachishwa kazi! Msajili wa hazina Mafuru anasema kweli kuhusu kutokuwepo kwa mishahara ya 40 milioni Serikalini na pia kuhusu kutokuwa na kosa la kufungua fixed deposit naye anaachishwa kazi! Lakini Rais anayekiuka taratibu za manunuzi serikalini na kutumia trilioni moja ambazo hazikuidhinishwa na Bunge na pia kusema uongo zaidi ya mara moja anaendelea kupeta!
Alafu anasfiwa na watu wake huku nae mwenyewe akiomba aombewe.
 
Back
Top Bottom