Tanzania ya Ajabu Kweli, Is it fair kutumia Humanitarian Support, Kujengea Miundombinu ya Umma?!.

Mwanakijiji alishawaambia mkome msichange tena! Hii mliyochanga kwa wahanga wa tetemeko Bukoba mmedhulumiwa na aliyewadhulumu hamna cha kumfanya. Siku nyingine mkitaka kuchangia jambo peleka mchango wako moja kwa moja kwa muhusika, au mpe mtu mwingine unayemuamini apeleke lakini siyo serikali hii.
 
8a871988c1209d73eaa7831be644b306.jpg
 
Sijui niseme nini. Tanzia inabidi serikali ijipange vema zaidi kukabiliana na majanga. La sivyo lililofanyika ni maajabu sana. Nilitegemea majeshi yetu-polisi na jeshi la wananchi pamoja na magereza yatumike vizuri kusaidia watu kwanza na baadaye miundombinu kwa kutumia mikusanyo yote.cement, bati, pesa zilizopatikana. Kweli kamati ya maafa inahitaji training pamoja na mwongozo kamili, pamoja na drill ya mara kwa mara.
 
Kupanga ni kuchagua.

Serikali imepanga na kuchagua namna ya kutumia.

Hata mkiandika thread 1000000 kuhusiana na matumizi ya pesa zilizochangwa haiwezi kubadilisha lolote kwa sababu uamuzi umeishatolewa na unafanyika.

Badala ya kuendelea kulalamika kila siku, kama unadhani wananchi wanahangaika, tafuta njia zingine uwasaidie.

Why dwell on one issue whilst doing nothing?

Dwelling on the past can also be a way of not coming to grips with present-day realities.
Linapofanyika jambo ambalo si sahihi wananchi wanaweza kulijadili, ingawa haiwezi kubadili matokeo. Inatakiwa kujifunza kwa kutenda haki kwa misaada iliyotolewa ya kibinadamu. Serikali jukumu lake ni kutengeneza miundo mbinu
 
Umechemka kiaina sababu na waliotoa oesa nyingi, wamefurahia pesa imetumikaje.

Tabu napenda pesa mkononi, kufikiri ndio kutatua matatizo.

Misaada iliyotolewa hamuioni hiyo na mabati etc

Na waliouza mengine na pia kubomoa wapate vya dezo?
Upo kama mtoto mchanga, 'unalishwa na kumeza tu bila kutafuna baadae unaharisha rojorojo', mahaba yasikufanye uwe absent minded! Tumia walau sehem ya ubongo wako kutafakari ulichokisikia kutoka kwa unayeamuamini na kumpenda sana! Kuna ubabe sana na uvunjwaji wa kanuni lakini unashangilia tu! Itafika muda nawe utaonja joto la haya yanayotokea. Nirudi kwenye mada, misaada haikuwa ya kujenga miundombinu, na serikali haijatoa hata shilingi, inapata wapi nguvu ya kusema haiwajengei watu wakati misaada imetolewa na wahisani! THINK BIG
 
Kupanga ni kuchagua.

Serikali imepanga na kuchagua namna ya kutumia.

Hata mkiandika thread 1000000 kuhusiana na matumizi ya pesa zilizochangwa haiwezi kubadilisha lolote kwa sababu uamuzi umeishatolewa na unafanyika.

Badala ya kuendelea kulalamika kila siku, kama unadhani wananchi wanahangaika, tafuta njia zingine uwasaidie.

Why dwell on one issue whilst doing nothing?

Dwelling on the past can also be a way of not coming to grips with present-day realities.
Watu walipoenda kuwasaidia moja kwa moja walikamatwa na polisi wengine...karma is a hoe,wait and see
 
Acha porojo zako za propaganda za kitoto.

Kama wewe ni mkweli basi itaje hiyo kampuni.

Unafiki na uwongo haujawahi kufanikiwa pamoja na kwamba unafurahisha roho yako.
Mkuu lakini inaonesha hujafurahishwa na jinsi mkuu alivyolishughulikia swala la kagera ila unajikaza tu kumtetea, niko sahihi?
 
Wanabodi,

Nilikuwa nimelala , mara usingizi ukakatika, nikaanza kuwaza haya na yale na mara nikawakumbuka wahanga wa tetemeko la Bukoba!, poleni! .

Kiukweli nchi yetu ya Tanzania, ni nchi ya ajabu sana!. Tumepata janga kubwa la tetemeko la ardhi, tuaonyeshwa jinsi watu wanavyotaabika na wanavyoteseka, kwa kukosa makazi, watu wanalala nje baada ya kubomokewa na nyumba zao.

Watu mbalimbali ikiwemo jumuiya ya kimataifa wakaguswa na mateso ya binadamu wale, wakajikusanya na kujitoa kuchangia, huku nchi zenye kujua kitu kinachoitwa "disaster emergency rapid response" wakarespond immediately kwa kutoa fedha na misaada ya kibinaadamu kwa haraka sana ili kusaidia kuwapunguzia watu mateso binadamu wale!, kitu cha ajabu kibisa, misaada ile ikahifadhiwa ili kuja kutumika kukarabati Miundombinu ya umma baadaye!, tuwe wakweli, toka ndani ya nafsi zetu, is this fair?!.

Hao waliotuchangia kwa haraka, walichanga kutokana na kuguswa na uharibifu wa Miundombinu ya umma au kutokana na kuguswa na mateso ya binadamu wale, wakajitoa ili kusaidia humanitarian support ili binadamu wale wapunguziwe mateso, na sio kuchangia Miundombinu ya umma, ni haki kweli kuitumia misaada ya kibinaadamu, kukarabatia Miundombinu ya umma? !.

Kwa walioguswa na mateso na tabu za binaadamu wale na wakaahidi kusaidia kiasi hiki na kile, baada ya kugundua kumbe michango yao sio tena ya kubinaadamu kuwasaidia binadamu wale bali ni michango ya development kukarabati Miundombinu ya umma, kweli wataendelea kutoa kwa moyo ule ule, au watawajibika kutoa tuu hivyo hivyo kwa shingo upande kwa vile waliahidi kwa sababu ahadi ni deni?!.

Tukisema Tanzania ni moja za nchi za ajabu kabisa humu duniani, ni kukosa uzalendo kwa nchi yetu pale kitu kinapothaminishwa kuliko utu, ambapo kwenye janga kama lile la tetemeko lilihilohitaji a massive humanitarian support kupunguza mateso ya binadamu, lakini badala ya nchi yetu kuweka priority kwenye watu kwa Katha mini utu wa mtu na kuelekeza misaada hiyo iwe ni ya kibinaadamu kusaidia kupunguza mateso kwa watu, sisi priority yetu ni Miundombinu ya umma!, yaani hiyo Miundombinu umma ndio yenye umuhimu zaidi kuliko utu, kuliko ubinaadamu kiasi cha kufanya imepewa umuhimu wa kwanza, halafu misaada ya kibinaadamu watu kuambiwa "kila mtu kuubeba msalaba wake mwenyewe!" is this fair? !

Lengo la swali hili ni kuelimishana tuu kuhusu hiki kinachofanywa na serikali yetu kwanza kama ni fair, na pili if it is right, kwa sababu serikali yetu inaongozwa na binaadamu na sio na malaika, ili if it is not fair na it is not right, kuwepo watu ambao tuliona na tukasema ili utakapofikia muda wa karma to hit back, watu wasibaki wakijiuliza why, references zipo na tutakumbushana humu humu kama tutakuwepo.

Ni swali tuu! .

Paskali.
Turudi kwenye maana ya umma, je umma ni wanyama?? Kila kitu ni choice na kama ingefanyika unavyopendekeza bado watu wengine wangelaumu why sio miundo mbinu.
 
Umechemka kiaina sababu na waliotoa oesa nyingi, wamefurahia pesa imetumikaje.

Tabu napenda pesa mkononi, kufikiri ndio kutatua matatizo.

Misaada iliyotolewa hamuioni hiyo na mabati etc

Na waliouza mengine na pia kubomoa wapate vya dezo?
Acha uongo wewe,..tutajie waliobomoa nyumba zao,unakaririshwa na bwana yule aliyesema hakuna serikali inayowajengea nyumba waathirika wakati italy,haiti,uganda wanawajengea waathirika wao!!!
 
Kupanga ni kuchagua.

Serikali imepanga na kuchagua namna ya kutumia.

Hata mkiandika thread 1000000 kuhusiana na matumizi ya pesa zilizochangwa haiwezi kubadilisha lolote kwa sababu uamuzi umeishatolewa na unafanyika.

Badala ya kuendelea kulalamika kila siku, kama unadhani wananchi wanahangaika, tafuta njia zingine uwasaidie.

Why dwell on one issue whilst doing nothing?

Dwelling on the past can also be a way of not coming to grips with present-day realities.
From your words it seems you don't agree with the way your president has decided to deal with kagera problem, hakuna hata post moja umemsapoti,
 
Kwanza nijibu sio fair na itawagharimu sana serikali kuliko wanavyodhani, speech ya Bukoba ilitakiwa Iwe ya kuwatia moyo wale wahanga Lakini ikageuka ya kuwasimanga na kuwaacha bila msaada hii ni fundisho and to be honest watu ndani ya ccm walishachoka na approach ya uongozi wa magufuli.
 
Wanabodi,

Nilikuwa nimelala , mara usingizi ukakatika, nikaanza kuwaza haya na yale na mara nikawakumbuka wahanga wa tetemeko la Bukoba!, poleni! .

Kiukweli nchi yetu ya Tanzania, ni nchi ya ajabu sana!. Tumepata janga kubwa la tetemeko la ardhi, tuaonyeshwa jinsi watu wanavyotaabika na wanavyoteseka, kwa kukosa makazi, watu wanalala nje baada ya kubomokewa na nyumba zao.

Watu mbalimbali ikiwemo jumuiya ya kimataifa wakaguswa na mateso ya binadamu wale, wakajikusanya na kujitoa kuchangia, huku nchi zenye kujua kitu kinachoitwa "disaster emergency rapid response" wakarespond immediately kwa kutoa fedha na misaada ya kibinaadamu kwa haraka sana ili kusaidia kuwapunguzia watu mateso binadamu wale!, kitu cha ajabu kibisa, misaada ile ikahifadhiwa ili kuja kutumika kukarabati Miundombinu ya umma baadaye!, tuwe wakweli, toka ndani ya nafsi zetu, is this fair?!.

Hao waliotuchangia kwa haraka, walichanga kutokana na kuguswa na uharibifu wa Miundombinu ya umma au kutokana na kuguswa na mateso ya binadamu wale, wakajitoa ili kusaidia humanitarian support ili binadamu wale wapunguziwe mateso, na sio kuchangia Miundombinu ya umma, ni haki kweli kuitumia misaada ya kibinaadamu, kukarabatia Miundombinu ya umma? !.

Kwa walioguswa na mateso na tabu za binaadamu wale na wakaahidi kusaidia kiasi hiki na kile, baada ya kugundua kumbe michango yao sio tena ya kubinaadamu kuwasaidia binadamu wale bali ni michango ya development kukarabati Miundombinu ya umma, kweli wataendelea kutoa kwa moyo ule ule, au watawajibika kutoa tuu hivyo hivyo kwa shingo upande kwa vile waliahidi kwa sababu ahadi ni deni?!.

Tukisema Tanzania ni moja za nchi za ajabu kabisa humu duniani, ni kukosa uzalendo kwa nchi yetu pale kitu kinapothaminishwa kuliko utu, ambapo kwenye janga kama lile la tetemeko lilihilohitaji a massive humanitarian support kupunguza mateso ya binadamu, lakini badala ya nchi yetu kuweka priority kwenye watu kwa Katha mini utu wa mtu na kuelekeza misaada hiyo iwe ni ya kibinaadamu kusaidia kupunguza mateso kwa watu, sisi priority yetu ni Miundombinu ya umma!, yaani hiyo Miundombinu umma ndio yenye umuhimu zaidi kuliko utu, kuliko ubinaadamu kiasi cha kufanya imepewa umuhimu wa kwanza, halafu misaada ya kibinaadamu watu kuambiwa "kila mtu kuubeba msalaba wake mwenyewe!" is this fair? !

Lengo la swali hili ni kuelimishana tuu kuhusu hiki kinachofanywa na serikali yetu kwanza kama ni fair, na pili if it is right, kwa sababu serikali yetu inaongozwa na binaadamu na sio na malaika, ili if it is not fair na it is not right, kuwepo watu ambao tuliona na tukasema ili utakapofikia muda wa karma to hit back, watu wasibaki wakijiuliza why, references zipo na tutakumbushana humu humu kama tutakuwepo.

Ni swali tuu! .

Paskali.
Paskali, ukatili kama wa Idd Amin sio lazima upige risasi.
 
Unahitaji akili ya ziada kunielewa, kama upeo wako wa uelewa umeishia hapo, hiyo sio shauri yako!!
Mwenye akili siku zote anaeleweka hata kwa aliye na akili za wastani (hakuhitajiki akili za ziada kumuelewa mwenye akili kama wewe unavyodhani) ila ni vigumu kumuelewa asiye na akili hata kwa genius. As long hueleweki, means wewe huna akili za "ziada" kwa sababu hakuitajiki akili/ufahamu mkubwa kumuelewa mwenye akili. Yaani wewe umeongea opposite.

Mfano halisi. Profesa wa chuo kikuu (tunaamani ana akili za juu ndipo akafika huko) yeye kwa kuwa ana akili (hizo za "ziada") anafundisha wanafunzi wenye akili za "ziada" na wastani na wote wanamuelewa. Lakini haitatokea kwa kirraza akafundisha na akaeleweka kwa wenye akili za juu na wastani. Kama hapa hujaelewa huenda wewe ni robot mpaka tukusetie mitambo ili uelewe kwa "command".
 
Mimi nimejitolea kabisa kuchukua likizo ya mwezi kwenda chato kufanya utafiti upelelezi na uchunguzi kujua huyu jamaa alipozaliwa alikula ama kulishwa vyakula gani? Mazingira aliyoishi yalikuwaje? Je alipata trauma yeyote? Je alipigwa ama kubamizwa kichwani? Hivi vyote vinadetermine IQ

Hovyo kabisa

Mon ami,faites attention.
 
Back
Top Bottom