yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,526
- 1,913
Habari,
Moja kwa moja kwenye mada, hivi Tanzania watu wachapa kazi wanyoofu, wasiopenda mizaha kazini kwanini huwa na maadui wengi? Au maadui wao ni yale magenge ya wahalifu wanayopambana nayo ndio huwajengea chuki?!
Kwa mfano najiuliza kwa kijana Paul Makonda, mkuu wa mkoa pekee aliyepambana kulijenga jiji la Dar, ndiye mkuu wa mkoa pekee aliyepambana na magenge ya wahalifu kama wauza madawa ya kulevya na watumiaji wake, kipindi cha Paul Makonda usingeweza kukutana na panya Road.
Lakini leo, Paul Makonda amefanikiwa kujitengenezea maadui wengi sana nje ya chama na ndani ya chama, kama ilivyo kwa Hayati Magufuli tu.
Ndiyo maana inafikia kipindi najiuliza, je Tanzania watu walionyooka hawatakiwi?
Moja kwa moja kwenye mada, hivi Tanzania watu wachapa kazi wanyoofu, wasiopenda mizaha kazini kwanini huwa na maadui wengi? Au maadui wao ni yale magenge ya wahalifu wanayopambana nayo ndio huwajengea chuki?!
Kwa mfano najiuliza kwa kijana Paul Makonda, mkuu wa mkoa pekee aliyepambana kulijenga jiji la Dar, ndiye mkuu wa mkoa pekee aliyepambana na magenge ya wahalifu kama wauza madawa ya kulevya na watumiaji wake, kipindi cha Paul Makonda usingeweza kukutana na panya Road.
Lakini leo, Paul Makonda amefanikiwa kujitengenezea maadui wengi sana nje ya chama na ndani ya chama, kama ilivyo kwa Hayati Magufuli tu.
Ndiyo maana inafikia kipindi najiuliza, je Tanzania watu walionyooka hawatakiwi?