Tanzania Wasanii ni nani na nini hasa?

Tanzania Wasanii ni nani na nini hasa?

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,614
Ni Tz pekee ambako kwa asilimia kubwa Msanii anaweza kufanya kazi zote za taaluma na zisizo za taaluma.

Tanzania Msanii ni Msanii.

Tanzania Msanii ni Mwanasiasa.

Tanzania Msanii ni Mfanyabiashara.

Tanzania Msanii ni Mkulima.

Tanzania Msanii ni Mtangazaji/Mwanahabari.

Tanzania Msanii ni Balozi wa Tumaini Jema.

Tanzania Msanii ni Balozi wa Jamhuri nje ya nchi.

Tanzania Msanii ni Mbunge.

Tanzania Msanii ni Diwani.

Tusipokuwa makini naona Wasanii wa Tz wanaenda kuwa Mitume, Manabii, Maaskofu, Walimu, Makuhani, Wainjilisti, Masheikh, Wachungaji nk.
 
Multipurpose, Dunia hii usijilimit.Fanya chochote unachoweza ili maisha yaende.
 
Ni Tz pekee ambako kwa asilimia kubwa Msanii anaweza kufanya kazi zote za taaluma na zisizo za taaluma.

Tz Msanii ni Msanii.

Tz Msanii ni Mwanasiasa.

Tz Msanii ni Mfanyabiashara.

Tz Msanii ni Mkulima.

Tz Msanii ni Mtangazaji/Mwanahabari.

Tz Msanii ni Balozi wa Tumaini Jema.

Tz Msanii ni Balozi wa Jamhuri nje ya nchi.

Tz Msanii ni Mbunge.

Tz Msanii ni Diwani.

Tusipokuwa makini naona Wasanii wa Tz wanaenda kuwa Mitume, Manabii, Maaskofu, Walimu, Makuhani, Wainjilisti, Masheikh, Wachungaji nk.


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kosa la kwanza umeanIsha thread bila kunitag mimi mwenye fani hiyo🤣🤣🤣

Kosa la pili, umeshindwa kuidadavua concept.


Msanii ni mtendaji wa kazi za/ya sanaa.
Sanaa mpaka leo hakuna aliyefaulu kutoa proper definition yake.

Sanaa ni matokeo ya mawazo bunifu ambapo mbunifu ameweka malengo mahususi. Lengo kuu la sanaa ni kuifikia HADHIRA.

Msanii
Siyo muongo
Siyo tapeli
Siyo zugazuga
Siyo mwehu ( ingawa kuna mstari mwembamba mnoo kati ya msanii na mwehu)


Msanii
Ni mbunifu
Kioo cha jamii
Mkosoaji kupitia kazi za sanaa
Mburudishaji kupitia kazi za sanaa
Muelimishaji kupitia kazi za sanaa
Muonyaji kupitia kazi za sanaa
Mtunza historia kupitia kazi za sanaa
Mwanajamii

Mkuu uliza tena


Nakusuhukuru mkuu dronedrake kwa kunitag
 
Kosa la kwanza umeanIsha thread bila kunitag mimi mwenye fani hiyo

Kosa la pili, umeshindwa kuidadavua concept.


Msanii ni mtendaji wa kazi za/ya sanaa.
Sanaa mpaka leo hakuna aliyefaulu kutoa proper definition yake.

Sanaa ni matokeo ya mawazo bunifu ambapo mbunifu ameweka malengo mahususi. Lengo kuu la sanaa ni kuifikia HADHIRA.

Msanii
Siyo muongo
Siyo tapeli
Siyo zugazuga
Siyo mwehu ( ingawa kuna mstari mwembamba mnoo kati ya msanii na mwehu)


Msanii
Ni mbunifu
Kioo cha jamii
Mkosoaji kupitia kazi za sanaa
Mburudishaji kupitia kazi za sanaa
Muelimishaji kupitia kazi za sanaa
Muonyaji kupitia kazi za sanaa
Mtunza historia kupitia kazi za sanaa
Mwanajamii

Mkuu uliza tena


Nakusuhukuru mkuu dronedrake kwa kunitag
Bi Kidude ndiye Msanii mwenye maadili, hakuwa na boyfriend wa kugombania wala kukimbilia siasa.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom