Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,139
- 88,800
FULL TIME: SOUTH AFRICA 1 - TANZANIA 0
Siku ya leo tarehe 30 April, majira ya saa 12 jioni kwa masaa ya Africa Mashariki, vijana wetu wa Tanzania walio chini ya miaka 20 almaarufu kama Ngorongoro Boys watakipiga na vijana wa South Africa katika mechi za kundi A ya CAF U20 AFCON.
Hii ni mara ya pili kwa Tanzania kushiriki haya mashindano, mara ya kwanza ikiwa ni 2021.
Mechi itakua Live CAFOnline YouTube kama una bundle la kutosha unaweza kucheki ila kwa niaba ya JamiiForums tutajitahidi kuweka updates hapa kadri tuwezavyo.
Hadi sasa matokeo katika magroup yote ni kama ifuatavyo:
Mungu ibariki Tanzania, Mungu waba
Siku ya leo tarehe 30 April, majira ya saa 12 jioni kwa masaa ya Africa Mashariki, vijana wetu wa Tanzania walio chini ya miaka 20 almaarufu kama Ngorongoro Boys watakipiga na vijana wa South Africa katika mechi za kundi A ya CAF U20 AFCON.
Hii ni mara ya pili kwa Tanzania kushiriki haya mashindano, mara ya kwanza ikiwa ni 2021.
Mechi itakua Live CAFOnline YouTube kama una bundle la kutosha unaweza kucheki ila kwa niaba ya JamiiForums tutajitahidi kuweka updates hapa kadri tuwezavyo.
Hadi sasa matokeo katika magroup yote ni kama ifuatavyo:
Mungu ibariki Tanzania, Mungu waba