Tanzania Vs Morocco

uzuri wa huyu Kocha wetu hana makeke..hongera babu.!!
 
Waarabu hoi, zile style zao za kujiangusha vipi leo hazipo wakuu?
 
Show game time, naona vijana sasa wanamiliki mpira wanaenda mbele na kurudisha kwa Kaseja. Vizuri sana Stars.
 
watoto wanakipiga kama enzi za invincibles.
 
Najua dawa ya timu za Afrika Kaskazin na Magharib ipo kule kwa wakongo,good enough tunavijana wetu wako pande zile cku hizi hivyo ndio matunda tunaoyaona leo hapa......
Heroeezzzz Taifa Starzzzz.
 
Mbona wale wasaliti siwaoni tena? Oooh! Tunafungwa, sijui nini! Mnakosa uzalendo, mnabaki kuchonga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…