Acha ujinga ajira rasmi sio laxima serikali,, serikali sio mtoa ajira mkuu ktk nchi za kicapitalist , government kax take kuweka condusive environment for private investor. To grow nenda south Africa ,ukaone makampuni makubwa ya kibepari yalivyojaa , tu mfano tukiwa na supermarkets, moja kubwa inaweza ajira zaidi ya watu 2000 katika supply chain yake,, kuliko kuwa na viduka vya mangi vinavyotoa ajira kwa mchanga mmoja , dogo njoo hapa Brazil , Chile collombia uone ajira zinavyotengenezwa ,sio umekaa tuhapo kwa manyau nyau
Bro nimekwambia serikali imeajiri kundi dogo sana na bado maisha yanaendelea maana ake raia wanapiga pesa nje ya serikali hujaelewa nini hapo