TANZANIA TUPO HIVI

prezdesho

Senior Member
Dec 30, 2015
150
78
Jinsi mzunguko wa Elimu ulivyo hapa Tanzania.
01.Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

02.Wale waliokuwa wa pili,wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.

03.Wale waliokuwa wa tatu,wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.yaani wa kwanza na wa pili.

04.Wale waliofeli,wanaenda Ualimu na Jeshi,hawa wakigoma,basi hao wa juu wote hawana raha.

05.Wale waliopata Zero,wanakuwa waganga wa kienyeji,wote hapo juu watamtafuta huyu,pale mambo yao yanapokwenda kombo.

Tuache kudharauliana,kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.
 
03.Wale waliokuwa wa tatu,wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.yaani wa kwanza na wa pili.
hapa umekosea kidogo kundi hili ndilo wanao ajiliwa nafasi za kawaida za maofisa serikalini na private,kwa upande wa siasa za Tanzania Takwimu zinaonyesha wengi waliokuwepo na ambao wapo katika ulingo wa siasa vilaza kielimu,wengi hawakusoma na kama alisoma hakufika mbali-hivyo walijikita katika kutafuta maji kwa juhudi zao binafsi ambazo ziliwasaidia kuingia kwenye siasa-
 
Kufeli shule sio Kufeli maisha"nimefeli shule leo nna Gari 2 za kutembelea walimu walionifundisha wananiomba lift dairy
 
Back
Top Bottom