Tanzania tunanunua umeme kutoka Kenya na Uganda.

jew boy

Member
Dec 29, 2016
52
35
Za saahizi wadau, naombeni tujadili mada hii, according to muhongo ni kwamba Tanzania tunanunua umeme kutoka nchi hizo tajwa.

Sasa Mimi najiuliza gas inayotoka mtwara to dar inatusaidia vipi wananchi, walisema gas ikifika dar uzalishaji wa umeme utaongezeka..
Nawasilisha
 
Za saahizi wadau, naombeni tujadili mada hii, according to muhongo ni kwamba Tanzania tunanunua umeme kutoka nchi hizo tajwa.

Sasa Mimi najiuliza gas inayotoka mtwara to dar inatusaidia vipi wananchi, walisema gas ikifika dar uzalishaji wa umeme utaongezeka..
Nawasilisha
Kuanzia mwaka kesho umeme kukatika itakua historia
 
Huo Umeme wa toka Uganda/Kenya unauzwa na kampumi gani nikanunue?! Kama process ya kufungiwa Umeme Tanesco ni nenda rudi zilizojaa urasimu na rushwa bora tu kuagiza/nunua Umeme toka nje!!
 
Back
Top Bottom