SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Wandugu,
Kila mara tunaongelea kujiunga au kutojiunga na jumuiya moja ama nyingine. Inawezekana nina uelewa mdogo kuhusu jumla ya makundi tuliyojiunga nayo. Ninayoyafahamu ni yafuatayo:
1: Umoja wa Mataifa (UN)
2: Jumuiya ya Madola (CHOGM)
3: Umoja wa Afrika (AU)
4: SADEC
5: Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Saidia tujijue Tanzania imo katika jumuiya ngapi kwa kuongeza unayoyajua.
Kila mara tunaongelea kujiunga au kutojiunga na jumuiya moja ama nyingine. Inawezekana nina uelewa mdogo kuhusu jumla ya makundi tuliyojiunga nayo. Ninayoyafahamu ni yafuatayo:
1: Umoja wa Mataifa (UN)
2: Jumuiya ya Madola (CHOGM)
3: Umoja wa Afrika (AU)
4: SADEC
5: Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Saidia tujijue Tanzania imo katika jumuiya ngapi kwa kuongeza unayoyajua.