Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,835
Ni lini google maps itaweka mipaka mipya?
Tanzania tumezidi usumbufu. Hadi leo Kigoma haifikiki kwa lami, tena sio Kigoma tu ila pia Rukwa.
Kama tumeshindwa kuendeleza mikoa 26 je tutawezaje kuendeleza na hiyo mikoa mingine mipya?
Madaraka ni ulaji, na CCM inafanya hivi ili wale
Tanzania tumezidi usumbufu. Hadi leo Kigoma haifikiki kwa lami, tena sio Kigoma tu ila pia Rukwa.
Kama tumeshindwa kuendeleza mikoa 26 je tutawezaje kuendeleza na hiyo mikoa mingine mipya?
Madaraka ni ulaji, na CCM inafanya hivi ili wale