Tanzania tumezidisha usumbufu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,871
155,835
Ni lini google maps itaweka mipaka mipya?
Tanzania tumezidi usumbufu. Hadi leo Kigoma haifikiki kwa lami, tena sio Kigoma tu ila pia Rukwa.
Kama tumeshindwa kuendeleza mikoa 26 je tutawezaje kuendeleza na hiyo mikoa mingine mipya?
Madaraka ni ulaji, na CCM inafanya hivi ili wale
 
wameongeza ili iwe fasheni yaani kila mkuu wa kaya anayeingia magogoni na yeye anaweka mikoa yake.

na itabidi niombe kazi ya u-admin kwenye mkoa mpya wa Simiyu..
 
Back
Top Bottom