Tanzania tumeshuka tena viwango FIFA

Islam005

JF-Expert Member
Nov 1, 2008
3,288
3,320
Sasa ni nchi ya 132,siasa hatuwezi na mpira pia hatujui kucheza,tatizo ni nini?
 
Hatujashinda mechi yoyote hv karibuni, mechi ya kirafiki tumetoka sare na botswana, ulitegemea nini?
 
tatizo ni kwamba sii watanzania niwafuatiliaji wa mpira sio wapenzi. wewe haiwezekani nchi zinapigana vita zinamaliza na kujipanga na kuja kutupita sie....simply we dnt have passion for the game.
 
Back
Top Bottom