Tanzania tulichelewa kumpata Rais kama Dr. Magufuli

jaruri

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
717
459
Ni ukweli usio hitaji Elimu ya CHUO kikuu kuuelewa ,,hata ukitumia akili za kuvalia nguo tu unaweza tambua aina ya uongozi wa Rais wetu mpendwa JPM,,Baba wa taifa aliwahi sema tunahitaji kiongozi ambae hata ukimwangalia usoni unagundua kuwa anamaanisha anachokiongea,,kwa JPM hilo linajidhihirisha wazi kwa ahadi alizotoa kwenye ilani ya chama chetu pendwa CCM anazikeleza kwa vitendo mwenye macho haambiwi tazama ,,Hata hivyo nikinukuu mfano wa dreva wa lori ambae amebeba watu ndani ya lori hawapangii namna ya kusimama ndani ya lori wengine huangalia nyuma,mbele na hata ubavuni na wengine wanaweza kuwa wanaimba ndani ya lori,,,dereva wa lori anapaswa kutazama mbele na kutokuyumbishwa na orientation na kelele za abiria wake na ndo anakifanya JPM
Long live JPM
 
JPM jana amewalaumu Waiokubali Uwekezaji wa Mlimani City badala ya kujenga Hostel Maeneo Yale.

Kweli ukimtazama Uso wake unafanana na Akili zake hasa kwny Masuala ya Uchumi.

Mh. Lowassa wakat akiwa Bungeni aliwahi kumtupia Kijembe Jakaya kuwa Hafanyi Maamuzi Magumu na akasema bora kufanya Maamuzi ya Makosa kuliko kutofanya Maamuzi kabisa!

Hongera sana JPM
 
JPM jana amewalaumu Waiokubali Uwekezaji wa Mlimani City badala ya kujenga Hostel Maeneo Yale.

Kweli ukimtazama Uso wake unafanana na Akili zake hasa kwny Masuala ya Uchumi.

Mh. Lowassa wakat akiwa Bungeni aliwahi kumtupia Kijembe Jakaya kuwa Hafanyi Maamuzi Magumu na akasema bora kufanya Maamuzi ya Makosa kuliko kutofanya Maamuzi kabisa!

Hongera sana JPM
Mlimani city ingeweza jengwa popote japo ingepoteza jina LA mlimani city na kuitwa jina jingine lakini kusudio LA uwekezaji lingebaki pale pale na kama unavyosema pale pangebaki kuwa eneo LA hostel au we unaonaje kamanda?
 
Ni ukweli usio hitaji Elimu ya CHUO kikuu kuuelewa ,,hata ukitumia akili za kuvalia nguo tu unaweza tambua aina ya uongozi wa Rais wetu mpendwa JPM,,Baba wa taifa aliwahi sema tunahitaji kiongozi ambae hata ukimwangalia usoni unagundua kuwa anamaanisha anachokiongea,,kwa JPM hilo linajidhihirisha wazi kwa ahadi alizotoa kwenye ilani ya chama chetu pendwa CCM anazikeleza kwa vitendo mwenye macho haambiwi tazama ,,Hata hivyo nikinukuu mfano wa dreva wa lori ambae amebeba watu ndani ya lori hawapangii namna ya kusimama ndani ya lori wengine huangalia nyuma,mbele na hata ubavuni na wengine wanaweza kuwa wanaimba ndani ya lori,,,dereva wa lori anapaswa kutazama mbele na kutokuyumbishwa na orientation na kelele za abiria wake na ndo anakifanya JPM
Long live JPM
sawa Bashite tumekusikia...
 
JPM jana amewalaumu Waiokubali Uwekezaji wa Mlimani City badala ya kujenga Hostel Maeneo Yale.

Kweli ukimtazama Uso wake unafanana na Akili zake hasa kwny Masuala ya Uchumi.

Mh. Lowassa wakat akiwa Bungeni aliwahi kumtupia Kijembe Jakaya kuwa Hafanyi Maamuzi Magumu na akasema bora kufanya Maamuzi ya Makosa kuliko kutofanya Maamuzi kabisa!

Hongera sana JPM
Bila kumtaja Lowassa utavimbiwa Pasaka hii?
 
Mlimani city ingeweza jengwa popote japo ingepoteza jina LA mlimani city na kuitwa jina jingine lakini kusudio LA uwekezaji lingebaki pale pale na kama unavyosema pale pangebaki kuwa eneo LA hostel au we unaonaje kamanda?

Tazama kwanza Faida tuliyopata kwa kuwa na Ule Uwekezaji

1) Ajira kwa Vijana wengi

2) Kodi itokanayo na Biashara na uwekezaji

3) Mandhari kupendeza

4) Ile ni Lease agreement baada ya Muda Fulani itabaki kuwa Mali ya Udsm

Halafu linganisha na Faida Kama Yale Maeneo yangekuwa Hostel Kama Faida yake ingekuwa sawa?

Kusema Ule Uwekezaji ungeweza kuwekwa Popote ni Mawazo ya Kijamaa sio ya Kibiashara, Location ya Biashara ni factor Muhimu sana kwa uwekezaji

anakuja Mwekezaji anafanya study zake na anajiridhisha lile eneo linafaa kwa Biashara Wewe unaleta Mapendekezo yako eti angeweza kuwekewa Popote,unajua umuhimu wa Location kwny Biashara?

Hostel za Udsm iliwezekana kukaa Mabibo jee Uwekezaji wa Mlimani city ungeweza kuwekwa Mtoni Kijichi ukawa na Tija Kama ulivyowekwa pale?

Mawazo ya kusema Uwekezaji ungeweza kuwekwa popote ndio waliutumia Halmashauri ya Jiji eti kuwatoa Wamachinga katikati ya Jiji na kutaka kuwajenge Vibanda vya Kisasa Chanika na kule Kigogo fresh!
 
Sikupingi maana ni mawazo yako.

Nina tu swali tudogo tuwili,
1. Hivi jamaaa ni mcha Mungu kweli, na Msema kweli,?
2. Kama jibu la hapo juu ni ndiyo kwa nini Lema alikalishwa rumande kwa Amri kutoka juu? na kwa nini Ben apotezwe?
 
Ni ukweli usio hitaji Elimu ya CHUO kikuu kuuelewa ,,hata ukitumia akili za kuvalia nguo tu unaweza tambua aina ya uongozi wa Rais wetu mpendwa JPM,,Baba wa taifa aliwahi sema tunahitaji kiongozi ambae hata ukimwangalia usoni unagundua kuwa anamaanisha anachokiongea,,kwa JPM hilo linajidhihirisha wazi kwa ahadi alizotoa kwenye ilani ya chama chetu pendwa CCM anazikeleza kwa vitendo mwenye macho haambiwi tazama ,,Hata hivyo nikinukuu mfano wa dreva wa lori ambae amebeba watu ndani ya lori hawapangii namna ya kusimama ndani ya lori wengine huangalia nyuma,mbele na hata ubavuni na wengine wanaweza kuwa wanaimba ndani ya lori,,,dereva wa lori anapaswa kutazama mbele na kutokuyumbishwa na orientation na kelele za abiria wake na ndo anakifanya JPM
Long live JPM
Mungu ambariki sana Mheshimiwa JPM. Kwa hakika anafanya vizuri sana.
Wanaombeza Rais Magufuli leo bila shaka siku moja watakuja kumwangukia miguuni pake wakimwomba msamaha.
 
Bila kumtaja Lowassa utavimbiwa Pasaka hii?

Achaga Ushamba basi!

Onesha Immunity ya kutomtaja Lowasaa ili tusiwe tunamtaja! Kama unampenda sana Lowassa ungepaswa kutetea kwa kusema hayo Maneno nimetunga au nimekosea kunukuu sio kuleta Uwakili Uchwara!

Mlianzisha Forum yenu ya Mwana.halisi forums ili msiyoyapenda kusoma yasiwepo na mkahamasishana muondoke humu lakin mmerudi mmoja mmoja baada ya kugundua kuwa Moja ya ladha za JF ni Pamoja na kusoma usiyopenda kuyaona au kusikia maana huko wote mlikutana wenye Mawazo yanayofanana
 
Mlimani city ingeweza jengwa popote japo ingepoteza jina LA mlimani city na kuitwa jina jingine lakini kusudio LA uwekezaji lingebaki pale pale na kama unavyosema pale pangebaki kuwa eneo LA hostel au we unaonaje kamanda?
Wangejenga kule ingeitwa Manzese city
 
Tazama kwanza Faida tuliyopata kwa kuwa na Ule Uwekezaji

1) Ajira kwa Vijana wengi

2) Kodi itokanayo na Biashara na uwekezaji

3) Mandhari kupendeza

4) Ile ni Lease agreement baada ya Muda Fulani itabaki kuwa Mali ya Udsm

Halafu linganisha na Faida Kama Yale Maeneo yangekuwa Hostel Kama Faida yake ingekuwa sawa?

Kusema Ule Uwekezaji ungeweza kuwekwa Popote ni Mawazo ya Kijamaa sio ya Kibiashara, Location ya Buashara ni factor Muhimu sana kwa uwekezaji

anakuja Mwekezaji anafanya study zake na anajiridhisha lile eneo linafaa kwa Biashara Wewe unaleta Mapendekezo yako eti angeweza kuwekewa Popote,unajua umuhimu wa Location kwny Biashara?

Hostel za Udsm iliwezekana kukaa Mabibo jee Uwekezaji wa Mlimani city ungeweza kuwekwa Mabibo Hostel ukawa na Tija Kama ulivyowekwa pale?

Mawazo ya kusema Uwekezaji ungeweza kuwekwa popote ndio waliutumia Halmashauri ya Jiji eti kuwatoa Wamachinga katikati ya Jiji na kutaka kuwajenge Vibanda vya Kisasa Chanika na kule Kigogo fresh!
Umenena vyema uwekezaji unahitaji eneo zuri linaloendana na uwekezaji husika but can we allow the investors to invest any where provided they have sited it as the best place for their business even at the expense of interfering with other sectors?, it is practically impossible DSM is too big and there could other place just in DSM which could be as best as mlimani City for the said investment but hostels had no best alternative site which is nearer to the university.
I know business creates employment but before you go to search for job you need to be a student first to get qualifications and the better place to is places like UDSM which needs better studying environment like nearby hostels etc
 
Ukichagua kumsifia mtu hata kama ni tahira ana uzuri wake na hakika utapata kizuri cha kusema. Vivyo hivyo ukiamua kumsema vibaya au kutaja sifa mbaya za mtu mzuri sana unaweza tu maana kila mtu ana a dark side.

Mnaosifia leo kesho mwaweza kulaani na mnaolaani leo kesho mwaweza kusifia.

Kila mtu anamview JPJM from different view point and we are all right. Nikianza kuorodhesha mabaya ya huyu mkuu nitarushiwa madongo ya kufa mtu wakati ambapo ni ufahamu wangu tu. Mara nyingine ni vema kuweka akiba ya maneno.
 
Back
Top Bottom