JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..yaani na uzembe unaondelea hapa mnataka muwe na mitambo ya Nyuklia?!
..tumeishafikiria jinsi gani tuta-deal na vitu kama Nuclear waste au ndiyo tutaenda kuzibwaga dumpo la Tabata au Ferry Magogoni?
..je, tuna uwezo wa kukabiliana na ajali ktk mitambo ya Nyuklia? ajali ndogo-ndogo za moto kwenye mabweni ya wanafunzi zinatushinda kukabili, leo tunataka madubwana ya hatari kama Nyuklia plants.
..tumeishafikiria jinsi gani tuta-deal na vitu kama Nuclear waste au ndiyo tutaenda kuzibwaga dumpo la Tabata au Ferry Magogoni?
..je, tuna uwezo wa kukabiliana na ajali ktk mitambo ya Nyuklia? ajali ndogo-ndogo za moto kwenye mabweni ya wanafunzi zinatushinda kukabili, leo tunataka madubwana ya hatari kama Nyuklia plants.