Jamii nyingi za kitanzania zitabadili vitendo endeshi kwa watoto na kuwapa nafasi ya kuchagua maamuzi yaliyo Bora kwao.
1. Mimi Ni mmoja ninayepitia changamoto ya kufikia ninachokitaka kutokana na jamii na familia ninayoiishi.
2. Inakuwa ngumu kwa mtu kuwa na uelewa wa anachokipendelea au kukihitaji mtoto na kumpatia.
Nikiwa Kama mmoja wa jukwaa hili miaka mitano na kuendelea ya Tanzania tuitakayo hakuna Tena mtoto atakaezuiwa kufanya anachokipenda kulingana na mipaka na maadili ya jamii hii Ni kubadilisha fikra za wazazi,walezi na wanajamii ili kuleta uhalisia wa Tanzania huru.
1. Mimi Ni mmoja ninayepitia changamoto ya kufikia ninachokitaka kutokana na jamii na familia ninayoiishi.
2. Inakuwa ngumu kwa mtu kuwa na uelewa wa anachokipendelea au kukihitaji mtoto na kumpatia.
Nikiwa Kama mmoja wa jukwaa hili miaka mitano na kuendelea ya Tanzania tuitakayo hakuna Tena mtoto atakaezuiwa kufanya anachokipenda kulingana na mipaka na maadili ya jamii hii Ni kubadilisha fikra za wazazi,walezi na wanajamii ili kuleta uhalisia wa Tanzania huru.