Tanzania tuige mfano wa uganda!!!!!!!

Mtumishi Wetu

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
5,714
1,906
Inavyo onyesha ndg zangu wadau serikali hii ya JK na operative wake kina TAKUKURU na Bwn Fereshi DPP, wameshindwa kabisa kuwapeleka mahakamani wezi na mafisadi waliofirisi nchi yetu!!!!! Mbaya zaidi hao mafisadi bado wana influence kwenye hii serikali ya wana maghamba wanaendelea kuiba!!!!!!!!!! Sasa the right option ni waheshimiwa wabunge wapeleke mswada bungeni wa kuunda chombo kitakacho pewa madaraka na bunge, bila kuingiliwa na serikali kiwe na powers za kuinvestigate, kukamata na kufikisha wezi wote wa mali za umma ( mkataba mibovu) na mafisadi wote mahakamani ( powers to prosecute). Vile vile bunge liunde mahakama ya kushughulikia kesi za corruption bila kingiliwa na serikali na kutoa hukumu ya halali!!!!!!!!!!! Maana kama tutanyamaza eti tusubiri katiba mpya hawa watu wanazidi kufilisi nchi wanaacha mashimo na ukiwa. Kwa mbunge yeyote mpenda nchi hii ya TZ ataunga mkono, kama atapinga tunajua ni msanii msaliti au ananufaika na mapato hayo ya dhuluma kwa Watanzania!!!!!!!!!!! Nawasilisha!!!!!!!!!!
 
IGG haogopi kupeleka wezi mahakamani kama Hosea na Fereshi, mawaziri wanne watakuwa kizimbani VP yuko Luzira remand prison. Wakwetu wanatesa mitaani kama vile hakuna serikali!!!!!!!!!!
[h=1]IGG Baku moves to wipe doubts[/h]
ico_plus.png
Share
ico_bookmark.png
Bookmark
ico_print.png
Print
ico_email.png
Email
Email this article to a friend

Friend's Email Address
Your Email
Message
Submit Cancel


Rating
home002pix.jpg

Minister Kutesa (front) and Motorcare manager Kim Vandbaek (Left) inspect some of the BMW cars used during Chogm at Shimoni grounds in 2007. FILE PHOTO
 
IGG haogopi kupeleka wezi mahakamani kama Hosea na Fereshi, mawaziri wanne watakuwa kizimbani VP yuko Luzira remand prison. Wakwetu wanatesa mitaani kama vile hakuna serikali!!!!!!!!!!
IGG Baku moves to wipe doubts


ico_plus.png
Share
ico_bookmark.png
Bookmark
ico_print.png
Print
ico_email.png
Email
Email this article to a friend

Friend's Email Address
Your Email
Message
Submit Cancel



Rating
home002pix.jpg

Minister Kutesa (front) and Motorcare manager Kim Vandbaek (Left) inspect some of the BMW cars used during Chogm at Shimoni grounds in 2007. FILE PHOTO
Watu waliofilisi taifa letu ua walilitia hasara taifa kwa mikataba mibovu yenye maslahi kwao ni lazima tutafute namna ya kuwafikisha mahakamani!!!!!!!!Tuache chit chat mswada upelekwe bungeni ili bunge litoe uamuzi wa kuunda chombo au vyombo vya kushughulia wezi!!!!!!!!!!Hiyo itaondoa umaskini unaoletwa na mbinu chafu ya wizi na kujirundikia mali, huku nchi ikibaki maskini!!!!!!!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom