Tanzania to become eighth largest Uranium producer in the world

Tanzania to become eighth largest Uranium producer in the world

Mazoea hujenga tabia, .... baadae utamaduni. Wadanganyika ni guinea pigs wa makampuni ya uwekezaji ktk ardhi! Who cares!
 
Naomba kuuliza, hivi uranium ambayo haijajawa enriched ina madhara gani?
 
We are in for it maana UNESCO washatoa go ahead!
Namtumbo be on standby of the sideeffects followed by the rest of Tanzanians
 
Hizi ranks huwa zinanichanganya sana.......mara ni wazalishaji pekee wa tanzanite.......mara sijui tuko wangapi kwa uchimbaji wa dhahabu.......mara sisi ndio tunawakupa wabunge wetu vizuri kuliko wote africa...mara...mara. .. .....sijui mimi nafaidikaje!!!!!
 
Wataanza na miaka mitano ya msamaha wa kodi. Baada ya hapo ni mafisadi watakaunufaika na sio Taifa.
 
Kijijini kwangu kijiji chote kimepigwa "X" na wanchi wameambiwa watafute pa kuhamia ili kupisha shughuli za uchimbaji wa uranium. Nadhani wakati wa kupigana vita nchi hii umefika.

Nimeanza kupambana na hii serikali juu mpango huu wa kuchimba uranium tanzania hususani kwenye maeneo ya dodoma, Bahi na Manyoni singida, na mbuga ya selous kwa kupitia asasi yangu ya FEMAPO kuanzia mwaka 2008, kiukweli tanzania tujiandae kwa janga kubwa, mbuga ya selous inaenda kutoweka, wanyama wakomsensitive sana na mazingira ya hatari watahama wanyama wote selous ambayo ni urithi wa dunia, lakini janga kubwa zaidi ni binadamu ambao wataathirika na athari za muda mrefu za madini haya! Jamani wanajamvini nafikiri huu ni wakati mwafaka kutoka jamvini na kui confront serikali live, otherwise tunaweka rehani futuremya vizazi vijavyo!
 
Naomba kuuliza, hivi uranium ambayo haijajawa enriched ina madhara gani?

It is deadly poisonous because it is radioactivity, inamionzi hatari ambayo inaathiri mwili wa mwanadamu, mimea, wanyama, maji etc. Mavumbi yatakayotokana na kuchima uranium yatasambaa maeneo ya mbali na kuathiri watu, materials yatakayo sombwa na mafurika yatasambazwa hadi kwenye mashamba, mimea nayo itakuwa na radioactive uptake, samaki nao, ng'ombe nao! The chain continues. Na kwakuwa athari zake ni long term na life span ya mgodi labda ni 10-15-20years wazungu watakuwa wamesepa wakati sis tunapambana athari za kucontain mabaki ya uranium ambayo ni poisonous and radioactive kwa maelfu ya miaka! Gharama za kutunza mabaki ya uranium ni kubwa kuliko faida yamuchimbaji wake? Mfano nchi za Kazastani na Tajisktan nimehangaika hadi leo kupambana na athari za uchimbaji wa madini haya uliofanya na Russia miaka ya 1950, mwka 2010 June, walifanya mkutano wa kimataifa ambao ulisimamiwa na UN kuomba msaada kwamjumuia ya kimataifa wasaidiwe kupata msaada wa kifedha kudhibiti madhara ya mabaki ya uranium! Hivi kweli Tanzania tumejiandaa kwa kiasi gone with the future consequences za Kuchimba uranium?
 
Wakati nasoma nilikuwa natafuta ni sehemu gani imeandikwa serikali ya tz itafaidika vipi kimapato ya kodi na hao wawekezaji watachukua ngapi? I found nada! Zaidi ya kusema permanent 600 employed! Na ma ranks yao! Nataka niambiwe this time we get 40% ya mapato but all I see ni nafasi za wachache kutajirika, my TZ ooh my country when will ever awake?
 
It is deadly poisonous because it is radioactivity, inamionzi hatari ambayo inaathiri mwili wa mwanadamu, mimea, wanyama, maji etc. Mavumbi yatakayotokana na kuchima uranium yatasambaa maeneo ya mbali na kuathiri watu, materials yatakayo sombwa na mafurika yatasambazwa hadi kwenye mashamba, mimea nayo itakuwa na radioactive uptake, samaki nao, ng'ombe nao! The chain continues. Na kwakuwa athari zake ni long term na life span ya mgodi labda ni 10-15-20years wazungu watakuwa wamesepa wakati sis tunapambana athari za kucontain mabaki ya uranium ambayo ni poisonous and radioactive kwa maelfu ya miaka! Gharama za kutunza mabaki ya uranium ni kubwa kuliko faida yamuchimbaji wake? Mfano nchi za Kazastani na Tajisktan nimehangaika hadi leo kupambana na athari za uchimbaji wa madini haya uliofanya na Russia miaka ya 1950, mwka 2010 June, walifanya mkutano wa kimataifa ambao ulisimamiwa na UN kuomba msaada kwamjumuia ya kimataifa wasaidiwe kupata msaada wa kifedha kudhibiti madhara ya mabaki ya uranium! Hivi kweli Tanzania tumejiandaa kwa kiasi gone with the future consequences za Kuchimba uranium?

Another Disaster
 
siku hizi wajanja tunaangalia BENEFICIARY, hiyo misifa ya kijinga haina nafasi. Kipimo sio tunazalisha nini, bali TUNAFAIDIKA KIASI GANI na chochote tunachozalisha. Tuamke kutoka usingizini, tunaachwa.
 
Walishajenga airstrip eneo la hiyo project au bado?
Binafsi nitaona impact hapo saruji itakapouzwa tzs 4000/50kg, umeme tzs 100/unit na Maji tzs 200/unit. Kinyume na hapo bado tunaibiana saaana tu.
 
Tuna mali nyingi hapa kwetu lakini muugwana unatumia muda mwingi anaomba misaada
 
Mi naendelea kuwaomba mods watuwekee mambo sawa. Something big is coming
 
Back
Top Bottom