Sidhani kuna ubishi wowote kuhusu hilo. Soma kwanza taarifa kwenye hiyo link hapo kwenye mada ya uzi. Alafu ukishaelewa mbona ufadhili wote huo upo matatani urejee upya kama great thinker.world bank wanazidi kumwaga pesa Tanzania. Wanasema the future of Tanzania is more promising. Kwa sasa miradi ambayo ipo kwenyr progress stage hapa TZ ni more than Tsh 10 Trillion inayo faziliwa na World Bank
Leo ndio nimejua kwamba Reuters ni shirika la habari la kikenya na World Bank ni ya hapa hapa Nairobi. Kila siku najifunza mapya hapa Jf.
Hii habari ya juziπππ Sio mimi ni BBC!πππππ€£π€£π€£π€£πππππ€£π€£ππππKila wakibanwa ni Kenyan propaganda. I am sure when a Tanzanian is arrested abroad, he will blame it on Kenyan propaganda.
Soma hiyo Taarifa ya tarehe ngapi na hii taarifa ya tarehee ngapiππππ Hii ya juzi. Bado mbichi kabisaπππSidhani kuna ubishi wowote kuhusu hilo. Soma kwanza taarifa kwenye hiyo link hapo kwenye mada ya uzi. Alafu ukishaelewa mbona ufadhili wote huo upo matatani urejee upya kama great thinker.
soma source ya hiyo taarifa niya tarehe ngapi na hii ni tarehe ngapi. ππππ tunapo kimia jua hatutaki kujisifia ovyo ovyoππππSidhani kuna ubishi wowote kuhusu hilo. Soma kwanza taarifa kwenye hiyo link hapo kwenye mada ya uzi. Alafu ukishaelewa mbona ufadhili wote huo upo matatani urejee upya kama great thinker.
habari mbichi iko hapa donkeys penis towerπππKuna jamaa hapa katokwa na povu kweli. Yani post yangu moja kaiquote mara tano akitafuta uharo online wa kurebut. Yaani ukweli umeuma hadi raha.
Soma hii habari vizuri ukiwa umevua miwaniπππPia naomba uchukue note ya tarehe na miezi yake iliyoko kwenye hii taarifa.πππ kama kiswahili kitakuwa kigumu kwako tumia kamusiππππ€£π€£ππππSidhani kuna ubishi wowote kuhusu hilo. Soma kwanza taarifa kwenye hiyo link hapo kwenye mada ya uzi. Alafu ukishaelewa mbona ufadhili wote huo upo matatani urejee upya kama great thinker.
Hesabu zinakusumbua. 7Γ50, 5Γ76.0 ipi kubwa?Tangu tulianza kuambiwa Tanzania uchumi wake unakua kwa asilimia 7% na la kushangaza tunazidi kuongeza pengo dhidi yao, tunazidi kuwashinda, huwa haingii akilini.
Hesabu zinakusumbua. 7Γ50, 5Γ76.0 ipi kubwa?
pengo gani hilo. TuonyesheπππTangu tulianza kuambiwa Tanzania uchumi wake unakua kwa asilimia 7% na la kushangaza tunazidi kuongeza pengo dhidi yao, tunazidi kuwashinda, huwa haingii akilini.
Ukuaji wa uchumi wetu umewahi hata kushuka hadi 0.2% mnamo mwaka wa 2008 wakati nchi yetu iliingia kwenye machafuko, halafu pia tumechezea kenye 4% kwa muda mrefu, sasa nyie muda wote tunaambiwa 7% or more lakini ukiangalia pengo la uchumi baina yetu na nyie linazidi kuongezeka, tunaendelea kuwaacha kuleee!!!!
Acheni kupika data na mkubali matokeo kama yalivyo, it's the first step towards development, kuujua ukweli wa jinsi unavyofanikiwa kama kweli unapiga hatua za kweli au maigizo. Upikaji wa data utawapa feel good sensation lakini tatizo litabaki pale pale. Ni kama domo zege anayeishi kwa nyeto miaka yote hataki kutia jitihada za kutongoza apate the real thing.
Be ready to handle the truth and you will be free.
So aside from Chinese loans mko na kshs500billion za world bank? kwani "tunatumia pesa zetu za ndani" ilikwenda wapi?world bank wanazidi kumwaga pesa Tanzania. Wanasema the future of Tanzania is more promising. Kwa sasa miradi ambayo ipo kwenyr progress stage hapa TZ ni more than Tsh 10 Trillion inayo faziliwa na World Bank
They've lied so much they forgot they lied. Sasa ni kujiumbua wenyewe.ππππSo aside from Chinese loans mko na kshs500billion za world bank? kwani "tunatumia pesa zetu za ndani" ilikwenda wapi?
Ubaya ya uwongo ni kuwa inakubidi utumie uwongo mwingine mkubwa to cover ile ya awali.
Afu njoo na ile Picha yangu...