Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 25
Habari wa wana jf,
Nimejitokeza hapa kwa mara nyngne maana kuna kipindi nilikuja hapa na hoja kwamba kuna mpango wa kuanzishwa kwa bodi ya kusimamia utaalamu wa walimu na vikao vya siri vinafanyika ili kuanzisha bodi hyo.Na uanzishwaji wa TTPB umeigwa Nigeria.
Kikubwa hapa Bodi hii ni nzuri itasaidia waalimu lakini makato yake ni makubwa. Pia chombo hk inasimamia masuala ya discipline ambayo husimamiwa na TSD.
Na kama mpango huu ukipita basi chama cha waalimu hakina umuhimu lakini bado kuna mpango wa kuwepo vyombo hv viwili ambapo ni mzigo kwa kwa walimu.
Je wadau mna maoni gani juu ya hili?
Nimejitokeza hapa kwa mara nyngne maana kuna kipindi nilikuja hapa na hoja kwamba kuna mpango wa kuanzishwa kwa bodi ya kusimamia utaalamu wa walimu na vikao vya siri vinafanyika ili kuanzisha bodi hyo.Na uanzishwaji wa TTPB umeigwa Nigeria.
Kikubwa hapa Bodi hii ni nzuri itasaidia waalimu lakini makato yake ni makubwa. Pia chombo hk inasimamia masuala ya discipline ambayo husimamiwa na TSD.
Na kama mpango huu ukipita basi chama cha waalimu hakina umuhimu lakini bado kuna mpango wa kuwepo vyombo hv viwili ambapo ni mzigo kwa kwa walimu.
Je wadau mna maoni gani juu ya hili?