Tanzania summons Kenyan High Commissioner to explain xenophobic remarks

Cicero

JF-Expert Member
Jan 20, 2016
2,924
3,072
1138558
 
Wangefanya hivi mambo ya Bagamoyo Port, aibu Hii haingekuwa na mambo yangetatuliwa kitambo na njia mbadala kupatikana. Hivi Hawa wabunge wako na mikakati ipi ya kuhakikisha Watanzania hawahami Nchi yao kutafuta njia za kujikimu maisha? Hili si swali la Tz peke yake mbali Afrika nzima.
 

Stupidity. Serikali ya Tanzania haina kazi?
Kila mwanasiasa anayesimama kuongea lazima mmepe jibu?

Cha ukweli ni kwamba Tanzania ndio imejaa xenophobia, na hili sio jambo la wanasiasa tu. Ni government policy.
Sasa hivi mnataka kuipa Kenya kidole cha lawama, ili mkiulizwa kwa nini mnawatendea Wakenya vibaya huko, mseme kwamba Watanzania wanatendewa vivyo hivyo hapa Kenya.

Msidhani hatuelewi reverse psychology.

Lakini serikali ya Kenya haina utoto kama inayoongozwa na supremo makufuli.

Hii ndio statement ya GOK leo.

gok.jpg
 
Stupidity. Serikali ya Tanzania haina kazi?
Kila mwanasiasa anayesimama kuongea lazima mmepe jibu?

Cha ukweli ni kwamba Tanzania ndio imejaa xenophobia, na hili sio jambo la wanasiasa tu. Ni government policy.
Sasa hivi mnataka kuipa Kenya kidole cha lawama, ili mkiulizwa kwa nini mnawatendea Wakenya vibaya huko, mseme kwamba Watanzania wanatendewa vivyo hivyo hapa Kenya.

Msidhani hatuelewi reverse psychology.

Lakini serikali ya Kenya haina utoto kama inayoongozwa na supremo makufuli.

Hii ndio statement ya GOK leo.

View attachment 1138569
Mpumbavu wewe yale majigambo yenu ya Aggressiveness yapo wapi? Mkishindwa mnakimbilia hujuma!
 
Mpumbavu wewe yale majigambo yenu ya Aggressiveness yapo wapi? Mkishindwa mnakimbilia hujuma!
Kamwe usimuamini mkenya yoyote hapa duniani, watu ambao waliwasaliti waafrica kipindi cha ukoloni na kuamua kuwaunga mkono wazungu ambao waliwadhalilisha na kuwanyonga wakenya wengi wakati wa vita vya mau mau, sio watu wa kuwaamini.
 
Stupidity. Serikali ya Tanzania haina kazi?
Kila mwanasiasa anayesimama kuongea lazima mmepe jibu?

Cha ukweli ni kwamba Tanzania ndio imejaa xenophobia, na hili sio jambo la wanasiasa tu. Ni government policy.
Sasa hivi mnataka kuipa Kenya kidole cha lawama, ili mkiulizwa kwa nini mnawatendea Wakenya vibaya huko, mseme kwamba Watanzania wanatendewa vivyo hivyo hapa Kenya.

Msidhani hatuelewi reverse psychology.

Lakini serikali ya Kenya haina utoto kama inayoongozwa na supremo makufuli.

Hii ndio statement ya GOK leo.

View attachment 1138569
Nafikiri una matatizo ya kusahau unachokiandika kila baada ya aya moja.

Binafsi itoshe kusema mbunge wa Kenya alighafirika au hana uelewa mzuri katika jambo alilokuwa akifanya.

Hakuna sababu ya kujisifia. Ni UJINGA WA BAADHI YETU, SISI WAFRIKA TENA SISI TULIO KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA NI MASIKINI WA KUTUPWA. SO TUFANYE KAZI KWA BIDII KUJIKOMBOA.
 
Mpumbavu wewe yale majigambo yenu ya Aggressiveness yapo wapi? Mkishindwa mnakimbilia hujuma!

Hayo ni maneno ya mwanasiasa mmoja.
Wakenya kwa biashara hatulii. Especially hatuwezi lia ambapo competitor ni Watanzania.. 😂 😂
Kwa sababu hapo pako na zero competition.
 
Hayo ni maneno ya mwanasiasa mmoja.
Wakenya kwa biashara hatulii. Especially hatuwezi lia ambapo competitor ni Watanzania..
Kwa sababu hapo pako na zero competition.
Hahahahaha, umesahau kampeni ya " play Kenyan music"?. Ninyi ndivyo mlivyo, mkishindwa mnatafuta hujuma. Hivi haya anayosema Jaguar na "Play Kenyan music', kuna tofauti gani?. Ila msijaribu kumgusa mtanzania hata mmoja, mtatafutana hapo Nairobi, sisi ni zaidi ya Alshabab, tutawacharaza viboko ndani ya Nairobi.
 
Kamwe usimuamini mkenya yoyote hapa duniani, watu ambao waliwasaliti waafrica kipindi cha ukoloni na kuamua kuwaunga mkono wazungu ambao waliwadhalilisha na kuwanyonga wakenya wengi wakati wa vita vya mau mau, sio watu wa kuwaamini.
Mlikuwa wapi wakombozi wa africa wakati wakenya walikuwa wananyongwa watu wa historia
 
Hahahahaha, umesahau kampeni ya " play Kenyan music"?. Ninyi ndivyo mlivyo, mkishindwa mnatafuta hujuma. Hivi haya anayosema Jaguar na "Play Kenyan music', kuna tofauti gani?. Ila msijaribu kumgusa mtanzania hata mmoja, mtatafutana hapo Nairobi, sisi ni zaidi ya Alshabab, tutawacharaza viboko ndani ya Nairobi.
Tundu lissu tu kawashinda...
 
Kamwe usimuamini mkenya yoyote hapa duniani, watu ambao waliwasaliti waafrica kipindi cha ukoloni na kuamua kuwaunga mkono wazungu ambao waliwadhalilisha na kuwanyonga wakenya wengi wakati wa vita vya mau mau, sio watu wa kuwaamini.
Why the contradictory statements from you? Online Xenophobic attacks against Kenyans sababu tu ya wivu? You are very thick, wewe na wale washenzi wa Xenophobic attacks against Africans in South Africa mko tu sawa ni vile hujapata nafasi ya kushika rungu au panga.
 
Usibadilishe topic, ninyi ni watu wa hovyo sana na roho mbaya, mnataka ninyi tu ndio mpate. Hakuna wa kuwaamini, tubaki kusalimiana kwa mbali, inatosha.
Sasa si nynyi ni mambo mbaya kw kusambaratisha...ndio muanze na hyo kwanza aliye washinda kumpoteza ndio mje kenya...imekuuma
 
Why the contradictory statements from you? Online Xenophobic attacks against Kenyans sababu tu ya wivu? You are very thick, wewe na wale washenzi wa Xenophobic attacks against Africans in South Africa mko tu sawa ni vile hujapata nafasi ya kushika rungu au panga.
Ona ndugu zao hao walivyowafanyia
20190625_235435.jpeg
 
I disagree with the young MP on his remarks, it is certainly a speech meant to rouse the crowd and gather cheap political points. I do agree with him that we need to get rid of illegal workers. A lot of the hawkers in gikomba from other east african countries do not have work permits, yet as Kenyans we are not allowed the same in neighbouring countries. The non east africans on the other hand should completely be banned from these sectors. We should get rid of all illegal immigrants. Where I live there is a lot of construction going on and I know about 20 burundi nationals who do not have a work permit, yet they work as masons in construction sites. Ugandans and Rwandans get work permits without the charges because of a protocol signed by the three countries in 2015. Tanzanians and Burundi nationals have to pay a fee to get work permits but they do not instead a lot of them have used the eac system to get into kenya and start competing with kenyans on menial jobs like farm hands, hawking, night guards etc. No country can allow this and i highly doubt that even Tanzania can accept this.
 
Back
Top Bottom