Kichaafulani
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 1,295
- 1,275
Iko wapi roma Empire?
Tanzania sio Zimbabwe ndio maana ni nchi tofauti zenye majina tofauti. Grace Mugabe alichochemka ni kutoheshimu wapigania Uhuru wa Zimbabwe akina munangagwa wakati yeye familia yake wala wazazi wake hawakupigania Uhuru wa Zimbabwe ndio maana jeshi LA Zimbabwe likampiga mateke grace Mugabe na hawara yake Mugabe.Jeshi LA Zimbabwe limerudisha kuwakabidhi waliopigania Uhuru wa Zimbabwe akina munangagwa sio akina grace Mugabe ambaye hata vita ya kupigania Uhuru ya chimulenga hajui ni kitu gani.Grace Mugabe ni bull shit don't refer her here ni malaya tu wa ZimbabweHata Grace Mugabe alsema hivyo hivyo ila leo kaonekaka atatafuta taxi China mwezi ulipita alikuwa anaunusa urais
Picha nitakuwekea
Kuna watu walishalemazwa Lumumba kiasi hata kuweka kauli sawa tu ni haramu!!! Lumumba inamuona mtu huyu kama ndiyo kila kitu?! Ahh huku ni zaidi ya kujikomba aiisseeeehUnaposema magufuli akiondoka, kwenda wapi? Amekwambia anaplan ya kuondoka?
Acheni watu wapige kura siyo kuwaamulia nani awe diwani, mbunge & hata urais.Wewe udiwani tu mumejinyea uraisi hamuwezi
Kama mnapendwa na mnajiamini Kwanini hamkubali taasisi na vitu vinavyotoa haki kwa wote eg katiba, tume huru nk. ?!!!Katiba ya warioba utaisubiri sana tena sana hakuna kitu kama hicho uko kwenye safari ya lowasa ya matumaini hewa
Mali yake niJanet tu.Kwasasa ni mali yake kila mtu lazima ajue hilo
Mali yake niJanet tu.Kwasasa ni mali yake kila mtu lazima ajue hilo
Uzuri yeye ndiye katiba imempa mamlaka makubwa anaweza kuipiga nchi mnada na akaenda zake uhamishoni.Mali yake niJanet tu.
Endelea kuota mchana wa saa saba wakati watu wapo lunchCCM itang'oka kama Mugabe, siku zinahesabika

Endelea kuota mchana wa saa saba wakati watu wapo lunch![]()
Ukiwa na mawazo ya kipuuzi kama haya hutaona jema aslani katika maisha yako yote.! Huenda hata wajukuu zako wakaikuta Ccm madarakani kama mawazo ya upinzani wote yanafanana na ya kwako.CCM itang'oka kama Mugabe, siku zinahesabika
Hiki ndio kimekufanya ufungue threadKwanini wateule wengi wa rais wakitoa maagizo au kukemea jambo hasa rushwa wanasema "serikali ya Magufuli haitaki wizi" au " wizi sio wakati wake huu" au "pesa ya Magufuli hailiwi" au "pesa ya serikali ya awamu ya tano ni ya moto", na maneno mengine yanayofanana