Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,125
- 6,141
- Thread starter
- #41
Tanzania kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Afrika kufikia mwaka 2070's in term of GDP na PPP
Uchawi upo,amaniaMawazo Yako ni """UTOPIA PARKWAYS""" NIKUHAKIKISHIE RAISI AKIINGIA MADARAKANI WANACHO WAZA NI NEXT ELECTION...
Mh. Raisi wetu ajayee nikupongeze gentleman na nikupe moyoo SANAAAAAA tuna Imani Na wewe
Ahsante na hongera kwa kushiriki na karibu tenaUchawi upo,amania
Huo ni mtizamo wako na una-haki hiyo ya kuamini unachoaminiUna maono mazuri ila hayawezi kutimia labda kwenye Sayari nyingine.... hata hao walioendelea leo waliwanyonya wengine kwanza..