ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
NBC Premier League leo Jumapili, Vinara Yanga SC wapo ugenini katika dimba la
Nelson Mandela kuwavaa maafande wa Tanzania Prisons. Yanga wanaingia katika mchezo huu wakiwa hawajapoteza mchezo wowote. Je Pira gwaride kuvunja rekodi hi ama wananchi wataendeleza rekodi yao?
Mechi hii itakuwa Live Hapa Kuanzania Saa 10 Jioni Ya Leo.
==========
Mpira umeisha uwanja wa Mandela Sumbawanga kwa Tanzania Prisons kukubali kichapo cha goli 1-2 dhidi ya Yanga. Prisons walitangulia kuliona lango lakini Fei Toto aliweka mzani sawa na Khalid Aucho kuifungia Yanga bao la ushindi. Prisons 1-2 Yanga Afrika.
Nelson Mandela kuwavaa maafande wa Tanzania Prisons. Yanga wanaingia katika mchezo huu wakiwa hawajapoteza mchezo wowote. Je Pira gwaride kuvunja rekodi hi ama wananchi wataendeleza rekodi yao?
Mechi hii itakuwa Live Hapa Kuanzania Saa 10 Jioni Ya Leo.
==========
Mpira umeisha uwanja wa Mandela Sumbawanga kwa Tanzania Prisons kukubali kichapo cha goli 1-2 dhidi ya Yanga. Prisons walitangulia kuliona lango lakini Fei Toto aliweka mzani sawa na Khalid Aucho kuifungia Yanga bao la ushindi. Prisons 1-2 Yanga Afrika.