MZEE SERENGETI
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 214
- 10
Wana JF
Katika benki anbazo wafanyakazi wake wamechoka na wanamajibu ya kukatisha,ni hao wafanyakazi wa Bank ya Posta,sijui wale Wadada pale reception wamechukua kutoka wapi,sijui wana kiwango gani cha Elimu.nike lo sana kuna dada, Bint mmoja mrefu yani yule anaona kama vile ndio amefika,anamajubu mabaya sana,sijui kwa nn hawekwi nafasi nyingine,Nilishuhudia kijana mmoja amenda pale kwa lengo la kufungua A/C,Anamwambia Alete International Paspot,vitu kibao wanawake wana shida pale.
Katika benki anbazo wafanyakazi wake wamechoka na wanamajibu ya kukatisha,ni hao wafanyakazi wa Bank ya Posta,sijui wale Wadada pale reception wamechukua kutoka wapi,sijui wana kiwango gani cha Elimu.nike lo sana kuna dada, Bint mmoja mrefu yani yule anaona kama vile ndio amefika,anamajubu mabaya sana,sijui kwa nn hawekwi nafasi nyingine,Nilishuhudia kijana mmoja amenda pale kwa lengo la kufungua A/C,Anamwambia Alete International Paspot,vitu kibao wanawake wana shida pale.