Wakati serikali ikipuuza madai ya madaktari,walimu na watumishi wengine wenzetu Rwanda wanafanya kweli.Yaani hata bajeti yetu inaendana na nchi ndogo kama Rwanda jamani hii ni sawa?.Serikali timiza madai ya watu wako!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.