Tanzania tuepuke rasilimali kufaidisha mataifa ya nje, tuwekeze wenyewe. TUNAWEZA.
Kwanini Botswana waweze halafu Tanzania tushindwe.
Tanzania Oil and Gas Corporation PLC itafaidisha kila mtanzania, kila Mtanzania atakuwa na HISA na ajira za watanzania.
Pia hii kampuni itanunua bidhaa za Tanzania.
Hata Mods wa JF wataweza kununua hisa, hata mimi nitanunua hisa na wengine watanunua hisa.
Wachimbaji wakubwa Mererani ni Tanzanite One (RICHLAND RESOURCES) ambao wana ubia na baadhi ya Vigogo/matajiri wachache.
Kwanini Botswana waweze halafu Tanzania tushindwe.
Tanzania Oil and Gas Corporation PLC itafaidisha kila mtanzania, kila Mtanzania atakuwa na HISA na ajira za watanzania.
Pia hii kampuni itanunua bidhaa za Tanzania.
Hata Mods wa JF wataweza kununua hisa, hata mimi nitanunua hisa na wengine watanunua hisa.
Wachimbaji wakubwa Mererani ni Tanzanite One (RICHLAND RESOURCES) ambao wana ubia na baadhi ya Vigogo/matajiri wachache.