Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 501
- 488
Saba Saba leo inahitaji amani si machafuko. Maria Sarungi, Mange Kimambi na genge lao wanajaribu kuwatumia vijana kuleta jeraha katika taifa la.Tanzania. Machafuko kama yale ya Oktoba yalituonyesha madhara mengi mno na basi kutojiunga ni kulinda familia yako na nchi yetu tuipendayo. Uzalendo ni kuchagua maendeleo si uharibufu unaoharibu misingi ya maisha yetu. #TumekataaHarakatiZaVurugu
Watanzania Wachagua Amani
Watanzania Wachagua Amani