ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,531
- 44,642
Hakuna mapigano, hakuna mfalme sote tunaishi vizuri na hili lote lina julikana sote ni ndugu tunahitaji zaidi amani kuliko vita au uadui.
Lakini serikali tunaiomba iwe makini Zaidi na suala la utandawazi na mporomoko wa maadili hasa kwa vijana. Katika kosa ambalo serikali itaifanya, basi ni kuruhusu biashara za unyonyaji kuanzia magendo, utapeli, rushwa, 10 percent, uhalifu na uvunjaji wa sheria.
Serikali dhibitini mifumo yote kwa kuunganisha maadili tamaduni uasili wetu na rasilimali zetu. Tuleteeni maendeleo haraka tusaidieni tujenge Maisha.
Lakini serikali tunaiomba iwe makini Zaidi na suala la utandawazi na mporomoko wa maadili hasa kwa vijana. Katika kosa ambalo serikali itaifanya, basi ni kuruhusu biashara za unyonyaji kuanzia magendo, utapeli, rushwa, 10 percent, uhalifu na uvunjaji wa sheria.
Serikali dhibitini mifumo yote kwa kuunganisha maadili tamaduni uasili wetu na rasilimali zetu. Tuleteeni maendeleo haraka tusaidieni tujenge Maisha.