Habari wandugu!
Mwezi uliopita nilikuwa na safari yangu kutoka Johannesburg hadi Nairobi kwa gari kibiashara zaidi! Kutoka South,Botswana,hadi Zambia kila traffic alienisimamisha alipojua ninaenda wapi hakuruhusu nichelewe hata dk moja karibu wote walinitakia sfr njema na kunikumbusha kuzingatia usalama wangu na wa wengine barabarani! Wengine walidiriki hata kuegesha malori yanayokaguliwa pembeni ili tunaoenda mbali tupewe kipaombele!
KITUKO SASA
Sijui ilikuwa bahati nasibu kupita mbeya usiku? Nilipoingia tu Tanzania nchi yangu ya amani nikiwa mafinga asbh sehemu inaitwa kinyanambo nilibambikiziwa kosa eti nimeover speed wakati namonitor speed yangu ni 40 mahali palipotaka 50 kijana huyu askari anatoka povu kutaka hela kwanguvu kwa kosa lisilolangu huku wengine wakinishambulia balaa kama mwizi! Mbaya zaidi walipojua natoka safari ndio usiombee! Nilipoteza saa zima hapo kwa ajenda ya kishetani sana! Mwisho nikalipa faini nikaondoka!
Friends! Kutoka mafinga hadi Dodoma nilisimamishwa njiani Mara 12 kila anaesimamisha anataka hela na anatafuta kosa kama mungu vile!
Nimejiuliza maswali mengi sana kwenye Taifa kama hili! Tabu niliyoipata baada ya kuingia nchini kwangu huwezi amini!
MY TAKE
Kuna tafsiri nyingi sn za amani but ukipewa mamlaka kubwa kama wewe si mwadilifu kama walivyo hawa ndg zetu wengi ni afadhali ukutane na shetani! Nashindwa kuelewa kama traffic mbinguni wapo nitamuuliza Mungu maswali mengi sana! Barabara za kwetu na tunazilipia kodi but tunaendesha magari kama wageni au ndege tunaowindwa what is thissssss!! Nchi hii inatamkiwa laana nyingi sana na watu wake ambazo ni halal ni ngumu sana kufurahia maisha bongo labda uwe askari, mchawi na mtu mwenye roho mbaya sana
Mwisho! Kwakuwa najua serikali haiwezi fanya mabadiliko yoyote ktk hili nimeamua tu kuliweka hili kundi la hawa watesaji kama kundi duni saana na la mwisho kwa umuhimu in my list of group of people in the society.Hii ni kwasababu nimejihakikishia kuwa dhamiri ya traffic wa Tanzania sio usalama na utu bali ni fedha na mapato ya udhalimu yanayokusanywa eti yakalete maendeleo!!!!!
Mwezi uliopita nilikuwa na safari yangu kutoka Johannesburg hadi Nairobi kwa gari kibiashara zaidi! Kutoka South,Botswana,hadi Zambia kila traffic alienisimamisha alipojua ninaenda wapi hakuruhusu nichelewe hata dk moja karibu wote walinitakia sfr njema na kunikumbusha kuzingatia usalama wangu na wa wengine barabarani! Wengine walidiriki hata kuegesha malori yanayokaguliwa pembeni ili tunaoenda mbali tupewe kipaombele!
KITUKO SASA
Sijui ilikuwa bahati nasibu kupita mbeya usiku? Nilipoingia tu Tanzania nchi yangu ya amani nikiwa mafinga asbh sehemu inaitwa kinyanambo nilibambikiziwa kosa eti nimeover speed wakati namonitor speed yangu ni 40 mahali palipotaka 50 kijana huyu askari anatoka povu kutaka hela kwanguvu kwa kosa lisilolangu huku wengine wakinishambulia balaa kama mwizi! Mbaya zaidi walipojua natoka safari ndio usiombee! Nilipoteza saa zima hapo kwa ajenda ya kishetani sana! Mwisho nikalipa faini nikaondoka!
Friends! Kutoka mafinga hadi Dodoma nilisimamishwa njiani Mara 12 kila anaesimamisha anataka hela na anatafuta kosa kama mungu vile!
Nimejiuliza maswali mengi sana kwenye Taifa kama hili! Tabu niliyoipata baada ya kuingia nchini kwangu huwezi amini!
MY TAKE
Kuna tafsiri nyingi sn za amani but ukipewa mamlaka kubwa kama wewe si mwadilifu kama walivyo hawa ndg zetu wengi ni afadhali ukutane na shetani! Nashindwa kuelewa kama traffic mbinguni wapo nitamuuliza Mungu maswali mengi sana! Barabara za kwetu na tunazilipia kodi but tunaendesha magari kama wageni au ndege tunaowindwa what is thissssss!! Nchi hii inatamkiwa laana nyingi sana na watu wake ambazo ni halal ni ngumu sana kufurahia maisha bongo labda uwe askari, mchawi na mtu mwenye roho mbaya sana
Mwisho! Kwakuwa najua serikali haiwezi fanya mabadiliko yoyote ktk hili nimeamua tu kuliweka hili kundi la hawa watesaji kama kundi duni saana na la mwisho kwa umuhimu in my list of group of people in the society.Hii ni kwasababu nimejihakikishia kuwa dhamiri ya traffic wa Tanzania sio usalama na utu bali ni fedha na mapato ya udhalimu yanayokusanywa eti yakalete maendeleo!!!!!