Tanzania nchi yangu, mazuri na mabaya ni yetu, Serikali ya awamu ya tano ni yetu!

  1. Toka mfumo wa vyama vingi tume hii haijawahi kuwa huru. Na madai ya tume huru hayajaanza jana. Chaguzi zote hizo hazijawahi kuwa huru. Watu kushiriki sio kwamba wanakubaliana na kinachoendelea.
  2. Machafuko yamewahi kutokea zaidi ya mara moja, huenda hujui kuwa nchi hii iliwahi kupata wakimbizi. Nadhani haya yalipokuwa yakitokea ulikuwa bado unasoma. Sio mara moja au mbili wapinzani wamekuwa wakitangazwa kwa kutumia nguvu baada ya tume kutaka kuchakachua matokeo halali.
  3. Bunge letu lina wabunge wa upinzani, na hawa walitangazwa wakati wa JK, demokrasia ikiwa na unafuu kwa mbali. Toka ameingia Magufuli madarakani, kile kilio cha tume kutokuwa huru na ushahidi wa wazi kuwa tume haiko huru umedhihirika. Magufuli anasema kuwa uchaguzi utakuwa huru, yeye ndio anayeongoza kwa kunajisi chaguzi za nchi hii, na hakuna mtu anayemuamini, labda wanaccm na vyama mapandikizi kwani ndio wanaofaidika na mfumo huu mbovu wa tume na uchaguzi wenyewe.
Mkuu umekosa hoja ya msingi mimi hujanijibu majibu yangu kwa usahihi,hii ni ishara ya kuwa kuna HAPANA kubwa kwa unachokifiria kichwani mwako.Jipangeee Mkuu
 
Mkuu umekosa hoja ya msingi mimi hujanijibu majibu yangu kwa usahihi,hii ni ishara ya kuwa kuna HAPANA kubwa kwa unachokifiria kichwani mwako.Jipangeee Mkuu

Kama umekuja na marking scheme hapa jukwaani basi safari hii utakaa lazima.
 
Kama umekuja na marking scheme hapa jukwaani basi safari hii utakaa lazima.
Hahahaha wewe ndiyo umskaa unamuuliza mtu pembeni hapo ujibu nini humu yani huna majibu kwenye hoja za msingi.
 
Asante naona CDM washakupa bando na simu basi unajifanya kutetea unachokiamini,Naomba unijibu maswali haya
1.Ni lini uchaguzi wetu haujawahi kuwa huru?
2.Ni lini nchi yetu ilishawahi kutokea fujo baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa?
3.Bunge letu lina wabunge wa upinzani pia na walipata viti vingi sana mwaka 2015,Je hao walipitia kupitia tume IPI?????
Wewe nikuulize tu. Wewe unakereka nini nchi ikiwa na katiba mpya ya wananchi na tume huru isiyorimotiwa na moja wa wagombea ?!

Odhis *
 
Mgombea ndiyo ana hesabu kuraa?????? Acha kuwa na mambo ya utoporo
Hebu angalia majibu yako na hoja za wengine humu. Halafu ujiulize shule yako imekusaidia nini ?!

Tume kuwa huru au katiba kuwa fair kwa wananchi na si viongozi , si dhambi wala hisani ya kiongozi au chama fulani

Odhis *
 
Hebu angalia majibu yako na hoja za wengine humu. Halafu ujiulize shule yako imekusaidia nini ?!

Tume kuwa huru au katiba kuwa fair kwa wananchi na si viongozi , si dhambi wala hisani ya kiongozi au chama fulani

Odhis *
Hahaaha Mkuu me shule yangu imenisaidia,kwani wewe unaona nini,Hivi unafiikiri kuna siku mgombea Rais wa Chama cha upinzani ashawahi shindaa?? Mkuu jibu ni kwamba kura zao huwa hazitoshelezi.Njoo huku kijani uone raha
 
Asante naona CDM washakupa bando na simu basi unajifanya kutetea unachokiamini,Naomba unijibu maswali haya
1.Ni lini uchaguzi wetu haujawahi kuwa huru?
2.Ni lini nchi yetu ilishawahi kutokea fujo baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa?
3.Bunge letu lina wabunge wa upinzani pia na walipata viti vingi sana mwaka 2015,Je hao walipitia kupitia tume IPI?????

We mazagazaga,
Najua uko hapa kutetea upumbavu na ujinga kwa pamoja(defending foolishness and ignorance altogether).
Baba wa Taifa aliwahi kufafanua maana ya UPUMBAVU(foolishness) na UJINGA(ignorance). Akasema upumbavu ni kipaji cha kuzaliwa kama urefu au ufupi(never change) ilhali ujinga mtu hajui kiti lakini anaweza fundishwa akaelewa.,.!
Listen good and listen carefully my bro!
Nchi hii haina TUME HURU ya UCHAGUZI na haijawahi kuwa na moja. Tume hii ni matokeo ya Katiba iliyokuwa ya Mfumo wa Chama kimoja iliyochakachuliwa 1977 na VIRAKA kibao vyenye kuibeba CCM.

Ndiyo maana kukawa na haja ya KUBADILI KATIBA mwaka 2014 tulipokuwa na Bunge Maalumu la Katiba lakini kwa bahati mbaya sana tukaishia kwenye RASIMU YA KATIBA. Serikali ya CCM walikosa utashi na kwa maksudi kabisa waliamua kuvuruga mchakato huo baada ya KUONA KATIBA MPYA ingelikwenda kuwapokonya Utawala...!!
Ndiyo maana hata huu Utawala huu wa Magufuli hautaki kusikia Habari ya Katiba mpya ukidai kuwa SIYO KIPAUMBELE Chao...!!!

Just for your information Chaguzi zote baada ya kuanza mfumo wa Vyama vingi 1995 Tanzania hatujawahi kuwa na Uchaguzi huru Tanzania! Naona umeuliza swali la kipumbafu kuwa hakujawahi kutokea vurugu au za Uchaguzi Tanzania! Inaonekana aidha hauishi Tanzania au unatetea huu upuuzi wa CCM! Uchaguzi Mkuu mwaka 2000 upande wa Zanzibar CUF walikuwa wameshinda wakaporwa matokeo na vurugu zilitokea Januari 5,2001 kupinga matokeo hayo na zaidi ya watu 20 waliuawa na wengine kuwa wakimbizi nje ya Zanzibar!
Katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 Uchaguzi haukuwa huru na Haki! Tume ya Uchaguzi wakishirikiana na CCM, TISS na Polisi walichakachua matokeo na kuipa CCM Ushindi.

Nikuhakikishie kuwa Kama tungelikuwa na NEC Huru mwaka 2015 CCM wasingetangazwa Washindi! Never ever. Lakini pia tumeshuhudia katika Chaguzi ndogo za marudio NEC wakifanya madudu kwa kuwabeba CCM na kuwaminya Wapinzani..!!
HIYO inatosha kudhihirisha kuwa Katiba tuliyo nayo siyo na kwa maana hiyo hatuna Tume Huru ya Uchaguzi.
Katiba bado hairuhusu kuhoji(to challenge) matokeo ya Uraisi kitu ambacho si sahihi hata kidogo kwene nchi yenye DEMOKRASIA ya kweli. Tanzania halitakuwa na DEMOKRASIA ya kweli pasi na kuwa na Katiba mpya!
Kama hutaki endelea kukaa na upumbavu wako!
 
Back
Top Bottom