mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Serikali yetu pendwa ya chama cha Mapinduzi ni serikali sikivu na inayojali watanzania kwa kufanya mambo mengi mazuri na ikiwa sikivu pia kwa wananchi wake.Hivi mliopo humu Jf ni watanzania kama nilivyo mimi au ninyi wenzangu baadhi yenu mnaishi ulaya?
Nianze na haya yafuatayo!
1.Kuna mtu alileta maada ya watu kulalamika gharama za kuwekwa karantini kuwa kubwa watu wakashauri zichaguliwe hostel na serikali yetu ilivyo sikivu imelifanyia kazi lakini bado unakuta comments za watu humu nalo wanalipinga hivi ni kwanini? Ilhali mjadala wa mwanzo watu walionekana kuwatetea hao wa karantini na gharama kuwa kubwa.Sasa serikali imefanya lakini bado midomo humu inaendelea shida ni nini?
2.Kila nchi ina namna take ya kupigana na kuchukua tahadhali za majanga,sasa inakuaje humu ndani hasa wanasiasa uchwara wanalazimisha mawazo yao ya usingizi et serikali iyafwate.Hivi kweli ninyi kwa kuwa familia zenu zinasoma shule nzuri,chakula bora cha uhakika mnataka watoto wa mkulima kama mimi nipate shida baadae muanze kusema serikali hamna kitu? Nasema Noo Kubwa.Big up Mh.Makonda kwa kuhamasisha Watanzania wanawaotishwa na wanasiasa uchwara piga kazi Mh.
Mimi kama kijana wa Chama navutika na wewe unavyofanya i wish siku nije Dsm nikupongeze Mh.Makonda Jembe letu.
3.Ni kwa nini vyama vya upinzani yani tatizo la Corona hili yani badala ya kutanguliza maslahi mapana ya taifa letu mbele ninyi mmekuwa watu wa kupotosha na kutafuta kiki ya kisiasa,hii ni ishara ya ninyi kuwa watu wa kupenda madaraka au kuwasaidia watanzania?
4.Hivi ni kinashindikana nini kama Watanzania wenzangu mliopo humu mkawa watu wa kushauri kuliko kuandika vitu vya Kongo na uzushi humu au kwenye mitandao mingine kwa ajili ya kuishauri serikali yetu na kujivunia maendeleo yetu tuliyopiga kupitia serikali ya awamu ya tano.
5.Corona ipo ndugu zangu naombeni tusimame kidete sote kwa pamoja na tuendelee kuchukua tahadhari muda wa uchaguzi bado wapinzani msitafute kiki wakati wa matatizo,muda bado wa kampeni,acheni upotoshaji kwa jamii jamani.Mh Rais ashasema uchaguzi upo kama kawaida.
mazagaone@gmail.com
Nianze na haya yafuatayo!
1.Kuna mtu alileta maada ya watu kulalamika gharama za kuwekwa karantini kuwa kubwa watu wakashauri zichaguliwe hostel na serikali yetu ilivyo sikivu imelifanyia kazi lakini bado unakuta comments za watu humu nalo wanalipinga hivi ni kwanini? Ilhali mjadala wa mwanzo watu walionekana kuwatetea hao wa karantini na gharama kuwa kubwa.Sasa serikali imefanya lakini bado midomo humu inaendelea shida ni nini?
2.Kila nchi ina namna take ya kupigana na kuchukua tahadhali za majanga,sasa inakuaje humu ndani hasa wanasiasa uchwara wanalazimisha mawazo yao ya usingizi et serikali iyafwate.Hivi kweli ninyi kwa kuwa familia zenu zinasoma shule nzuri,chakula bora cha uhakika mnataka watoto wa mkulima kama mimi nipate shida baadae muanze kusema serikali hamna kitu? Nasema Noo Kubwa.Big up Mh.Makonda kwa kuhamasisha Watanzania wanawaotishwa na wanasiasa uchwara piga kazi Mh.
Mimi kama kijana wa Chama navutika na wewe unavyofanya i wish siku nije Dsm nikupongeze Mh.Makonda Jembe letu.
3.Ni kwa nini vyama vya upinzani yani tatizo la Corona hili yani badala ya kutanguliza maslahi mapana ya taifa letu mbele ninyi mmekuwa watu wa kupotosha na kutafuta kiki ya kisiasa,hii ni ishara ya ninyi kuwa watu wa kupenda madaraka au kuwasaidia watanzania?
4.Hivi ni kinashindikana nini kama Watanzania wenzangu mliopo humu mkawa watu wa kushauri kuliko kuandika vitu vya Kongo na uzushi humu au kwenye mitandao mingine kwa ajili ya kuishauri serikali yetu na kujivunia maendeleo yetu tuliyopiga kupitia serikali ya awamu ya tano.
5.Corona ipo ndugu zangu naombeni tusimame kidete sote kwa pamoja na tuendelee kuchukua tahadhari muda wa uchaguzi bado wapinzani msitafute kiki wakati wa matatizo,muda bado wa kampeni,acheni upotoshaji kwa jamii jamani.Mh Rais ashasema uchaguzi upo kama kawaida.
mazagaone@gmail.com