Buza Kwa Mpalange
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 268
- 156
๐๐๐๐๐Hii timu ya sisiem hata wapigwe 100 safi tu
๐๐๐๐๐Hii timu ya sisiem hata wapigwe 100 safi tu
Hata mimi nashangaa wanaweka mechi usiku...Nyie TFF kwanini mpira mnaupeleka saa 4 usiku?Shida nini???
Wamefafanua.Ni CAF kumbe na haki za kurusha mpira kwa TVHata mimi nashangaa wanaweka mechi usiku...
Hawa waarabu nikuwapiga jua kali
Kwenye uzi wenu wa Wana zambia๐คฃ๐๐คฆ๐คชMashabiki wa Zambia tunacomment wapi?
Poulsen apongezwe mnoo ni rahisi sana kufanikisha MBINU kwa KUTUMIA wachezaji wa kawaida kuliko senior players hilo ndo analolifanya na amefanikiwa kuondoka na point moja muhimu ugenini Kibabage,Lusajo,Mzamiru,Novatus Lufunga majina ambayo sio common kuonekana lakini wamefanya walichoagizwa bado kumaliza shughuli nyumban hapa wakijaFT;DRC 1 vs Tanzania1. Mchezo ulikuwa mzuri,vijana walipambana. Yule star wetu, captain..Samata...hakucheza. Vijana walijiamini,kila moja alijiona anaweza kuchangia ushindi.