MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 26, 2012 #1 Nchi imejaa mito kila kona na maziwa kila mkoa, lakini ona mwenyewe tulipo.
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 26, 2012 Thread starter #6 How long will it take to drink water like this? Till 2015
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 26, 2012 Thread starter #7 Je hii haki kwa kina Mama kutumia masaa zaidi ya Mawili kutafuta Maji?
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 26, 2012 Thread starter #10 Hiki ni Kisima cha Maji, Mtoto akitumbukia hapa, kuna uhai?
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 26, 2012 Thread starter #12 How good and how pleasant it is for Tanzanians to share water with animals!!!!!
BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,988 2,010 Jul 26, 2012 #13 Bado tuna safari ndefu sana,viongozi wetu wakati huo wanasema "Upembuzi yakinifu unafanyika"