Sio kweli kwamba hiyo ni katika kuimarisha uhusiano wake na nchi 7 za kiafrika bali ni katika kutengeneza competitive edge to be the partner to give priority in Gas Industry! Waache ujinga wao wa kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa; waseme tu "our aim is be good partners in business" so, tunafuta madeni yote ya nyuma na tunaanza upya! Wenye akili zao wataelewa tu.
nngu007 wewe ni kunguru,tena kunguru asie na mabawa..
unaspin nini? sema tu nyerere alikopa hilo deni. acha kumislead watu, ---- we.
Umeona Ulivyo KILAZA; ZEZETA.. Unatetea kitu usichokijua sababu unafaidika na serikali ya kifisadi Unaamua kutukana watu kuwa ni kunguru... ndio Maana ELIMU DUNI...
F.Y.I.... TANZANIA is among twelve African countries to benefit from the decision by Brazil to cancel or restructure almost 900 dollars worth of debt. Most of the debt was accumulated in the 1990s and had been renegotiated before. A spokesman for Brazil's Foreign Ministry told Efe news agency that the debt restructuring for some countries would consist of more favourable interest rates and longer repayment terms. Tanzania owes Brazil a total of 237million dollars
*** PENDA NCHI YAKO; Jua Ni nani tunamkopa na ni kiasi gani; THAT's YOUR RIGHT... Tusiwe Mambumbumbu tunaamini Watu wasioweka hiyo MIKATABA in a BLUE PRINT WHITE PAPER; Sasa utakuwa unawafanyia kazi wadeni mpaka una Miaka 100??? --- we need to FIGHT for TRANSPARENCY in OUR GVT... sio uwe kama KUNGURU asie na MABAWA...
unaspin nini? sema tu nyerere alikopa hilo deni. acha kumislead watu, ---- we.
Inawezekana hizo pesa zikawa ni za ujenzi wa barabara,kwa kiwango cha lami toka Morogoro kwenda Dodoma,mradi uliofanywa na kampuni moja ya Brazil,kwenye miaka ya 80.
Kwa kuwa najua deni hilo serikali yetu ilishindwa ksbisa kulilipa.