Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,978
Ni la $237m/- katika juhudi za nchi hiyo kuimarisha uhusiano wake na nchi 12 za kiafrika ikiwemo Tanzania.
Source: http://m.bbc.co.uk/news/world-latin-america-22669331
Source: http://m.bbc.co.uk/news/world-latin-america-22669331
Brazil has announced that it will cancel or restructure almost $900m (£600m) worth of debt with Africa.
Oil- and gas-rich Congo-Brazzaville, Tanzania and Zambia are among the 12 African countries to benefit.
The move is seen as an effort to boost economic ties between the world's seventh largest economy and the African continent.
Official data in Brazil show that its trade with Africa has increased fivefold in the past decade.
The debt announcement was made during the third visit in three months to Africa by Brazil's President Dilma Rousseff, who attended the African Union summit in Ethiopia.
'Strategic'
"Almost all (aid) is cancellation," Ms Rousseff's spokesman, Thomas Traumann, told reporters.
"To maintain a special relationship with Africa is strategic for Brazil's foreign policy."
He added that most of the debt was accumulated in the 1970s and had been renegotiated before.
A spokesman for Brazil's Foreign Ministry told Efe news agency that the debt restructuring for some countries would consist of more favourable interest rates and longer repayment terms.
Congo-Brazzaville owes the most to Brazil - $352m - followed by Tanzania ($237m) and Zambia ($113.4m).
The other countries to benefit are Ivory Coast, Gabon, Guinea, Guinea Bissau, Mauritania, Democratic Republic of Congo, Sao Tome and Principe, Senegal, and Sudan.
Brazil imetangaza kuwa itafutilia mbali au kuwa na makubaliano mapya kuhusu madeni inayozidai nchi za Afrika ambayo yanakisiwa kuwa dola milioni 900.
![]()
(Rais wa Brazil Dilma Rousseffalitoa matamshi yake katika mkutano wa AU nchini Ethiopia)
Miongoni mwa nchi 12 zilizo kwenye orodha ya mataifa yanayodaiwa ni pamoja na Congo-Brazzaville yenye uitajiri mkubwa wa mafuta na gesi, Tanzania ambayo hivi karibuni itaanza kuchimba gesi pamoja na Zambia
Wadadisi wanahisi kuwa hii ni njia mojawapo ya Brazil kutaka kukuza uhusiano wa kiuchumi kati yake ambayo ni ya saba kwa ukubwa kiuchumi na Bara la Afrika.
Taarifa rasmi zinaonyesha kuwa uhusiano wa Brazil na bara la Afrika umeongezeka mara tano katika mwongo mmoja uliopita.
Tangazo hili, lilitolewa wakati wa ziara ya tatu kwa miezi mitatu ya rais wa Brazil Dilma Rousseff,aliyehudhuria mkutano wa Muungano wa Afrika nchini Ethiopia.
"takriban madeni yote huenda yakafutwa , '' alisema msemaji wa Rais Rousseff Thomas Traumann.
"ili kukuza uhusiano kati ya Afrika ni muhimu kwa sera ya kigeni ya Brazil."
Aliongeza kuwa nyingi ya madeni hayo yaliongezeka miaka ya sabini na kuwa kulikuwa na mazungumzo kuyahusu wakati huo.
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Brazil, alisema kuwa baadhi ya nchi huenda zikafaidika na makubaliano mazuri kuhusu namna ya kulipa madeni hayo huku muda wa kuyalipa ukiongezeka.
Congo-Brazzaville, inadaiwa dola milioni 352 ikifuatiwa na Tanzania inayodaiwa dola milioni 237 Zambia nayo ikidaiwa dola milioni 113.4.
Nchi zingine zitakazofaidika ni pamoja na Ivory Coast, Gabon, Guinea, Guinea Bissau, Mauritania, DRC, Sao Tome and Principe, Senegal na Sudan.
Brazil imekuwa ikiimarisha uhusiano wake wa kibiashara na Afrika, kitovu cha madini kama sehemu ya kile kinachojulikana kama ushirikiano wa kanda ya Afrika Kusini.
Kampuni nyingi za Brazil huekeza sana katika sekta ya mafuta na madini na zimekuwa zikifanya miradi mikubwa ya miundo mbinu barani humo.
source:Brazil kufuta madeni ya Afrika - BBC Swahili - Habari