inawezekana sana....kwani watanzania tukoje.........?Capt Preta
HP...7
🙁😕😉😵😱😱yah......nilishaweka kioo.....juzi nilikuwa naruka kuelekea Loitoktok.....nikaona skurubu ya bawa inadondoka.......khaa......niliongezaje speed ili nifike nikaikaze......
Hahah...oloitoktok..yah......nilishaweka kioo.....juzi nilikuwa naruka kuelekea Loitoktok.....nikaona skurubu ya bawa inadondoka.......khaa......niliongezaje speed ili nifike nikaikaze......

Kwani NIT hawana vitendea kazi kwa kozi za madereva au ndo tumezoea kulaumu bila kuwa na data,pia swala la kufundisha marubani linawezekana ndege za mafunzo wanazo tayari na mitaala IPO plus uwanja wa mafunzo,au watu wanafikiri kozi za marubani ni so special kwamba labda ni wazungu tu ndo wanaweza kutoa.nenda NIT kajionee toka kwenye boxMarubani wa MALORI au wa maguta?? Tuna utani kweli Tanzania!!! Hao NIT wakamilishe kwanza mahitaji ya vitendea kazi kufundishia madereva