Yusuf Kashaju
Member
- Oct 20, 2019
- 56
- 89
Tanzania -Kenya relations will remains uneasy forever, please markmy words, na ndiyo hali halisi ilivyo na historia duniani ilivyo kwa dunia nzima kwa mataifa yanayshindana.
Nenda America ya Kusini ni ushindani na uhasama kati ya Brazil na Argentina, nenda Asia ni ushindani na uhasama kati ya China na Japan na pia kati ya India na Pakistani. Nenda bara la Ulaya ni ushindani na uhasama kati ya Uingereza na Ujerumani, na kati ya Russia na USA.
Hivyo Tanzania ni vema tujiandae mapemaaa tukijisahau tunapigwa la kisigino, haya ndiyo maisha kwa mataifa yanayokabiliana na kushindani katika maendeleo, hiyo ni ligi haiwezi kuisha haha tufanyeje💝
Nenda America ya Kusini ni ushindani na uhasama kati ya Brazil na Argentina, nenda Asia ni ushindani na uhasama kati ya China na Japan na pia kati ya India na Pakistani. Nenda bara la Ulaya ni ushindani na uhasama kati ya Uingereza na Ujerumani, na kati ya Russia na USA.
Hivyo Tanzania ni vema tujiandae mapemaaa tukijisahau tunapigwa la kisigino, haya ndiyo maisha kwa mataifa yanayokabiliana na kushindani katika maendeleo, hiyo ni ligi haiwezi kuisha haha tufanyeje💝