Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,279
- 105,481
That number is ridiculously fake. Plus, you did not count the Libyans at all. Don't rain on their parade of valor. Don't shortchange their mischievous chivalry.Ndio nashangaa! Ila kinachoshangaza zaidi ni wale ambao wamekuwa wakijivunia kwa miongo minne. Eti kwamba waliishinda hiyo brigade moja tu kwenye vita, tena na vikosi vya nchi zaidi ya mbili, Tan&Znz, alafu ongeza juu yake wanamgambo sijui wa kutoka wapi na wapi.