Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,231
Kwa hali tuliyonayo sasa hivi ya udini Tanzania itageuka kuwa Nigeria muda si mrefu. Radio imani na CD za chuki zinazosambazwa kwa ajili ya chuki dhidi ya dini zingine hasa wakristu ni dalili tosha kwamba sasa inabidi tukae mkao wa vita.
Kwa hii kasi ya Radio imani na shehe Ponda tuome mungu serikali ijayo mwaka 2015 iwe imara katika kutafuta suluhisho za hali ilivyo sasa
Ni jambo la hatari kuona serikali imekaa kimya huku wakija hali inakuwa mbaya siku hadi siku, serikali imeshindwa kukaa na akina Ponda na Radio imani na kuwahoji shida yao ni nini? hivyo kuweza kuchukua hatua stahiki.
Ni jambo la ajabu kuona udini na chuki vinachochewa adharani: Mfano ukienda kwenye mihadhara ya waislam, asilimia 90 inatumika kutukana dini ya Kikristo lakini hakuna hatua inachukuliwa.
Waislam wamejifunza sasa kuwa wakristu ni wapole, serikali ni pole kwa hiyo wanaweza kufanya jambo lolote
Waislam wanadai kuonewa kila kona ya dunia mfano: Mombasa Kenya, Mali, Nigeria na maeneo mengine duniani ndo maana makundi ya kigaidi yamekuja kasi.
Waislam wa Tanzania bado kidogo wanatafuta confidence ya kuunda kikundi maalum cha kivita, kama hakuna hatua inachukuliwa Tanzania itakuwa sehemu hatari kuishi, tegemea mtu kulipuka muda wowote kwenye daladala
Kwa hii kasi ya Radio imani na shehe Ponda tuome mungu serikali ijayo mwaka 2015 iwe imara katika kutafuta suluhisho za hali ilivyo sasa
Ni jambo la hatari kuona serikali imekaa kimya huku wakija hali inakuwa mbaya siku hadi siku, serikali imeshindwa kukaa na akina Ponda na Radio imani na kuwahoji shida yao ni nini? hivyo kuweza kuchukua hatua stahiki.
Ni jambo la ajabu kuona udini na chuki vinachochewa adharani: Mfano ukienda kwenye mihadhara ya waislam, asilimia 90 inatumika kutukana dini ya Kikristo lakini hakuna hatua inachukuliwa.
Waislam wamejifunza sasa kuwa wakristu ni wapole, serikali ni pole kwa hiyo wanaweza kufanya jambo lolote
Waislam wanadai kuonewa kila kona ya dunia mfano: Mombasa Kenya, Mali, Nigeria na maeneo mengine duniani ndo maana makundi ya kigaidi yamekuja kasi.
Waislam wa Tanzania bado kidogo wanatafuta confidence ya kuunda kikundi maalum cha kivita, kama hakuna hatua inachukuliwa Tanzania itakuwa sehemu hatari kuishi, tegemea mtu kulipuka muda wowote kwenye daladala