thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
- Thread starter
-
- #61
Tatizo la wenzetu wanafikiri tunampotosha,sisi lengo letu asitumbukie kwenye mtego,wao wanampamba ili aangamie kwa kujiona yupo sawaSisi ni wengi sana na tupo organized kuliko unavyodhani, si kwakumkwamisha Mh. Rais bali kumpa msaada kwa maendeleo na faida ya nchi yetu kwa ujumla na wala siyo faida binafsi......Hakuna namna nchi hii itarudi kwenye ule utopia wa kufikirika ambapo makampuni hewa yaliletwa na makuwadi wao......Tumshauri Mh. Rais kwa uaminifu pasipo kumtumia ili azidi kuwa na confidence na maamuzi yake.......Kuweni makini sana na huo upambe nuksi usio na faida kwa nchi yetu
...Yes I repeat kama tuliweza kwanza hatutashindwa tena mara hii ni rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kwanza.
nyie misukule ya Magufuli ndio hamjui chochote, hebu niambie kipindiu cha Kikwete cha miaka 5 ya kwanza uchumi ulikuwa kiasi gani na alikopa kiasi gani kisha linganisha na kipindi cha mAGUFULIUshaliwa kichwa ww tulia hujui kitu
Hamna cha kusumbua akili wala nini ni vitu vinaonekana kabisa tena siku hizi Chadema ndo imekuwa promo ya mamaHayo ndiyo matatizo yenu sukuma gang kutotumia akili.
Hamsumbui akili kujua muandishi ana fikiria nini au nia yake ni ipi.
Pole sana bakia kwenye box la ujinga mlioachiwa kama urithi na jiwe.
samia anaenda kuifungua nchi, yule mshamba alikuwa anawaambia nchi inaenda kujitegemea kiuchumi kumbe alikuwa mkopaji mkubwa na aliomba IMF impatie msaada . Nyie wapumbavu wake mnamuamini. alikuwa anaielekeza Tanzania kuwa kama venezuela, haina demeokrasia, haina uchumi, haina marafiki. Mungu akatuepusha kama alivyotuepusha na kimbunga jobo
Ushaliwa kichwa ww....nyie misukule ya Magufuli ndio hamjui chochote, hebu niambie kipindiu cha Kikwete cha miaka 5 ya kwanza uchumi ulikuwa kiasi gani na alikopa kiasi gani kisha linganisha na kipindi cha mAGUFULI
Wanufaika ni sote nchi ikifanikiwa na ikiharibikiwa tunaharibikiwa sote ,hapa ni kumsaidia kiongozi wetu asipotee tukakwama kwa misifa fake mnayompaWanufaika wa mwendazake watapata tabu Sana
Samia ni Rais wa Tanzania sio Rais wa CCM, so kama anarekebisha mabaya anasifiwa na kama atafanya mabaya pia atakosolewa, kila mtanzania ana uhuru wa kufanya hayo hata asipokuwa na nchama.Wewe Mmawia ni CDM damu-damu unajifanya kucheza ngoma ya majani ya kijani na maua ya njano ukizodoa chawa wanavyokosoana ndani na kumwongoza kiongozi wao uelekeo sahihi ila kwa kuona kuna unafuu kwako unajitosa kuwashambulia bila kujua nyuma ya pazia.
Ugomvi wa baba na mama achana nao, shika jembe ukalime
Kwani Mkuranga kumejengwa viwanda vingapi, labda tuanzie hapo?Kwa miaka 6 ya marehemu dikiteta magufuli tutajie viwanda 5 vya maana vilivyojengwa ili kutetea point yako kwamba, marehemu dikiteta alikuwa anajenga misingi ya kujitegemea?
Mbona kwa hayati hamjawahi kusifia na kutia moyo? Mpaka mkathubutu kufungua kesi kwenye mahakama za kimataifa, kushawishi wadai kwa serikali kukamata ndege, kuzuia misaada, kusitisha mahusiano na Tanzania nk.Samia ni Rais wa Tanzania sio Rais wa CCM, so kama anarekebisha mabaya anasifiwa na kama atafanya mabaya pia atakosolewa, kila mtanzania ana uhuru wa kufanya hayo hata asipokuwa na nchama.
Sasa Chadema wakiwa wanakosoa kila kitu si ndio mnawaambia wnapinga kila kitu hawana jema? wakisifia tena inakuwa ni nongwa?
Umejivika uwakili usiouweza kuubeba hadi mwisho wa safariSamia ni Rais wa Tanzania sio Rais wa CCM, so kama anarekebisha mabaya anasifiwa na kama atafanya mabaya pia atakosolewa, kila mtanzania ana uhuru wa kufanya hayo hata asipokuwa na nchama.
Sasa Chadema wakiwa wanakosoa kila kitu si ndio mnawaambia wnapinga kila kitu hawana jema? wakisifia tena inakuwa ni nongwa?
Corona inatisha sanaUshaliwa kichwa ww tulia hujui kitu
Kwanini haikuwa promo ya jiwe?Hamna cha kusumbua akili wala nini ni vitu vinaonekana kabisa tena siku hizi Chadema ndo imekuwa promo ya mama
Baba yenu kawaacha yatima sasa mtakufa njaaSisi ni wengi sana na tupo organized kuliko unavyodhani, si kwakumkwamisha Mh. Rais bali kumpa msaada kwa maendeleo na faida ya nchi yetu kwa ujumla na wala siyo faida binafsi......Hakuna namna nchi hii itarudi kwenye ule utopia wa kufikirika ambapo makampuni hewa yaliletwa na makuwadi wao......Tumshauri Mh. Rais kwa uaminifu pasipo kumtumia ili azidi kuwa na confidence na maamuzi yake.......Kuweni makini sana na huo upambe nuksi usio na faida kwa nchi yetu
...Yes I repeat kama tuliweza kwanza hatutashindwa tena mara hii ni rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kwanza.
Unazungumzia viwanda vya vyerehani vinne tayari kiwanda hicho, kama ni hivyo vinaweza kuzidi elf8.Kwani Mkuranga kumejengwa viwanda vingapi, labda tuanzie hapo?
Hiyo kazi ya kunipangia kakupa nani mamlaka hiyo?Wewe Mmawia ni CDM damu-damu unajifanya kucheza ngoma ya majani ya kijani na maua ya njano ukizodoa chawa wanavyokosoana ndani na kumwongoza kiongozi wao uelekeo sahihi ila kwa kuona kuna unafuu kwako unajitosa kuwashambulia bila kujua nyuma ya pazia.
Ugomvi wa baba na mama achana nao, shika jembe ukalime
Rais yupo sawa sana.Tatizo la wenzetu wanafikiri tunampotosha,sisi lengo letu asitumbukie kwenye mtego,wao wanampamba ili aangamie kwa kujiona yupo sawa
Subiri uone tunavyokufa njaa...Pole wee!Baba yenu kawaacha yatima sasa mtakufa njaa