Hii ni katika kuongea hasa kwa vijana hawaongei kiswahl sanifu,yaan wanakela maneno 3 kiswhl mawili kingereza.Wanawaiga wa marekan kuongea kingereza cha wingereza na lugha zao.Sina maana wasiongee ila kma kingera ieleweke,bora waongee wenyewe tu,siku hz hata watangazaj.Utazan watz wote wanafahu kingereza.Wapo ambao hata kiswahili hawajui,kma kingereza unataka kukiongea ongea mwanza mpaka mwisho.