Tanzania: In Search of the Talented Tenth - Kuwatafuta Moja ya Kumi Wenye Talanta

Zakumi wewe ndio unalazimisha views japo sio factual. Nani kakuambia Mbarabaig na Mmasai hafanyi analysis? Yaani analysis lazima imfanye mtu afikie conclusion ambayo mnafikia ninyi mnaojiona ni gatekeepers wa enlightenement? Kwa kuwa hawakukata majani basi hawakufanya analysis? Ina maana transhumance yao haijatokana na analysis? Tulishalijadili hili kwa kina - Mmasai na Mbarabaig mmemfukuza kwenye maeneo yake alafu hali ikimwia vigumu na mifugo yake mnaanza ooh hawana analysis! Kakae Umasaini na Ubarabaigini uone jinsi wanavyochambua mambo kwa kina!

P.S. Sasa unajifanya unaijua historia ya Wachina kuliko Wachina wenyewe?
 
Zakumi wewe ndio unalazimisha views japo sio factual. Nani kakuambia Mbarabaig na Mmasai hafanyi analysis? Yaani analysis lazima imfanye mtu afikie conclusion ambayo mnafikia ninyi mnaojiona ni gatekeepers wa enlightenement? Kwa kuwa hawakukata majani basi hawakufanya analysis? Ina maana transhumance yao haijatokana na analysis? Tulishalijadili hili kwa kina - Mmasai na Mbarabaig mmemfukuza kwenye maeneo yake alafu hali ikimwia vigumu na mifugo yake mnaanza ooh hawana analysis! Kakae Umasaini na Ubarabaigini uone jinsi wanavyochambua mambo kwa kina!

P.S. Sasa unajifanya unaijua historia ya Wachina kuliko Wachina wenyewe?

Mkuu:

Life span ya wamasai imeongezeka. Child mortality rate imepungua. Lakini vipande vya ardhi vimebakia vilevile. Hivyo basi hata kama wamasai wangebaki katika maeneo yao, bado utamaduni wao usingeweza kuhimili mabadiliko ya maisha ya kisasa.

Kwenye thread ya uzawa ulisema kuwa wamasai walihamia Tanzania kutokea North. Na kama utamaduni wao ulikuwa unamudu mazingira yao kwanini hawakubaki hukohuko North?

Kwa maisha ya sasa hawana sehemu ya kwenda. Kilichobakia ni wao kutafuta mbinu nyingine za maisha.

Sasa Tanzania kuna mchagga wa Mwanza, kuna Mchagga wa DSM n.k Diversity ya wachagga imekuja kutokana na ukweli kuwa kuendelea kubanana kwenye mkoani Kilimanjaro haikuwa ni option. Hivyo wanaitumia identity mpya ya kitaifa.
 
Zakumi, na Companero,

Wakuu somo zuri sana na linatuchangamsha wengine wenye kisomo cha madrasa.. Ila tu nimeyasoma mengi ktk maelezo yenu inaonyesha wazi kwamba mnaangukia ktk Principal za Mkandara - WATU na MAZINGIRA ambapo utakuta UTAMADUNI na MAARIFA vinavyoweza kufanya kazi kutatua mgongano wenu wa kifikra..

Sasa katika mabishano yenu nimegundua kitu kimoja kwa kuitazama jamii ya kiafrika inapofikia utaalam kwani mara nyingi sisi huwa tunaiga kinachofanyika Ulaya na ku apply kwetu ktk mazingira tofauti na watu tofauti..hata hizo Analysis tunazifanya according to... na sii kwa kutazama watu na mazingira yetu ili tupate jibu linalojenga.

Ndio maana unakuta watu wakivaa suti jua la nyuzi 40, au kulala beach wakajipaka mafuta ya suntan au apply certain sunscreen ambayo imetengenezwa kwa ngozi ya mzungu.tunafuga ng'ombe wa kizungu ktk mazingira yenye nyasi green through out the Year, tukiwakatia majani na kuwajengea nyumba zao baadhi ya miezi bila sababu muhimu..

Hivyo unakuta ni bora ya huyo Masai ambaye anahama kila siku toka sehemu moja kwenda nyingine kuliko MPare ambaye hukata majani kwa ng'ombe wake ambao ukiwachunguza sana utakuta ni ng'ombe wa kizungu tofauti na ng'ombe wa Mmasai au Mbarabaig.

Na kitu kingine tunashinda kujiuliza kwa nini Mmasai ka prefer kuzunguka na kuhama hama akitafuta majani kwa malisho ya ng'ombe wake kwa sababu sii tu kwa sababu ya analysis isipokuwa tunatazama picha nzima kwa kuiga wazungu bila kutambua kwamba wale ng'ombe wa kizungu wanaokatiwa majani hula majani makavuyaliyochanganywa na madawa, majani ambayo ngo'mbe wa Mmasai Zebu hawezi kula hata kwa bunduki.

Kwani ukame tunaozungumzia huko umasaini nyasi zote huwa sawa kabisa na zile zinazohifadhiwa ng'ombe na farasi wa kufugwa.Kwa hiyo kumkatia ng'ombe majani haiwezi kuwa solution na unatakiwa uwe na vifaa vya kuhifadhi majani yabakie green kwa miezi sita jambo ambalo ni ghali na pengine haliwezekani..

Kwa hiyo wataalam wangu nitarudia kusema hivi Tanzania tuna ng'ombe wetu Zebu na Ankole ambao naweza sema wanakaribia ama kuzidi Population ya watu.. tuna ardhi nzuri ya nafaka na malisho kuliko nchi nyingi za afrika lakini Tanzania tunazidiwa usafirishaji wa nyama na nchi kama Botswana na Somalia ambazo 2/3 ya nchi zao ni jangwa. Wasomi wetu wamekalia kufuga ng'ombe wa kizungu, nguruwe na hata kuku leo hii wa kizungu biashara wakati inatu cost mara 10 kumfuga kuku wa kizungu ktk mazingira ambayo hayafanani kabisa ya yale ya Ulaya..mifugo hii ina gharama, maradhi na kadhalika kuliko huyo wetu Kienyeji na sii kwamba tunashindwa kuwazalisha wetu kwa wingi isipokuwa tunapenda sana KUIGA kutokana na Ulimbukeni wa elimu tuliyopewa.

Analysis zote zinafanyika kwa kutazama vitabu vya wazungu vinasema nini hata kama sii katika mazingira yetu, sii kwa watu kama sisi ambao au Mmasai ambaye ufugaji wake ni pamoja na maarifa ya kukutana na Simba wakapishana kama vile marafiki wa siku nyingi na Simba asithubutu kugusa ng'ombe wa masai..
Haya nasikia Dar wamefungua Zoo kuonyesha wanyama pori wote wakati huku Ulaya Zoo zao zina wanyama wa nje wasiokuwepo ktk National Park zao. Tukasahau kwamba majority ya wazungu watalii wanaokuja Afrika ktk Nationnal park zetu ni wazungu wanapinga sana mpango wa zoo na kuona kama ni jela kwa wanyama.. Wanataka kuona wanyama wakiwa Huru ktkmazingira yao, leo sisi badala ya kuwa mfano bora ndio kwanza tunafungua Zoo zebnye wanyama wale wale tunaowatangaza CNN..
Hivyo Ndivyo Tulivyo ni pamoja na Ulimbukeni wa Kuiga tukidhani ndio Maarifa!
 
Last edited:
Zakumi, na Companero,

Wakuu somo zuri sana na linatuchangamsha wengine wenye kisomo cha madrasa.. Ila tu nimeyasoma mengi ktk maelezo yenu inaonyesha wazi kwamba mnaangukia ktk Principal za Mkandara - WATU na MAZINGIRA ambapo utakuta UTAMADUNI na MAARIFA vinavyoweza kufanya kazi kutatua mgongano wenu wa kifikra..

Sasa katika mabishano yenu nimegundua kitu kimoja kwa kuitazama jamii ya kiafrika inapofikia utaalam kwani mara nyingi sisi huwa tunaiga kinachofanyika Ulaya na ku apply kwetu ktk mazingira tofauti na watu tofauti..hata hizo Analysis tunazifanya according to... na sii kwa kutazama watu na mazingira yetu ili tupate jibu linalojenga.

Ndio maana unakuta watu wakivaa suti jua la nyuzi 40, au kulala beach wakajipaka mafuta ya suntan au apply certain sunscreen ambayo imetengenezwa kwa ngozi ya mzungu.tunafuga ng'ombe wa kizungu ktk mazingira yenye nyasi green through out the Year, tukiwakatia majani na kuwajengea nyumba zao baadhi ya miezi bila sababu muhimu..

Hivyo unakuta ni bora ya huyo Masai ambaye anahama kila siku toka sehemu moja kwenda nyingine kuliko MPare ambaye hukata majani kwa ng'ombe wake ambao ukiwachunguza sana utakuta ni ng'ombe wa kizungu tofauti na ng'ombe wa Mmasai au Mbarabaig.

Na kitu kingine tunashinda kujiuliza kwa nini Mmasai ka prefer kuzunguka na kuhama hama akitafuta majani kwa malisho ya ng'ombe wake kwa sababu sii tu kwa sababu ya analysis isipokuwa tunatazama picha nzima kwa kuiga wazungu bila kutambua kwamba wale ng'ombe wa kizungu wanaokatiwa majani hula majani makavuyaliyochanganywa na madawa, majani ambayo ngo'mbe wa Mmasai Zebu hawezi kula hata kwa bunduki.

Kwani ukame tunaozungumzia huko umasaini nyasi zote huwa sawa kabisa na zile zinazohifadhiwa ng'ombe na farasi wa kufugwa.Kwa hiyo kumkatia ng'ombe majani haiwezi kuwa solution na unatakiwa uwe na vifaa vya kuhifadhi majani yabakie green kwa miezi sita jambo ambalo ni ghali na pengine haliwezekani..

Kwa hiyo wataalam wangu nitarudia kusema hivi Tanzania tuna ng'ombe wetu Zebu na Ankole ambao naweza sema wanakaribia ama kuzidi Population ya watu.. tuna ardhi nzuri ya nafaka na malisho kuliko nchi nyingi za afrika lakini Tanzania tunazidiwa usafirishaji wa nyama na nchi kama Botswana na Somalia ambazo 2/3 ya nchi zao ni jangwa. Wasomi wetu wamekalia kufuga ng'ombe wa kizungu, nguruwe na hata kuku leo hii wa kizungu biashara wakati inatu cost mara 10 kumfuga kuku wa kizungu ktk mazingira ambayo hayafanani kabisa ya yale ya Ulaya..mifugo hii ina gharama, maradhi na kadhalika kuliko huyo wetu Kienyeji na sii kwamba tunashindwa kuwazalisha wetu kwa wingi isipokuwa tunapenda sana KUIGA kutokana na Ulimbukeni wa elimu tuliyopewa.

Analysis zote zinafanyika kwa kutazama vitabu vya wazungu vinasema nini hata kama sii katika mazingira yetu, sii kwa watu kama sisi ambao au Mmasai ambaye ufugaji wake ni pamoja na maarifa ya kukutana na Simba wakapishana kama vile marafiki wa siku nyingi na Simba asithubutu kugusa ng'ombe wa masai..
Haya nasikia Dar wamefungua Zoo kuonyesha wanyama pori wote wakati huku Ulaya Zoo zao zina wanyama wa nje wasiokuwepo ktk National Park zao. Tukasahau kwamba majority ya wazungu watalii wanaokuja Afrika ktk Nationnal park zetu ni wazungu wanapinga sana mpango wa zoo na kuona kama ni jela kwa wanyama.. Wanataka kuona wanyama wakiwa Huru ktkmazingira yao, leo sisi badala ya kuwa mfano bora ndio kwanza tunafungua Zoo zebnye wanyama wale wale tunaowatangaza CNN..
Hivyo Ndivyo Tulivyo ni pamoja na Ulimbukeni wa Kuiga tukidhani ndio Maarifa!


Mkandara:

Matatizo yanakuja kwenye imani ya makabila za kichungaji na ndio tatizo la kushinda kubadilika. Check this one out:

The Maasai tribe of East Africa traditionally believe that all cows on earth are the God-given property of the Maasai.
 
Zakumi,
The Maasai tribe of East Africa traditionally believe that all cows on earth are the God-given property of the Maasai
Mkuu hii haina matatizo kabisa tena baabu kubwa isipokuwa ni jinsi imani hiyo inavyotumiwa..
Kwa mfano waumini wote wa Dini duniani wanaamini kuwa Israel ni nchi waliyopewa Wayahudi (Jews) na Mungu. Iwe ukweli au Uongo lakini imani hii ni sawa na hiyo ya Wamasai (semi-nomadic) kwani kama imewezekan sisi tuamini ya Myahudi tunashindwa vipi kuamini ya Mmasai?

Na kutokana na imani hiyo Waisrael (Semitics) wameitumia kwa faida yao japokuwa Waisrael wote sio Jews..na ardhi hiyo imekuwa sii swala la wafuasi wa Juda au waumini wa dini ya Moses isipokuwa ni kizazi cha mwanamke mwenye asili ya kizazi cha imani ya dini hiyo..
Na tazama mafanikio na maafa yanayosababishwa na imani hiyo!..Kwangu mimi imani hiyo imewanufaisha Wayahudi kwa kila hali... Bila imani hiyo wangekuwa taifa lisilojulikana duniani.

Kwa hiyo ni swala la Wamasai wanaitumia vipi imani hiyo na inakubalika vipi kwetu..Ikiwa Wamasai wataweza itumia imani hii vizuri na wakaweka nguvu zao ktk utajiri ambao Mungu kawajalia..

By the way hata mimi naweza kuamini hivyo kwa sababu ya imani ya dini ambayo inaweza kuwa explained kisayansi.. Haiwezekani kuwa group la semi-nomadic wakawa wafugaji wazuri kuliko magroup yote ya jamii za watu weusi hivi hivi tu lazima kuna sababu na maelezo..

Imekuwaje Mbantu akawa maarufu kwa kilimo, Nilotics ktk Uvuvi na hawa jamaa zetu jamii ya Masai kuwa wafugaji wazuri.. pengine kweli Mungu aliwazawadia kipaji hicho kama alivyotujalia Wabantu ktk Ukulima!.. Swala ni je sisi Wabantu tunautumia vipi ujuzi huo kiasi kwamba tuweze kudai mazao yote ni neema ya Nyamuhanga kwa Mbantu!..Na kwa kuongezea tu imekuwaje sehemu zote wanazoishi Wabantu ni very fertile kwa kilimo hali group nyingine ardhi zao ni za ukame, maji mengi au season zisisoweza kuzalisha kilimo kwa wingi.! tazama miili ya Wamasai na group lote la semi nordic, tazama group la wavuvi watu kama Wajaluo hawakai mbali na maji ya ziwa au mito..Tazama wabantu yaani maumbile yetu yamekuwa tofauti kwa kila jamii kulingana na mazingira yetu..sidhani kama hali hii ni coincidence!
Teh teeh teh!....
 
Last edited:
JC:

Niliwahi ku-pose question hapa kuhusu wastani wa wakazi katika vijiji wakati Nyerere anachukua nchi katika mada sisi ndivyo tulivyo. Mpaka sasa hakuna aliyenijibu.

Kwa kifupi tu nilitaka kuonyesha kuwa Civilization ambayo ni maendeleo tunayozungumza hapa ni matokeo ya muundo wa complex society. Na society haiwezi kuwa complex bila kuwa population ambayo inaweza kusababisha mgawanyo wa kazi ambazo watu watazitegemea kama professional zao.

Nyerere alipochukua nchi sehemu kubwa ilikuwa inaishi kwenye vijiji vyenye watu chini ya 200. Hivyo societies zetu zilikuwa sio complex. Ukienda kwenye kijiji mtu mmoja alifanya kazi karibu zote. Mtu huyohuyo alijilimia chakula, alikuwa mganga wa kienyeji. Wakati wa kiangazi alikuwa msanii wa kucheza ngoma. Pombe ilipopikwa watu hawakununua, wali-share. Kwa ujumla kulikuwa hakuna mahitaji ya profession yoyote. Na huu ndio Nyerere anaita ujamaa. katika society kama hii incentive ya kwenda darasani ni ndogo kwa sababu mahitaji ya jamii sio complex.

Population inapoongeza, profession zinaanza kujitokeza. Watatokea wasanii ambao wataishi kwa kufanya usanii. Watokea Bankers ambao wataishi kwa kutoa mitaji. Watatokea askari. Watokea wanamichezo. Hii ndio complex society. Na katika society kama hizi, incentive ya kujifunza au kuwa na elimu inaoneka.

Population za China na Japan kwa zaidi ya miaka 2000 zishakuwa kubwa. Na kuna kipindi walikuwa mbele sana kabla nchi za Ulaya. Hivyo wao walishajua tofauti kati ya maarifa na utamaduni.

zakumi

swali ntakujibu kwenye majibu nitakayo mpa bwana companero kwani ni this line of thinking anayo itumia in most cases ana sahau na sababu ulizo zileta hapo juu, labda na swali lenyewe kalileta baada ya post yako.
 
Huyu si marehemu? How did he make the list? I know he was very talented but I thought we were looking at the 10% who will be the driving force of Tanzanian development. Na Filbert Bayi is past his prime.[/B]

By the way, what is talent? Can you define it? You may want to read "Outliers: The Story of Success by Malcolm Gladwel".
 
Unatumia vigezo gani kupima kwamba nadharia fulani imepitwa na wakati? Je, ni kipimo cha muda? Kama ni hicho mbona kuna nadharia za zamani, mfano kuhusu demokrasia ya kiliberali au uchumi wa soko, ambazo bado zinatumiwa? Na, je, kama ni kipimo cha kushindwa kutumika sehemu fulani mbona sehemu nyingi wanazitumia na zinafanikiwa? Umejuaje kuwa nadharia na mifano unayoikandia haina umuhimu - umeipima kiyanikifu kwenye maabara yako ya sayansi ya kijamii? Au una chuki binafsi tu na Mwalimu na Wanafunzi wake?

Mkuu first thing first chuki sina na mtu yeyote ktk dunia hii. nimejifunza chuki ni kujiongezea unnecessary negative thoughts kwenye kichwa wich leads to stress, if not dealt with worse cases of mental illnesses are never far away. Kwa hivyo wale wa karibu nikiona wanafanya mambo nisiyopenda huwa biashara naimaliza na kutoongea nao 'just a tip'. Sasa hapa tuko kwenye mijadala why would i hate someone for his ideas, when we can only differ.

Therefore the most appropriate words would be not a fan of his economic policies, which i believe were mostly motivated by controling society for the benefit of his reign. Though he ochestrated other benefits to us, such as our tolerate thinking so there's a side of him that i respect alot.


well to your question.

Sio nany'ang'ana ya kwamba eti kuwa siipendi tu no ni kwamba aina faida yeyote kwenye kuboresha jamii.

kama utanisamehe leo najisikia kuandika kiji historia kwa faida ya jibu lako.

Kitu kwanza cha kuelewa ni kwamba tofauti yetu sisi ata na viumbe vya karibu zetu jamii za nyani sijui abizian, ngabu etc ni kwamba binadamu kapewa reasonable mind na memory kubwa ya kuweka matokeo mengi, hivyo uamua kwa choice na mara nyingi ni zile choice alizonazo ili aweze maximise mahitaji yake. Ni hicho tu ndio tumewazidi wanyama, vinginevyo mifugo ya wamasai ingejua hatma yao panga sijui shoka mjomba ingeanza siku nyingi tu ikitolewa bomani.

Hivyo basi kutokana na mifano yako ya kimasai najua ya wazi unaelewa undani wa civilization from foraging to modern forms. Lakini kitu ambacho nataka uzingatie ni early settlers kwani hapo ndipo uchumi ulipoanza.

Hawa walianza na mifugo kuifungia na kuishi sehemu moja tu, nakutumia maarifa kuweza kuifuga hiyo mifugo bila ya kuzunguka zunguka hovyo kama hao wamasai, majibu ambayo Zakumi kesha kupa na kuongeza mlo kwa kulima pia.

Hivyo ndivyo mambo yalivyokua mpaka walipoanza kuoneshena mababe na kutawalana mpaka tunafikia industrialization ambapo vijiji vimekua nchi under kings. Uchumi ulio kuwa ukitumika enzi hizo is what economists refer to it today as 'a traditional economy' yaani unaongozwa na chiefs kwenye vijiji au wafalme kwenye nchi; na madaraja ya kazi yanatokana na social classes historians refer to this period as 'Fiefdom' na main source of the econmomy ni kilimo. Kwa hivyo kwa kuzaliwa hatma yako inajulikana inaenda ishia wapi kwenye jamii.

Hivyo ndivyo ilivyokua mpaka industrialization ilipoanza wasomi wachache na rich individuals in societies waliposhirikiana na kuanzaisha the new revolution ambayo ili watoa watu mashambani na kuanza kuhitaji the middle skilled man. Na kwa kuwa matajiri hawakua wasafiri kwenye kununua labour (watumwa) hivyo walikua inabidi wawalipe hela nyingi mabaharia wa enzi hizo kwa hivyo kundi lingine la wenye hela likajitokeza mwishowe baadhi kuamua kujifanyia kazi wenyewe. Hii ikawafanya mabenki nayo waingiwe tamaa na hii biashara mpya, hivyo na wao wakaanza kuwadhamini wengine kwa namna ya mikopo.This is when the 'laissez faire' concept began (free market with less government interference, but collecting taxes).

Yote hayo ya kaleta faida kubwa sana kwenye mifuko ya serikali ambazo zili perticipate katika biashara hizo kwani wengi sasa walikua wana earn incomes, especially britian ambayo kutokana na hiyo new wave of revolution iliona umuhimu wakuitaji hao wasomi wengi ili waweze gundua new services na teknolojia kwa kuboresha jamii na maisha. Amini usiamini 100yrs after that ndio that ndio tumepata most modern necessities kuanzia dawa bora na mambo karibu yote uyaonayo leo.

je ni miaka mingapi ili pita katika dunia yetu bila ya kuvumbua chochote cha maana, wakati mambo mengi yalivumbuliwa kwa muda mfupi baada ya kuamua kuongeza wasomi na kusponsor experiment zao bila ya kuangalia ni wa ngazi gani na wa tumbo gani.

Hii ilikua hivi mpaka mpuuzi mmoja ambae alikuja kwa jina la Karl Max na theory yake ya kwamba hawa jamaa wachini hiko siku watachoka kufanywa mabwege na kuleta mageuzi, kwani wao ni wengi kushindwa hawa mabepari wao. Vile vile aliona ni kitu ambacho akina usawa katika jamii wachache kuwaburuta wengi na serikali kuwakumbatia wachache.

Kwa yeye solution yake ni hiyo perspective yako ya uchumi 'a command economy' au kwa lugha chafu 'socialism' ambapo serikali ichukue uzalishaji na kujaribu kugawa kwa sawa katika jamii.

Endapo utafanya hivi amna tofauti yeyote kubwa na 'traditional economy' kwani utaitaji waerevu wachache waweze simamia wengine, ingawa si ufalme bali ni kanuni zile zile za kifalme. Ndio hapo huo upuuzi wa ten percent unapokuja.

Vilevile kwa kuwa unaitaji labour na amna utumwa kwa hivyo uta wanyima wengi elimu ya juu kabisa ili wafanye kazi zako unazotaka wewe ndio hapo unawachagulia misingi ya elimu kwa kuwa yeye nyerere ilikua kilimo basi ndio apo atoke afisa shamba na wapuuzi wengine ku-create hierachy kwa misingi ya haki anazo taka yeye huyo Mwalimu wako.

Kwa kuwa atukuwa tunaishi eighteen century hivyo kulikuwa na mahitaji ya secta zingine kuweza kusaidia kilimo. Ndipo apo tukapata chuo kimoja na watoke watu wakuweza kusaidia sehemu zingine katika jamii lakini kwa fikra za mpuuzi mwalimu wako na limitation zake yeye. Ndio maana leo hii wewe unakuja hapa kusema wasomi wasipewe priviledge yeyote, wasomi ndio waleta maendeleo leo tena unasemwa wasitunzwe hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyokua corrupted mentally na huyu mtu (hilo somo lingine tena siku nyingine mungu akipenda).

Kwa hiyo all he ever did mwalimu wako ni ku-limit cognitive growth katika jamii na ku-corrupt mind za watu waliokuwa wakimsoma yeye na kumsikiliza yeye, lakini waelevu wenzako wa enzi hizo wengi waliingia mitini baada ya kupata elimu zao za udaktari, engineering kwa kuona hazi wapi freedom ya kusaidia Umma bali kuishia fanya kazi ya mwalimu na propaganda zake. Na wewe mwenyewe pia si unasema ulikuwa viwanjani mpaka lately tu.

Inabidi uelewe kitu nilichokwambia juu binadamu inabidi aachwe acheze na akili zake hivyo ndivyo watu wanakuja na namna ya kuboreha maisha yao na kuleta maendeleo kwenye jamii. kama Zakumi alivyosema hao wamasai hawaendelei sio kwa sababu awajui maarifa bali the're more into cultural than being practical in life choices, which is why the're stuck in the past and future.

Dunia ya leo nchi nyingi ambazo zilianza maendeleo kabla la bara la africa bado wana early forms of their economics with capitalism ndio mstari wa mbele kwani ina offer changamoto ya mawazo. Na dunia ya leo mawazo thamani soon utashtakiwa kwa quote people bila ya reference zao. Au unadhani ni dunia ya nyerere kila kitu cha wote.
 
Last edited by a moderator:
JC nani kakuambia Wamasai walikuwa wanazunguka hovyo? 'Transhumance' sio kuzunguka hovyo. Huku mnakokuita kuzunguka hovyo Kilosa, Handeni, Bagamoyo, Ihefu na kwingineko kunatokana na mafisadi kuwatoa kule kwenye maeneo yao na kuwauzia wawekezaji na majangili!Mmaasai is the most 'traditional-cum-modern' Tanzanian. Msingembana na kumfanyia visa angefika mbali sana maana yeye ndiye ameelewa zaidi umuhimu wa kutohoa 'modern' culture to fit culture na mazingira yake. Ninyi mmembaki ku-ape tu kama ngabu na abiziani!

P.S. Soma 'Is it Possible?' uone what is in the head of a Maasai in the so-called Modern World!
 
Last edited:
je ni miaka mingapi ili pita katika dunia yetu bila ya kuvumbua chochote cha maana, wakati mambo mengi yalivumbuliwa kwa muda mfupi baada ya kuamua kuongeza wasomi na kusponsor experiment zao bila ya kuangalia ni wa ngazi gani na wa tumbo gani.

Kwa yeye solution yake ni hiyo perspective yako ya uchumi 'a command economy' au kwa lugha chafu 'socialism' ambapo serikali ichukue uzalishaji na kujaribu kugawa kwa sawa katika jamii.

Endapo utafanya hivi amna tofauti yeyote kubwa na 'traditional economy' kwani utaitaji waerevu wachache waweze simamia wengine, ingawa si ufalme bali ni kanuni zile zile za kifalme. Ndio hapo huo upuuzi wa ten percent unapokuja.

Hiyo uliyoielezea hapo juu kwenye mstari mwekundu ndio dhana ya 1 ya 10 tunayoiongelea. Siyo hiyo kwenye mstari wa bluu. Kumbuka hapa hatuongelei 1 ya 10 kama ngazi au tabaka. Tunawaongelea hao kama watu ambao wamepewa/wamepata fursa au bahati ya kuendeleza talanta zao kuliko wengine na hivyo kuwa vinara katika fani mbalimbali zinazohitajika katika jamii. Sio majina yote niliyoyataja yanatoka kwenye ngazi au tabaka la juu. Ila ni kundi la watu ambao wamefika kileleni katika taaluma za kiuchumi, kisiasa, kijamaa, kisayansi, kiteknolojia n.k kutokana na juhudi zao n.k. na ambao nguvu zao zikiwekwa pamoja na kuelekezwa kuleta maendeleo kwa kasi basi kitafanya hiyo 'Renaissance' unayoishabikia kuwa ilifanyika huko Ulaya kabla hajaja Mzee wa Das Kapital.

P.S. Kamwe sijawahi kutetea mfumo wa Kikomunisti wa 'Command/Centralized Economy'. Mimi ni mtetezi wa Ujamaa Mamboleo. Huo ni wa 'Participatory Mixed Economy'. Wamaasai wanauelewa vizuri!
 
Kwa kifupi tu nilitaka kuonyesha kuwa Civilization ambayo ni maendeleo tunayozungumza hapa ni matokeo ya muundo wa complex society. Na society haiwezi kuwa complex bila kuwa population ambayo inaweza kusababisha mgawanyo wa kazi ambazo watu watazitegemea kama professional zao.

Hivi unajua jinsi jamii za Kimaasai zilivyo complex? Unajua jinsi division of labour yao ilivyo so sophisticated? Au una-copy na ku-paste tu nadharia zenu za Ki-Malthus, Ki-Lewis na Ki-Todaro?

Kuna mtu alituma kabarua pepe ambako kwa namna moja kanaonyesha kuwa what really matters is not number, size or age ya nchi. Japo sikubaliani nako sana kwenye baadhi ya historical analysis zake kuhusu jamii fulani, kana point - ngoja nikadondoe kidogo hapa chini:


The difference between the poor countries and the rich ones is not the age of the country.


This can be shown by countries like India & Egypt, that are more than 2000 years old and are poor.

On the other hand, Canada, Australia & New Zealand, that 150 years ago were inexpressive, today are developed countries and are rich.


The difference between poor & rich countries does not reside in the available natural resources.


Japan has a limited territory, 80% mountainous, inadequate for agriculture & cattle raising, but it is the second world economy. The


country is like an immense floating factory, importing raw material from the whole world and exporting manufactured products.

Executives from rich countries who communicate with their counterparts in poor countries show that there is no significant intellectual difference.



Race or skin color are also not important: immigrants labeled lazy
in their countries of origin are the productive power in rich European countries.


What is the difference then?

The difference is the attitude of the people, framed along the years by the education & the culture.
 
Baada ya kumbishia sana Zakumi kuhusu dhana ya William E. B. Du Bois kuhusu Moja ya Kumi wenye Talanta sasa nimeongoka. Nimeitafakari sana. Nimeijadili sana. Nimeihoji sana. Sasa nakubali kabisa kuwa ili Tanzania iendelee inahitaji asilimia 10 ya watu wake ambao ndio watakuwa injini ya kuiendeleza na sisi wengine (90%) tutafuatia. Tayari sehemu hii ya 10 imeshaanza kazi hiyo ila kinachohitajika ni kuwatambua na kuunganisha nguvu zao kwa pamoja ili zilete haraka mabadiliko makubwa ya kiuchumi, kisiasa kijamii, kiutamaduni, kisayansi na kiteknolojia hapa Tanzania.

Nimeamua kuanza jukumu hilo na naamini Zakumi na wadau wengine mtashirikiana nami. Ikumbukwe kuwa Tanzania ina watu takribani milioni 40, yaani 40,000,000. Hivyo kwa mahesabu ya haraka haraka asilimia 10 ya watu hao ni watu 4,000,000 yaani watu milioni 4. Natumai server ya JF inatosha kuhifadhi database ya watu hao. Watu hawa wako katika nyanja mbalimbali ambazo zikiangaliwa kwa pamoja kama sekta mtambuka basi zitatusaidia kuweka vipaumbele vya maendeleo sawa. Kwa kufungua database yetu naanza na watu 10 ambao hakika ni sehemu ya 1 ya 10:

1. Prof. Keto Mshigeni - Scientist/Botanist
2. Hon. Zitto Kabwe(MP) - Economist-cum-Politician
3. Hasheem Thabeet - Basketball Superstar/Philanthropist/Role Model
4. Prof. Benno Ndulu - Economist/Bank Governor
5. Issa Michuzi - Photographer/Journalist/Blogger
6. Dr. Asha-Rose Migiro - Lawyer/Diplomant
7. Erasto Mpemba - Discoverer/Physicist
8. Dr. Thomas Neligwa -Computer Scientist/Mathematician
9. Liberata Mulamula - Administrator/Diplomat
10. Hon. Stella Manyanya (MP) - Electrical Engineer-cum-Politician

Angalizo: Hii sio mada ya Celebrity Forum - ni maada ya 'Siasa-Uchumi' (Political Economy) ya kutumia 'Talented Tenth' yetu kama 'zaka' ya kuleta a 'A Political/Governace, Social/Cultural, Economic/Financial and Scientific/Technological Revolution'.
unataja watu kumi kwa ajili ya umaarufu wao, nchi inakuwa kutokana na unsung heroes.....
TZ inatakiwa kuongeza middle class(unsung heroes), nchi zote zilizoendelea zinategemea middle class na sio watu maarufu....
middle class namaanisha lawyers, dr, bankers, lecturers, engrs, scientist n more....
 
Companero, Zakumi et al,

Mimi nadhani lets see what is workable. What is practical? Inawezekana kweli hizi argument tunazoziweka hapa zikafanikiwa katika mazingira tuliyonayo kwa sasa? I mean, not that am an optimist, lakini lets face it..taifa letu kama yalivyo mengi ya kiafrika bado viongozi wetu wanaendesha nchi kama makampuni binafsi na shareholders wanaopata dividends ni wale wanafamilia na walio karibu na watawala.

Make no mistake, western countries waliendelea na wanaendelea si kwa sababu ya kitu kingine, lakini kwanza waliji-organize kama society wakaweka malengo ya kipi wanakitafuta. Along the way kuna casualty wengi waliumia kama minorities, wanawake etc...lakini hiyo ndo gharama ya maendeleo...na kitu kikubwa kila mtu alikuwa anaona ni part ya ile community kwa hiyo ana jukumu la kuchangia. Sisi mpaka leo kama taifa hatujui priority yetu ni nini. na majotity we are not involved in the process.... Leo Kikwete anasema Kilimo Kwanza..lakini ukiangalia kiundani..the guy doesnt know what he is talking about. He doesnt mean it..baada ya kununua tractor...unanunua landcruiser mia saba za Ma-DC na RC et al....harafu unasema kilimo kwanza...are you real? Just a joker! au unafikiri tunaweza kuendelea kwa jembe la Mkono? Jibu ni: Hatuwezi

Mimi argument yangu kubwa, nasema hivi, Africa au nchi yoyote masikini ikitaka kusonga mbele lazima tuwe na uwezo wa kuwawajibisha wale tunaowapa dhamana ya kutuongoza. na wakijua kwamba watawajibishwa..wata-behave differently. Chukulia mfano katika nchi zote ambazo zimepiga hatua..sheria zilizokuwepo tangu zamani zilikuwa kandamizi sana. Ingawa zime-evolve. Lakini ukweli ni kwamba kila mtu anaiogopa sheria. Ndo maana US mpaka leo utaona minorities na wengine 'wakuja' wanalalamika kwamba sheria zinawaonea..lakini ukweli ukiangalia..ni wachache wanaokamatwa bila kosa. bila kuwa na system ambayo iko credible na inamuwajibisha kila mtu..we are going no where....hata kama tungekuja na theories gani...

Hivi kwa nini ukiwa US au Europe..huwezi kukatiza kwenye taa nyekundu barabarani..hata kama ni Jpili..hakuna gari wala mtu yeyote anayekuona? Yet ukiwa bongo..gari la Serikali lenye namba za STJ ndo halitaki kufuata foleni..asubuhi..linapita pembeni ya barabara..na unakuta hilo gari limembeba mkubwa ambaye ndo ana dhamana ya kulinda hizo sheria! Sasa dereva wa dala dala atafanya nini??????????

Ninachoweza kusema, kamwe kama taifa hatuwezi kuendelea wakati viongozi wako free kuiba na kuondoka bila kunyooshewa vidole. Jiulizeni zile hela za EPA na madudu mengineyo..kama tungeziweka sehemu stahiki..ingekuwaje? jiulizeni..kama wale walioiba hizo pesa wangekuwa Keko? Hakika nakwambia kama taifa tungekuwa tofauti. tunazidi kuwa masikini simply because kidogo tulichonacho tunaki misallocate na wachache ndo wanafaidi. Africa needs strong institutions. Ndo maana usishangae watu kama akina Kagame..leo wanasifiwa..si kwamba wamefanya lolote..lakini wamejua tatizo liko wapi na wamekuwa na courage ya kuli-address. Wamegundua kwamba bila zero torelance ya rushwa na uzembe..wataendelea kuwa beggars..well..mwenye kuona anaona...

Hiyo list ya watu iliyomo humu..well wengi ni wazuri lakini..hebu waulize walifikaje hapo walipo? ni wachache wamefika kwa merit. Wengi wamesogezwa na system. Leo wataigeuka? na kwa sababu kila mtu anataka apate mkate..basi wanaoumia ni wananchi.

In all, nasema hatuhitaji the talented tenth..tunahitaji kuwa na viongozi wenye vision. Wanaoweza kuweka maslahi ya taifa mbele. How do we get them..ndo swala tunalostahili kulijadili hapa. Otherwise..yote tunayoyaongea hapa..ni kama kumuuliza babu yangu wa Sengerema achague kati ya Expresso au Le Machiato......wakati mzee hata chumvi ni mgogoro!

As a Tanzania, I will go to my grave believing that, bila kuwa na strong governance structures..tunaweza kuongea na kurecite..wakina Karl Max, Webber, Du Bois et al..lakini hakuna kitakachotusaidia kamwe. Kwa sababu rushwa na uongozi mbovu ndo kitovu cha matatizo yote. Ukishaweka level playing field, I can assure you..wote hapa tutachacharika kinamna na taifa letu litasonga mbele. Hata mchumi atakuja na theories nzuri..akijua zitakuwa implemented. Hata Zakumi atarudi nyumbani toka huko majuu...baada ya kubeba box..akijua kwamba gari na begi lake pale bandarini havitafunguliwa na kuibwa na wajanja...as it is now..

Wakuu..mimi nadhani tuanze na vitu basic....ambavyo tunaweza kuvi-influence.Otherwise..we have men and women who can do better for our country..ni kutengeneza..playing field.

Ni mjadala mzuri..lakini tuangalie what we really need now and above all what we can realistically achieve in our current predicament.
 
Kuna Watanzania Wengi sana na orodha yako sio ya kweli Umetumia kigezo gani kutoa orodha yako??

unataja watu kumi kwa ajili ya umaarufu wao, nchi inakuwa kutokana na unsung heroes.....
TZ inatakiwa kuongeza middle class(unsung heroes), nchi zote zilizoendelea zinategemea middle class na sio watu maarufu....
middle class namaanisha lawyers, dr, bankers, lecturers, engrs, scientist n more....

Uelewa ni sifa mojawapo kuu ya kuwa moja ya kumi tunayoiongelea hapo juu. Sasa hamuelewi nini? Mbona kila kitu kiko wazi!

JM: 1 ya 10 ya watu 40,000,000 ni watu 4,000,000 ni si watu 10!

SL: Hao 10 niliowataja ndio hao hao middle class unaowaongelea!

P.S. Nimeanza na 10, orodha inapaswa ifikie Watanzania milioni 4!
 
Companero

unasema ya kwamba masai anaendeleza mila zake bila kutaka kukumbatia maendeleo ya namna zingine za jamii kwenye kuleta maendeleo kwa wao wenyewe.

Hivyo anaendelea kuishi kwa namna anayoithamini yeye ukweli wenyewe hiyo desturi yao aiwasaidii hivyo kwani anaitaji modern development vile vile kuboresha maisha yake.

Mfano ndio maana kila siku wao upelekewa misaada ya mahindi kwa ubishi wao wakutotaka lima na kutulia, na kumejaa clinic za missionaries huko kwa kujiweka mbali kwao na jamii those are facts ya kwamba development aiitaji masai bali masai anaihitaji ila mmbishi kwa sababu ya kulinda mila zake kwangu ni upuuzi na kwa Lowassa pia ni upuuzi ndio maana anasema wata ji JJ.

Dawa zao ni uzushi mtupu hivyo waungwana kwa jina la mungu imebidi wajitolee sacrifice za kuwafikia hizi ni sababu chache tu za matatizo walizokua nazo hao wamasai na modern development inavyojaribu kuwasaidia kwa ubishi wao.

Lakini wao awana kitu cha kutufunza ni msaada wa pande moja tu mkuu, kwa ni wao wanao adapt polepole rather than offer us anything we do not know.

Hili si swali la kuku na yai kipi kilitangulia kuja duniani, its simple binadamu wa mwanzo tunaambia tukiacha abari za bwana mungu (ingawa sidhani kama njia ya msikiti au kanisa unaijua), alikua anaishi kama beast na kwa upweke, lakini nikirudia tena our speciality yaani memory and reason ability miaka millioni kadha tumejumlisha faida mpaka kufikia hapa tulipo yaani akagundua jiko (na akali boresha), aka gundua nyumba badala ya pango (na akali boresha mpaka kufikia gorofa lako unalokalia), akagundua gari mpaka kufikia lako unaloendesha, akagundua lugha unayoitumia leo tunaitumia kwenye mtandao by the way 'Mods' wa hii site pia waliitengenza, vyote hivyo katengeneza mwanadamu kutumia kichwa.

na amini usiamini kwa waafrika wengi bado tupo kwenye 16th au 17th century reason ability ya mzungu anaeshika nchi, fact based on the development yao na reason ability yao at that time (logical reasoning) almost similar if not there's being better. Kwani most of our development ni kuletewa tu mpaka elimu ya juu atuja ivumbua sisi watu waliotoka continent zingine ndio wameileta. Sasa tunawasomi wangapi wa juu katika population yetu (tafadhali fikilia in ratio ya jamii)

Kwa hivyo usione magari makubwa Tanzania ukatishika sisi ni kama wamasai wa mjini tu tunachanganywa na modern development lakini we are still yet to figure out the discipline required to succeed ndio maana unaona mpuuzi wa serikali anaweza ondoka na ufisadi ambao unagharama, ya shule mia moja na madawati yake na kujenga hospitali moja kubwa au mbili na anaona sawa hii ni ishara ya mtu asielewa nini maendeleo ya jamii.

Alafu watu millioni 40 wanawapigia kura asilimia kubwa ya wezi hawa. Hii si kwamba aina explanation ukweli nikwamba a majority are still in ignorance wa hali ya juu.

Unavyama vya siasa wanasiasa wasioelewa kwenda kupeleka wagombea sita, ukati CCM ina tegemea karibu nusu kura uoni ni upumbavu hii ni ishara ya upumbavu na kujipunguzia kura wenyewe.

Hivyo basi ili uwasadie watu huitaji a percentage tu kama unavyosema kileta maendeleo kwa dunia ya maendeleo unahitaji wasomi wote kila mtu awe na maarifa, kwani binadamu mwenye maarifa ndio uleta maendeleo.

ingawa mababu zetu walivumbua tools ambazo zilikuwa si hivyo walituanzishia misingi ya kuelewa utumikaji wake na umuhimu wake hivyo kumwezesha binadamu atakae fatia akute mfano kisu lakini asijiulize hivi kwa nini mtu aligundua kisu ingawa kila siku anakitumia au moto kwa nini mtu alivumbua moto.

ndipo hapo unawapeleka watu shule wajufunze fortunately leo tunasehemu nyingi za kujifunza aim ni hawa watu walete changamoto na maendeleo kwenye jamii.

pale tulipo jamaa uliye m-quote hapa chini ndio anacho maanisha au picha kamili kwenye signature yangu hapo chini.

What is the difference then?


The difference is the attitude of the people, framed along the years by the education & the culture.



P.S. Kamwe sijawahi kutetea mfumo wa Kikomunisti wa 'Command/Centralized Economy'. Mimi ni mtetezi wa Ujamaa Mamboleo. Huo ni wa 'Participatory Mixed Economy'. Wamaasai wanauelewa vizuri!

+

NN Mwalimu alikuwa sehemu ya 1 ya 10 ya Jamii hii. Kwa namna moja au nyingine aliichambua dhana hiyo. Ufuatao ndio tunaweza kusema ulikuwa mtazamo wake kuhusu hii nadharia ya Du Bois:

"I reject the proposition that intellectuals are a special breed of men and women, by their very existence deserving privileges and rewards denied to others. But I do accept that intellectuals have a special contribution to make to the development of our nations, and to Africa. And I am asking that their knowledge, and the greater understanding that they should possess, should be used for the benefit of the society of which we are all members" - JK Nyerere on 'The Intellectuals Needs Society' in 'Man and Development'


Changamoto tuliyo nayo ni kuifanya 1 ya 10 yetu inaleta 'Tanzanian Renaissance'.

= communists (based on those two posts)
 
Mkuu first thing first chuki sina na mtu yeyote ktk dunia hii. nimejifunza chuki ni kujiongezea unnecessary negative thoughts kwenye kichwa wich leads to stress, if not dealt with worse cases of mental illnesses are never far away. Kwa hivyo wale wa karibu nikiona wanafanya mambo nisiyopenda huwa biashara naimaliza na kutoongea nao 'just a tip'. Sasa hapa tuko kwenye mijadala why would i hate someone for his ideas, when we can only differ.

Therefore the most appropriate words would be not a fan of his economic policies, which i believe were mostly motivated by controling society for the benefit of his reign. Though he ochestrated other benefits to us, such as our tolerate thinking so there's a side of him that i respect alot.


well to your question.

Sio nany'ang'ana ya kwamba eti kuwa siipendi tu no ni kwamba aina faida yeyote kwenye kuboresha jamii.

kama utanisamehe leo najisikia kuandika kiji historia kwa faida ya jibu lako.

Kitu kwanza cha kuelewa ni kwamba tofauti yetu sisi ata na viumbe vya karibu zetu jamii za nyani sijui abizian, ngabu etc ni kwamba binadamu kapewa reasonable mind na memory kubwa ya kuweka matokeo mengi, hivyo uamua kwa choice na mara nyingi ni zile choice alizonazo ili aweze maximise mahitaji yake. Ni hicho tu ndio tumewazidi wanyama, vinginevyo mifugo ya wamasai ingejua hatma yao panga sijui shoka mjomba ingeanza siku nyingi tu ikitolewa bomani.

Hivyo basi kutokana na mifano yako ya kimasai najua ya wazi unaelewa undani wa civilization from foraging to modern forms. Lakini kitu ambacho nataka uzingatie ni early settlers kwani hapo ndipo uchumi ulipoanza.

Hawa walianza na mifugo kuifungia na kuishi sehemu moja tu, nakutumia maarifa kuweza kuifuga hiyo mifugo bila ya kuzunguka zunguka hovyo kama hao wamasai, majibu ambayo Zakumi kesha kupa na kuongeza mlo kwa kulima pia.

Hivyo ndivyo mambo yalivyokua mpaka walipoanza kuoneshena mababe na kutawalana mpaka tunafikia industrialization ambapo vijiji vimekua nchi under kings. Uchumi ulio kuwa ukitumika enzi hizo is what economists refer to it today as 'a traditional economy' yaani unaongozwa na chiefs kwenye vijiji au wafalme kwenye nchi; na madaraja ya kazi yanatokana na social classes historians refer to this period as 'Fiefdom' na main source of the econmomy ni kilimo. Kwa hivyo kwa kuzaliwa hatma yako inajulikana inaenda ishia wapi kwenye jamii.

Hivyo ndivyo ilivyokua mpaka industrialization ilipoanza wasomi wachache na rich individuals in societies waliposhirikiana na kuanzaisha the new revolution ambayo ili watoa watu mashambani na kuanza kuhitaji the middle skilled man. Na kwa kuwa matajiri hawakua wasafiri kwenye kununua labour (watumwa) hivyo walikua inabidi wawalipe hela nyingi mabaharia wa enzi hizo kwa hivyo kundi lingine la wenye hela likajitokeza mwishowe baadhi kuamua kujifanyia kazi wenyewe. Hii ikawafanya mabenki nayo waingiwe tamaa na hii biashara mpya, hivyo na wao wakaanza kuwadhamini wengine kwa namna ya mikopo.This is when the 'laissez faire' concept began (free market with less government interference, but collecting taxes).

Yote hayo ya kaleta faida kubwa sana kwenye mifuko ya serikali ambazo zili perticipate katika biashara hizo kwani wengi sasa walikua wana earn incomes, especially britian ambayo kutokana na hiyo new wave of revolution iliona umuhimu wakuitaji hao wasomi wengi ili waweze gundua new services na teknolojia kwa kuboresha jamii na maisha. Amini usiamini 100yrs after that ndio that ndio tumepata most modern necessities kuanzia dawa bora na mambo karibu yote uyaonayo leo.

je ni miaka mingapi ili pita katika dunia yetu bila ya kuvumbua chochote cha maana, wakati mambo mengi yalivumbuliwa kwa muda mfupi baada ya kuamua kuongeza wasomi na kusponsor experiment zao bila ya kuangalia ni wa ngazi gani na wa tumbo gani.

Hii ilikua hivi mpaka mpuuzi mmoja ambae alikuja kwa jina la Karl Max na theory yake ya kwamba hawa jamaa wachini hiko siku watachoka kufanywa mabwege na kuleta mageuzi, kwani wao ni wengi kushindwa hawa mabepari wao. Vile vile aliona ni kitu ambacho akina usawa katika jamii wachache kuwaburuta wengi na serikali kuwakumbatia wachache.

Kwa yeye solution yake ni hiyo perspective yako ya uchumi 'a command economy' au kwa lugha chafu 'socialism' ambapo serikali ichukue uzalishaji na kujaribu kugawa kwa sawa katika jamii.

Endapo utafanya hivi amna tofauti yeyote kubwa na 'traditional economy' kwani utaitaji waerevu wachache waweze simamia wengine, ingawa si ufalme bali ni kanuni zile zile za kifalme. Ndio hapo huo upuuzi wa ten percent unapokuja.

Vilevile kwa kuwa unaitaji labour na amna utumwa kwa hivyo uta wanyima wengi elimu ya juu kabisa ili wafanye kazi zako unazotaka wewe ndio hapo unawachagulia misingi ya elimu kwa kuwa yeye nyerere ilikua kilimo basi ndio apo atoke afisa shamba na wapuuzi wengine ku-create hierachy kwa misingi ya haki anazo taka yeye huyo Mwalimu wako.

Kwa kuwa atukuwa tunaishi eighteen century hivyo kulikuwa na mahitaji ya secta zingine kuweza kusaidia kilimo. Ndipo apo tukapata chuo kimoja na watoke watu wakuweza kusaidia sehemu zingine katika jamii lakini kwa fikra za mpuuzi mwalimu wako na limitation zake yeye. Ndio maana leo hii wewe unakuja hapa kusema wasomi wasipewe priviledge yeyote, wasomi ndio waleta maendeleo leo tena unasemwa wasitunzwe hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyokua corrupted mentally na huyu mtu (hilo somo lingine tena siku nyingine mungu akipenda).

Kwa hiyo all he ever did mwalimu wako ni ku-limit cognitive growth katika jamii na ku-corrupt mind za watu waliokuwa wakimsoma yeye na kumsikiliza yeye, lakini waelevu wenzako wa enzi hizo wengi waliingia mitini baada ya kupata elimu zao za udaktari, engineering kwa kuona hazi wapi freedom ya kusaidia Umma bali kuishia fanya kazi ya mwalimu na propaganda zake. Na wewe mwenyewe pia si unasema ulikuwa viwanjani mpaka lately tu.

Inabidi uelewe kitu nilichokwambia juu binadamu inabidi aachwe acheze na akili zake hivyo ndivyo watu wanakuja na namna ya kuboreha maisha yao na kuleta maendeleo kwenye jamii. kama Zakumi alivyosema hao wamasai hawaendelei sio kwa sababu awajui maarifa bali the're more into cultural than being practical in life choices, which is why the're stuck in the past and future.

Dunia ya leo nchi nyingi ambazo zilianza maendeleo kabla la bara la africa bado wana early forms of their economics with capitalism ndio mstari wa mbele kwani ina offer changamoto ya mawazo. Na dunia ya leo mawazo thamani soon utashtakiwa kwa quote people bila ya reference zao. Au unadhani ni dunia ya nyerere kila kitu cha wote.

JC:

Hii posti ni master piece. Kwa kuongezea tu nimejaribu kufuatilia vyakula ambavyo ni muhimu katika jamii zetu za sasa za Tanzania na asili yake.

Mahindi asili yake ni south America, yaliletwa na waReno.
Mihogo asili yake ni south America, yaliletwa na waReno.
Mpunga asili yake ni South East Asia
Ndizi asili yake Papua New Guinea
Mtama asili yake East Asia
Viazi mbatata asili yake South America
Viazi vitamu South America

Kwa mtaji wa mazao haya na asili yake, ina maana zaidi ya miaka 600 iliyopita jamii zetu nyingi zilikuwa sio za wakulima. Hivyo inawezekana walitegemea ufugaji, uwindaji, ukusanyaji wa mboga mboga na matunda ya porini. Pamoja na kutokuwepo na mazao ambayo sasa hivi ni vyakula muhimu, jumuia zetu zili-survival.

Kwa mfano kwenye chronicle moja ya waarabu waliotembelea Africa Mashariki (Azania au Zenj). Wanasema wazawa walikuwa walikuwa wanawinda tembo bila kutumia silaha zozote. Walichofanya ni kukoroga majani fulani kwenye madimbwi ya maji. Tembo walipokunywa maji kwenye madimbwi haya walilewa na kuanguka.

Hivyo yanayofanywa na wamasai sio kwamba hayakufanyika na jamii zingine. Yalifanyika. Lakini vinapotekea vitu effiency zaidi au maarifa yatakayotoa ufanisi zaidi basi ni lazima jamii ibadilike ama sivyo jamii zingine zenye kupata mabadiliko zitawameza.


Vilevile Northen Europeans walikwenda Ulaya kama normad na mifugo yao. Lakini walipopata sehemu ambazo zilitoa malisho mwaka mzima waliacha u-normad.

Na neno capital asili yake ni cattle. Hivyo mtu aliye na cattle wengi alihesabika kama tajiri.

Vilevile waTusti na Wamasai wanatoka Kaskazini ya Afrika. Lakini katika unormad wao waTusti walifika katika maeneo ya sasa ambayo majani yanapatikana mwaka mzima. Hivyo wameacha unormad. Lakini binamu zao wa karibu bado wanaendeleza.
 
Zakumi,

Mkuu hii haina matatizo kabisa tena baabu kubwa isipokuwa ni jinsi imani hiyo inavyotumiwa..
Kwa mfano waumini wote wa Dini duniani wanaamini kuwa Israel ni nchi waliyopewa Wayahudi (Jews) na Mungu. Iwe ukweli au Uongo lakini imani hii ni sawa na hiyo ya Wamasai (semi-nomadic) kwani kama imewezekan sisi tuamini ya Myahudi tunashindwa vipi kuamini ya Mmasai?

Na kutokana na imani hiyo Waisrael (Semitics) wameitumia kwa faida yao japokuwa Waisrael wote sio Jews..na ardhi hiyo imekuwa sii swala la wafuasi wa Juda au waumini wa dini ya Moses isipokuwa ni kizazi cha mwanamke mwenye asili ya kizazi cha imani ya dini hiyo..
Na tazama mafanikio na maafa yanayosababishwa na imani hiyo!..Kwangu mimi imani hiyo imewanufaisha Wayahudi kwa kila hali... Bila imani hiyo wangekuwa taifa lisilojulikana duniani.

Kwa hiyo ni swala la Wamasai wanaitumia vipi imani hiyo na inakubalika vipi kwetu..Ikiwa Wamasai wataweza itumia imani hii vizuri na wakaweka nguvu zao ktk utajiri ambao Mungu kawajalia..

By the way hata mimi naweza kuamini hivyo kwa sababu ya imani ya dini ambayo inaweza kuwa explained kisayansi.. Haiwezekani kuwa group la semi-nomadic wakawa wafugaji wazuri kuliko magroup yote ya jamii za watu weusi hivi hivi tu lazima kuna sababu na maelezo..

Imekuwaje Mbantu akawa maarufu kwa kilimo, Nilotics ktk Uvuvi na hawa jamaa zetu jamii ya Masai kuwa wafugaji wazuri.. pengine kweli Mungu aliwazawadia kipaji hicho kama alivyotujalia Wabantu ktk Ukulima!.. Swala ni je sisi Wabantu tunautumia vipi ujuzi huo kiasi kwamba tuweze kudai mazao yote ni neema ya Nyamuhanga kwa Mbantu!..Na kwa kuongezea tu imekuwaje sehemu zote wanazoishi Wabantu ni very fertile kwa kilimo hali group nyingine ardhi zao ni za ukame, maji mengi au season zisisoweza kuzalisha kilimo kwa wingi.! tazama miili ya Wamasai na group lote la semi nordic, tazama group la wavuvi watu kama Wajaluo hawakai mbali na maji ya ziwa au mito..Tazama wabantu yaani maumbile yetu yamekuwa tofauti kwa kila jamii kulingana na mazingira yetu..sidhani kama hali hii ni coincidence!
Teh teeh teh!....

Kwa taarifa yako mbantu amekuwa maarufu kwa kilimo very late. Unakuwa mkulima pale unapolima mazao. Hii hapa ni orodha ya mazao wanayolima wabantu na asili ya mazao hayo.

Mahindi asili yake ni south America, yaliletwa na waReno.
Mihogo asili yake ni south America, yaliletwa na waReno.
Mpunga asili yake ni South East Asia
Ndizi asili yake Papua New Guinea
Mtama asili yake East Asia
Viazi mbatata asili yake South America
Viazi vitamu South America

Kama sehemu kubwa ya mazao ililetwa baada ya ujio wa waReno, ni kitu gani waBantu walikuwa maarufu nacho katika kilimo?
 
JC nani kakuambia Wamasai walikuwa wanazunguka hovyo? 'Transhumance' sio kuzunguka hovyo. Huku mnakokuita kuzunguka hovyo Kilosa, Handeni, Bagamoyo, Ihefu na kwingineko kunatokana na mafisadi kuwatoa kule kwenye maeneo yao na kuwauzia wawekezaji na majangili!Mmaasai is the most 'traditional-cum-modern' Tanzanian. Msingembana na kumfanyia visa angefika mbali sana maana yeye ndiye ameelewa zaidi umuhimu wa kutohoa 'modern' culture to fit culture na mazingira yake. Ninyi mmembaki ku-ape tu kama ngabu na abiziani!

P.S. Soma 'Is it Possible?' uone what is in the head of a Maasai in the so-called Modern World!

Hiyo transhuman hata waTutsi walifanya. Hata wabantu walifanya. Hata Northen Europeans walifanya. Normad Mongolians bado wanafanya. Sio kitu kipya but a trap of human development.
 
Companero, Zakumi et al,

Mimi nadhani lets see what is workable. What is practical? Inawezekana kweli hizi argument tunazoziweka hapa zikafanikiwa katika mazingira tuliyonayo kwa sasa? I mean, not that am an optimist, lakini lets face it..taifa letu kama yalivyo mengi ya kiafrika bado viongozi wetu wanaendesha nchi kama makampuni binafsi na shareholders wanaopata dividends ni wale wanafamilia na walio karibu na watawala.

Make no mistake, western countries waliendelea na wanaendelea si kwa sababu ya kitu kingine, lakini kwanza waliji-organize kama society wakaweka malengo ya kipi wanakitafuta. Along the way kuna casualty wengi waliumia kama minorities, wanawake etc...lakini hiyo ndo gharama ya maendeleo...na kitu kikubwa kila mtu alikuwa anaona ni part ya ile community kwa hiyo ana jukumu la kuchangia. Sisi mpaka leo kama taifa hatujui priority yetu ni nini. na majotity we are not involved in the process.... Leo Kikwete anasema Kilimo Kwanza..lakini ukiangalia kiundani..the guy doesnt know what he is talking about. He doesnt mean it..baada ya kununua tractor...unanunua landcruiser mia saba za Ma-DC na RC et al....harafu unasema kilimo kwanza...are you real? Just a joker! au unafikiri tunaweza kuendelea kwa jembe la Mkono? Jibu ni: Hatuwezi

Mimi argument yangu kubwa, nasema hivi, Africa au nchi yoyote masikini ikitaka kusonga mbele lazima tuwe na uwezo wa kuwawajibisha wale tunaowapa dhamana ya kutuongoza. na wakijua kwamba watawajibishwa..wata-behave differently. Chukulia mfano katika nchi zote ambazo zimepiga hatua..sheria zilizokuwepo tangu zamani zilikuwa kandamizi sana. Ingawa zime-evolve. Lakini ukweli ni kwamba kila mtu anaiogopa sheria. Ndo maana US mpaka leo utaona minorities na wengine 'wakuja' wanalalamika kwamba sheria zinawaonea..lakini ukweli ukiangalia..ni wachache wanaokamatwa bila kosa. bila kuwa na system ambayo iko credible na inamuwajibisha kila mtu..we are going no where....hata kama tungekuja na theories gani...

Hivi kwa nini ukiwa US au Europe..huwezi kukatiza kwenye taa nyekundu barabarani..hata kama ni Jpili..hakuna gari wala mtu yeyote anayekuona? Yet ukiwa bongo..gari la Serikali lenye namba za STJ ndo halitaki kufuata foleni..asubuhi..linapita pembeni ya barabara..na unakuta hilo gari limembeba mkubwa ambaye ndo ana dhamana ya kulinda hizo sheria! Sasa dereva wa dala dala atafanya nini??????????

Ninachoweza kusema, kamwe kama taifa hatuwezi kuendelea wakati viongozi wako free kuiba na kuondoka bila kunyooshewa vidole. Jiulizeni zile hela za EPA na madudu mengineyo..kama tungeziweka sehemu stahiki..ingekuwaje? jiulizeni..kama wale walioiba hizo pesa wangekuwa Keko? Hakika nakwambia kama taifa tungekuwa tofauti. tunazidi kuwa masikini simply because kidogo tulichonacho tunaki misallocate na wachache ndo wanafaidi. Africa needs strong institutions. Ndo maana usishangae watu kama akina Kagame..leo wanasifiwa..si kwamba wamefanya lolote..lakini wamejua tatizo liko wapi na wamekuwa na courage ya kuli-address. Wamegundua kwamba bila zero torelance ya rushwa na uzembe..wataendelea kuwa beggars..well..mwenye kuona anaona...

Hiyo list ya watu iliyomo humu..well wengi ni wazuri lakini..hebu waulize walifikaje hapo walipo? ni wachache wamefika kwa merit. Wengi wamesogezwa na system. Leo wataigeuka? na kwa sababu kila mtu anataka apate mkate..basi wanaoumia ni wananchi.

In all, nasema hatuhitaji the talented tenth..tunahitaji kuwa na viongozi wenye vision. Wanaoweza kuweka maslahi ya taifa mbele. How do we get them..ndo swala tunalostahili kulijadili hapa. Otherwise..yote tunayoyaongea hapa..ni kama kumuuliza babu yangu wa Sengerema achague kati ya Expresso au Le Machiato......wakati mzee hata chumvi ni mgogoro!

As a Tanzania, I will go to my grave believing that, bila kuwa na strong governance structures..tunaweza kuongea na kurecite..wakina Karl Max, Webber, Du Bois et al..lakini hakuna kitakachotusaidia kamwe. Kwa sababu rushwa na uongozi mbovu ndo kitovu cha matatizo yote. Ukishaweka level playing field, I can assure you..wote hapa tutachacharika kinamna na taifa letu litasonga mbele. Hata mchumi atakuja na theories nzuri..akijua zitakuwa implemented. Hata Zakumi atarudi nyumbani toka huko majuu...baada ya kubeba box..akijua kwamba gari na begi lake pale bandarini havitafunguliwa na kuibwa na wajanja...as it is now..

Wakuu..mimi nadhani tuanze na vitu basic....ambavyo tunaweza kuvi-influence.Otherwise..we have men and women who can do better for our country..ni kutengeneza..playing field.

Ni mjadala mzuri..lakini tuangalie what we really need now and above all what we can realistically achieve in our current predicament.

Masanja:

Bravo Bravo Bravo. Tukiwa na mazingira mazuri, talent zitakuja tu bila kuzitaja.

Nchi zetu za kiAfrica tunalazimisha kuwa nchi lakini hizi sio nchi. Ni maeneo ya kijiografia tu.

Nchi ni lazima iwe na utambulisho. Ni lazima iwe na gundi ya kuwakata watu wote pamoja.

Ni nchi gani kesi inaendeshwa kwa kiswahili lakini ukifika wakati wa hukumu jaji anatoa hukumu kwa kiingereza.

Lugha ni gudi ya uraia. Sheria ni gundi ya uraia. Katiba ni gundi uraia. Lakini watanzania na hasa viongozi hawatoi respect yoyote kwa vitu hivi.
 
Back
Top Bottom