TANZANIA IN OLYMPIC: When we were the Champs

m_kishuri

JF-Expert Member
Jan 27, 2010
1,484
372


5703729413_a47afc366b.jpg

ikangaa_83.jpg
 
Watanzania michezo ya kushiriki mtu mmoja mmoja ndo fani yetu, kama boxing na marathon. Ila hii serikali inahangaika kuinua mpira kitu ambacho hata tuweze bilioni ngapi kombe la dunia hatulinusi....
Wakimbiaji wakenya wanailetea sifa nnchi yao ni jamii ya kimasai ambayo jamii hiyo na sisi huku Tanzania tunayo ila kosa letu sisi ni huwa hatuwaendelezi...
Mungu ibariki Tanzania..
 
Back
Top Bottom