Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,072
Najaribu kufuatilia kwenye mitandao ya kijamii na kwenye news channels ila ZERO VISIBILITY for Tanzania.
Meanwhile, nchi za Rwanda, South Africa, Zimbabwe, Cameroon, Angola etc zimekubaliana kutuma wanafunzi Urusi kila mwaka kwa ajili ya mafunzo kwenye vyuo vikuu vya Urusi.
Another missed opportunity!
Meanwhile, nchi za Rwanda, South Africa, Zimbabwe, Cameroon, Angola etc zimekubaliana kutuma wanafunzi Urusi kila mwaka kwa ajili ya mafunzo kwenye vyuo vikuu vya Urusi.
Another missed opportunity!