Tanzania iivamie somalia haraka

RICHEST

Member
Jun 23, 2011
25
16
Maharamia wa kisomali wamesababisha gharama za maisha Tanzania kupanda sana sababu gharama za kusafirisha mizigo kwa meli kuja bandari ya Dar es salaam zimepanda sababu ya wenye meli kuongeza gharama za bima na ulinzi wa meli zijazo za mafuta na mizigo zijazo bandari ya Dar es salaam gharama ambazo mwisho zinamwangukia mwananchi wa kawaida anayenunua hizo bidhaa.

Pia wametuongezea gharama za ulinzi wa pwani yetu hivyo kusababisha wananchi tuongezewe kodi kwa gharama za kupatrol miharamia hiyo baharini.Hivyo wamesababisha maisha ya mtanzania kuwa magumu.

Kutokana na tishio la hawa maharamia kwenye bahari ya hindi upande wa afrika mashariki kuna uwezekano wa kukimbiwa na wenye meli kuamua kushusha mizigo yao bandari za afrika ya kusini ambalo ni eneo salama na kusababisha bandari yetu ife kifo cha mende na mizigo iwe inaletwa kwa barabara kitu kitakachosabisha maisha ya mtanzania yawe magumu mno kwa vitu kuwa juu mno.Hii pia inatishia uwekezejaji maeneo ya usafiri wa meli eneo hili letu.

Nashauri Tanzania ikavamie kijeshi somalia na kuikalia kama ambavyo wamarekani wanavyofanya wakiona kuna kiinchi kinasababisha maisha ya wamarekani kuwa magumu wanaenda kukivamia kukikalia na kuweka serikali itakayoshika adabu.

Ni ajabu warundi na waganda wametoa wanajeshi sisi tuko tunatazama tu itakula kwetu kama tusipoishughulikia somalia.Maharamia wanatumia silaha kututesa .Twende na sisi na makombora tukawavurumishia na kuikalia somalia walau kwa miaka 10 maruhuni wale.Tuache siasa.Tusijikome African Union wala UN.Sisi ndio tunaumia na African Union na UN hawana cha kutufidia kwa maumivu yetu.Hakuna haja ya kuwa-consult.
 
Maharamia wa kisomali wamesababisha gharama za maisha Tanzania kupanda sana sababu gharama za kusafirisha mizigo kwa meli kuja bandari ya Dar es salaam zimepanda sababu ya wenye meli kuongeza gharama za bima na ulinzi wa meli zijazo za mafuta na mizigo zijazo bandari ya Dar es salaam gharama ambazo mwisho zinamwangukia mwananchi wa kawaida anayenunua hizo bidhaa.

Pia wametuongezea gharama za ulinzi wa pwani yetu hivyo kusababisha wananchi tuongezewe kodi kwa gharama za kupatrol miharamia hiyo baharini.Hivyo wamesababisha maisha ya mtanzania kuwa magumu.

Kutokana na tishio la hawa maharamia kwenye bahari ya hindi upande wa afrika mashariki kuna uwezekano wa kukimbiwa na wenye meli kuamua kushusha mizigo yao bandari za afrika ya kusini ambalo ni eneo salama na kusababisha bandari yetu ife kifo cha mende na mizigo iwe inaletwa kwa barabara kitu kitakachosabisha maisha ya mtanzania yawe magumu mno kwa vitu kuwa juu mno.Hii pia inatishia uwekezejaji maeneo ya usafiri wa meli eneo hili letu.

Nashauri Tanzania ikavamie kijeshi somalia na kuikalia kama ambavyo wamarekani wanavyofanya wakiona kuna kiinchi kinasababisha maisha ya wamarekani kuwa magumu wanaenda kukivamia kukikalia na kuweka serikali itakayoshika adabu.

Ni ajabu warundi na waganda wametoa wanajeshi sisi tuko tunatazama tu itakula kwetu kama tusipoishughulikia somalia.Maharamia wanatumia silaha kututesa .Twende na sisi na makombora tukawavurumishia na kuikalia somalia walau kwa miaka 10 maruhuni wale.Tuache siasa.Tusijikome African Union wala UN.Sisi ndio tunaumia na African Union na UN hawana cha kutufidia kwa maumivu yetu.Hakuna haja ya kuwa-consult.
Kwa sasa Nchi haijatenga fungu la kwenda kuvamia Somalia, isipokuwa ina budget ya kutosha ya kwenda kupiga wavamizi wa Nyamongo Barrick Mine na migodi mingine kwani huko ndiko zinapopatikana fedha kwa wingi, huko baharini acha tu Wasomali waendelee na kazi yao kwani wanajitafutia riziki. Lakini pia napenda kukutoa wasiwasi Mheshimiwa Mwana JF kwamba ikiwa Serikali itaishiwa fedha za kuendeshea nchi basi itafanya utaratibu wa kwenda kuwapiga MACHINGA ili wakimbie waache mizigo yao kisha serikali itaifishe, kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejikusanyia kiasi cha Tsh. 1.7 trilioni kama Stimulas package kwa mwaka wa fedha 2012/2012. na serikali inategemea kwenda kupiga palipona machinga wengi kama vile Arusha, Mwanza lakini pale Daressalaamu ikiwa MACHINGA watahamia Machinga complex basi kipigo kitapungua na mapato yatapungua pia. Nashukuru.
 
Mie huwanatamani sana kuziwinda na kuzi-destroy Motherships.
Then kuwakamata maharamia na kuwapeleka kwenye jela za Misri wakabanwe hadi waseme hela huwa wanazipeleka wapi.
Then nawafuata ma-beneficiaries na kuwafilisi.
I bet the amount of money tukiwafilisi maharamia can fund Stieglers Gorge power generation......
 
Maharamia wa kisomali wamesababisha gharama za maisha Tanzania kupanda sana sababu gharama za kusafirisha mizigo kwa meli kuja bandari ya Dar es salaam zimepanda sababu ya wenye meli kuongeza gharama za bima na ulinzi wa meli zijazo za mafuta na mizigo zijazo bandari ya Dar es salaam gharama ambazo mwisho zinamwangukia mwananchi wa kawaida anayenunua hizo bidhaa.


Pia wametuongezea gharama za ulinzi wa pwani yetu hivyo kusababisha wananchi tuongezewe kodi kwa gharama za kupatrol miharamia hiyo baharini.Hivyo wamesababisha maisha ya mtanzania kuwa magumu.

Kutokana na tishio la hawa maharamia kwenye bahari ya hindi upande wa afrika mashariki kuna uwezekano wa kukimbiwa na wenye meli kuamua kushusha mizigo yao bandari za afrika ya kusini ambalo ni eneo salama na kusababisha bandari yetu ife kifo cha mende na mizigo iwe inaletwa kwa barabara kitu kitakachosabisha maisha ya mtanzania yawe magumu mno kwa vitu kuwa juu mno.Hii pia inatishia uwekezejaji maeneo ya usafiri wa meli eneo hili letu.

Nashauri Tanzania ikavamie kijeshi somalia na kuikalia kama ambavyo wamarekani wanavyofanya wakiona kuna kiinchi kinasababisha maisha ya wamarekani kuwa magumu wanaenda kukivamia kukikalia na kuweka serikali itakayoshika adabu.

Ni ajabu warundi na waganda wametoa wanajeshi sisi tuko tunatazama tu itakula kwetu kama tusipoishughulikia somalia.Maharamia wanatumia silaha kututesa .Twende na sisi na makombora tukawavurumishia na kuikalia somalia walau kwa miaka 10 maruhuni wale.Tuache siasa.Tusijikome African Union wala UN.Sisi ndio tunaumia na African Union na UN hawana cha kutufidia kwa maumivu yetu.Hakuna haja ya kuwa-consult.

..wewe unaona kuna serikali ya kufanya hivyo hapa? waombe kibali cha maandamano kupinga mashambulizi ya NATO kwa gadafi watakupa hata ukiomba kuandamana kila siku!
 
Kwa sasa Nchi haijatenga fungu la kwenda kuvamia Somalia, isipokuwa ina budget ya kutosha ya kwenda kupiga wavamizi wa Nyamongo Barrick Mine na migodi mingine kwani huko ndiko zinapopatikana fedha kwa wingi, huko baharini acha tu Wasomali waendelee na kazi yao kwani wanajitafutia riziki. Lakini pia napenda kukutoa wasiwasi Mheshimiwa Mwana JF kwamba ikiwa Serikali itaishiwa fedha za kuendeshea nchi basi itafanya utaratibu wa kwenda kuwapiga MACHINGA ili wakimbie waache mizigo yao kisha serikali itaifishe, kwa kufanya hivyo serikali itakuwa imejikusanyia kiasi cha Tsh. 1.7 trilioni kama Stimulas package kwa mwaka wa fedha 2012/2012. na serikali inategemea kwenda kupiga palipona machinga wengi kama vile Arusha, Mwanza lakini pale Daressalaamu ikiwa MACHINGA watahamia Machinga complex basi kipigo kitapungua na mapato yatapungua pia. Nashukuru.

SPIKA MAKINDA>Waheshimiwa wabunge wanaosema
Ndioo...>Wabunge......Ndiyooooooooooooooooooooo..............o phwa phwa phwa phwa phwa
 
Somalia ni kama Afghanistan... why should TZ waste our human power and unrealiable Arms to go to Somalia? those Somalis also attach rich nations properties such nations as US, Russia, China, UK, France...

We should ask them to do so not us... they R the reasons for that Unruly Country Called Somalia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom