Kessy Wa Kilimanjaro
JF-Expert Member
- Jan 23, 2016
- 327
- 209
- Thread starter
- #21
Elimu haina mwisho, nilijua ni liberalism kumbe sivyo.
Ya kuna major difference between liberalism and Libertarianism.
Elimu haina mwisho, nilijua ni liberalism kumbe sivyo.
Kwanza uelewe kwamba mimi si muajiriwa wa taasisi yoyote Tanzania.
Pili inaonesha upeo wako ni mdogo sana kwenye hesabu za kibiashara. Ikiwa ushuru wa Kitenge ni 50% + VAT @18%. Kama sheria za ushuru ungekuwa unafatwa hasa, kitenge kilitakiwa kilipwe si chini ya 250 milioni kwa container ya 40 ft badala yake inalipiwa 70 milioni.
Makadirio ya kodi ya mapato ya wafanya biashara wingi Kariakoo ya mwaka 2016-17 wameambiwa ni mil 3 kutoka 750,000 kwa mwaka waliyozowea, wote wanapiga kelele. Hii ni sawa na kusema mfanya biashara hapati net profit ya 1,500,000 kwa mwezi? Lakini mfanya biashara huyo huyo anao uwezo wa kulipa pango 2,000,000 kwa mwezi.
Tatizo kubwa katika ukusanyaji wa kodi ni kuwa 50% ya kodi haikusanywi kwa sababu ya kukosa ubunifu wa mbinu za kukusanya hiyo kodi. Kwa hiyo wanaemkamata na ngozi ndiye hummalizia machungu yao. Ingekuwa kodi inakusanywa kama inavyotakiwa basi ungekuwepo uwezo wa kuipunguza na mapato bado yangepanda!
Tanzania inahitaji fikra ya Libertarianism.
Kwenye Kiswahili hamna neon linalo tafsiri kuwa Libertarianism. Kwa ambao hamuelewi, Libertarianism ni philosophia inayo sisitiza umuhimu wa uhuru. Mtu ambaye ni Libertarian, jitihada zake ziko kwenye kuongeza uhuru wa wananchi kuchagua jinsi wanavyotaka kuishi, kuwapa wananchi uhuru wa kufanya siasa jinsi wanavyotaka, kuhakikisha kuna uhuru wa kuweza kuchagua kama unataka kujihusisha na watu au biashara au serikali, na ubinafsishaji.
Libertarianism (Latin: liber, "free") is a political philosophy that upholds liberty as its principal objective. Libertarians seek to maximize autonomy and freedom of choice, emphasizing political freedom, voluntary association, and the primacy of individual judgment.
Ukiangalia nchi zote duniani, au ukiangalia hata Africa, nchi iliyo endelea kuliko zote ina wapa wananchi uhuru mkubwa sana na serikali yake ni ndogo. Inalinda haki za kumiliki mali kwa wananchi wenyeji na haki za kumiliki mali kwa wawekezaji wa nje ya nchi. Ina kusanya kodi ndogo na HAPANA sheria za kunyanyasa wafanya biashara. Kuna uhuru wa kufanya biashara na uhuru wa kuwekeza.
Ukiangalia Tanzania, wawekezaji wa nje hawana haki za kumiliki mali ambayo wao wenyewe wameilipia. HAPANA uhuru wa kuwekeza au kuanzisha biashara. TUNA WIZARA 22. Hii ni hali mbaya kwasababu wizara hizi zote zinatumia hela ya wananchi na zinavyokuwa zina sababisha KODI kuongezeka. Alafa hizi wizara zote zinakusanya kodi zao zenyewe kwenye sekta ya biashara. Umaskini Tanzania unatisha lakini bado serikali inataka kuongeza kodi.
Kama tusipo fwata fikra ya Libertarianism hatuta fika kwenye maendeleo.
Hao ndio watoto wahanga wa kansa ya kijamaa waliochafuliwa na mfumo ccm. Huwa kwao kila kitu wanataka waitwe leaders, kwa vile kwao kila kitu ni cha maonyesho tuu.Kichwa cha habari kinasema Tanzania iige mfano wa Botswana. Unafungua post kuangalia huo mfano wa Botswana, hukutani hata na sentensi moja yenye neno Botswana. Hii ndiyo reflection ya aina ya elimu tunayoipata au ni sisi wenyewe tunajitoa ufahamu deliberately?
Hivi wewe kweli upo serious, hiki ulichokiandika ndio kinathibitisha hiyo unayoiita kweli?Kodi kutokuwa mzigo kwako ndio,uthibitisho wa kweli yako. Hivi waathirika wa mfumo ccm km waliojaa humu uwape uhuru huku hawawezi timiza wajibu, wala kufirikiri wenyewe si disaster? pengine angeshauri kwanza namna ya kufuta madhara ya CCM, kidogo mngeonyesha jitambua na kutambua mazingira..kessy upo vizuri katika Political Economy ilo somo lilishafutwa muda ndio maana wengi hawakuelewi...ila Botwana ulichoongea ndio wanachofata Raia kodi sio mzigo na wanalipa kweli na hasa pale unapokua mfanyabiashara mkubwa...
Nimeweka hicho kichwa kuvutia watu. Lakini pia Botswana imeiga libertaarianism na ndiyo maan wana hizo rights na rule of law ambayo inawezesha biashara yao ya zahabu iwe na mafanikio.
Zahabu ni mojawapo ya maneno yaliyobadilishwa majina sana ktk nchi tofauti, zilizokopa mashariki ya kati. Ni km neno Mohamed, kuna wanaoita mehmet, mamadou, moahamedi, etc. Michael, Mike, mikel, etc. Kwa hiyo si eneo zuri sana la kujenga ubishi. labda kwa wabongo wa L na R, wanaposema haya maneno km vile ni sawa Light=Right, Lice=Rice, kula=Kura and the sort.Dhahabu= zahabu
Mkuu ivyo vitu alivyoongea mtoa vipo sio vipo katika makaratasi nenda Botswana hapo au South Africa uone kodi inavyokusanywa...huku makampuni makubwa ndio yanapata msamaha wengi wa kati na wa chini ndio wanalipa sana kodi au unadhani tunaongea vitu ambavyo havipo....Hivi wewe kweli upo serious, hiki ulichokiandika ndio kinathibitisha hiyo unayoiita kweli?Kodi kutokuwa mzigo kwako ndio,uthibitisho wa kweli yako. Hivi waathirika wa mfumo ccm km waliojaa humu uwape uhuru huku hawawezi timiza wajibu, wala kufirikiri wenyewe si disaster? pengine angeshauri kwanza namna ya kufuta madhara ya CCM, kidogo mngeonyesha jitambua na kutambua mazingira..
Tatizo langu sio kuwa kweli au uongo,ila umetumia ktk wrong place kuthibitisha kitu kingine kuwa ni kweli.Mkuu ivyo vitu alivyoongea mtoa vipo sio vipo katika makaratasi nenda Botswana hapo au South Africa uone kodi inavyokusanywa...huku makampuni makubwa ndio yanapata msamaha wengi wa kati na wa chini ndio wanalipa sana kodi au unadhani tunaongea vitu ambavyo havipo....
ok mkuu inawezekana upo sahihi unachoongea...Tatizo langu sio kuwa kweli au uongo,ila umetumia ktk wrong place kuthibitisha kitu kingine kuwa ni kweli.
Hao ndio watoto wahanga wa kansa ya kijamaa waliochafuliwa na mfumo ccm. Huwa kwao kila kitu wanataka waitwe leaders, kwa vile kwao kila kitu ni cha maonyesho tuu.
Huyu ukimuuliza km hayo anayoyasema yanaweza hata sikilizwa na CCM? Kabla hajaja makamba au Jk , sijui atawaambia tayari ipo na wananchi wapo ktk huo mfumo long time.
Huyu dogo haoni shida kwa alichoandika, na wala hajui nani anaambia afuate huo mfumo. Kwa vile watz ni too general kuweza fanya kitu chochote serious.
Sidhani km nimesema ni sawa na ujamaa.Nafikiri hauelewi kwamba Libertarianism siyo ujamaa. Ujamaa unahitaji nguvu za serikali kuzuia uhuru wa watu na kunyang'anya mali kwa waliozifanyia kazi na kuwapa wasio fanya kazi. Libertarianism ni uhuru wa watu kufanya na mali zao jinsi wanavyotaka.
Mimi sikubaliani na CCM hata wangenilazimisha kwa bunduki. CCM na ujamaa ndiyo chanzo cha umaskini na fikra za kijinga Tanzania.
Hii mada ni nzuri zaidi kuwahi kuiona humu JF,ushauri ulioutoa ni mujarabu kabisa.Hata mimi kilio changu siku zote kimekuwa ni juu ya uwepo wa serikali ndogo itakayosaidia kupunguza matumizi makubwa; uwepo wa kodi affordable itakazozifanya bidhaa na huduma kuwa za gharama nafuu sana, kodi ambazo zitavutia wawekezaji wakubwa kwa wadogo kwa wingi kutoka ndani na nje ya nchi, kodi ambayo itaongeza ukubwa wa purchasing power (customer/consumer base);halafu ndio tunakuja kwenye uhuru wa kuchagua (free market) sasa ambayo inaweza kuwa impetus ya innovation and creativity kwa wazalishaji wetu wa ndani. Tunapokuwa na soko huru (free market) linalompa Mtanzania uhuru wa kuchagua bidhaa anayotaka kununua tunatengeneza competitive environment ya kibiashara itakayomlazimisha local producer kubadilika kuendana na mazingira ya kibiashara yalivyo, ndiyo innovation na creativity yenyewe hiyo.So nimeipenda sana hoja yako.